KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Ni Takribani Wiki Tatu sasa Tokea Mh. Tundu Lissu atoe Hotuba ambayo ilipelekea Kile Kilichoitwa "Hati ya Muungano" kuwekwa Hadharini. Kilichofatia Baada ya Hoja ya Lissu ni Baadhi ya Watu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
nafuatilia hotmix eatv sasa hivi bw. Mushi anatoa ripoti ya utafiti uliofanywa na Twaweza na inaonesha kuwa ripoti hii inashsbihiana kabisa na maoni yaleyale yaliyotolewa na tume ya jaji warioba...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
ASKOFU wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph Bundala, amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi, atubu makosa yake ili asamehewe. Lukuvi akiwa katika sherehe za...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
Waziri wetu kipenzi wa Fedha Sada Mkuya leo kasema alishindwa kuhudhuria baadhi ya vikao kutokana na kuwa na safari za nje ya nchi yeye pamoja na waziri wa fedha wa zanzibar wakishugulika na mambo...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Kila kitu hufanywa kwa sababu lakini inaweza isjulikane kirahisi.Huu ndo wakati ambao watu tumefikia kuwaza hivi juu ya mchakato mzima wa rasimu ulvyofanyika na kwa mbwembwe kubwa za chama tawala...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Wawakilishi wa wafugaji, wavuvi,wafanyakazi, chama tawala,wakulima, matatibu na makundi mengine ya kijamii (ukiondoa vyama vichache vya siasa); wanaunga mkono muundo wa serikali mbili ( ushahidi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Thursday, April 24, 2014 Mwenyekiti wa jukwaa la asasi za kiraia na kigoda cha Mwl. Nyerere Foundation Mzee wetu Butiku, akifunguka kwa wajumbe wa jukwaa la asasi zisizo za kiserikali...
4 Reactions
47 Replies
6K Views
Kwa sasa nakuita mzee umekuwa my "role model" watakaokutukana najua sababu zao kufanya hivyo. Ukweli haujawahi kushindwa na hila kamwe. Mungu akujalie na akupe moyo wa ujasiri, moyo wa uoga ukae...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Mimi nilichokiona kwa wafuasi wa ccm hasa wa bunge maalumu la katiba ni kwamba wao wanaunga mkono serikali 3 ila kwa sababu chama changu/chao ni sera ya ser.3 wanalazimika kuwa waumini wa s2...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jf Kama mnakumbuka kafulila wakati anawakisha hoja za wachache alisema iwapo ccm wataendelea na msimamo wao itapatikana katiba ambayo itapingwa na hivyo kudai katiba mpya na wakati huo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimesikia maneno mengi mazuri na mabaya kutoka kwa wanasiasa na wananchi kuhusu hii jamhur ya muungano!! ni kweli huu Muungano umeundwa na wanaadam na unaweza kuvunjwa au kudumishwa, je unafaida...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
THURSDAY, APRIL 24, 2014 Na Karoli Vinsent SIRI ya Serikali kuzima maandamano pamoja Mikutano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA)Nchi nzima,HABARI24 imedokezwa siri hiyo. Sababu hiyo ni ya...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wanaounda kundi la 'Tanzania Kwanza' wamezungumza na Waandishi wa habari leo na kuelezea mipango na mikakati watakayoichukua wakiwa nje ya vikao vya Bunge hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Mtakumbuka kuwa tarehe 17 Aprili 2014, Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wanaojiita kwa jina la UKAWA, walitoka Bungeni Mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Rasimu ya Katiba...
4 Reactions
144 Replies
11K Views
Tusikilize hoja za wananchi wa kada mbalimbali wakichangia kuhusu muundo wa muungano. Sio wale wanaojiita ETI WASOMI. Wanajamvi fuatilieni na tutoe tathmini..
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Salamu kwako nchi yangu mpendwa Tanzania Lengo la kuandika barua hii ni kukupa pole na machafuko yatakayo tokea kabla ya muafaka wa serika tatu au mbili ktk katiba yako...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Wanajamii forum,Naomba niwasilishe video ya mchango wa mama Tibaijuka alio utoa ivi karibuni wakati akichangia katika bunge la katiba,hii ni kutokana kwamba naona ameingia mitini,ivyo naomba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi huu msemo ninaosikia kila siku hasa ktk kwa Wapinzani kwamba wanakwenda kushitaki kwa Wananchi, ni wananchi gani hao wanaowaongelea? Utafiti wangu unaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 80 (na...
0 Reactions
3 Replies
973 Views
Ili utata umalizike inabidi wajumbe wote waliokusanya maoni yetu kuhusu katiba mpya waende mbelw ya wabubunge wa katiba kuelezea kwa undani jinsi walivyokusanya maoni na kutolea ufafanizi wa...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom