ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste Tanzania, William Mwamalanga, amewapongeza wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa kuondoka bungeni huku akisema wajumbe walibaki...
Katika Mjadala wa Bunge maalum la katiba kumebainika kuwepo na taarifa mbalimbali zinazosemekana ni za uongo kutoka kwa wajumbe wa Bunge hili. Achilia mbali sakata la kuwasilishwa kwa Hati bandia...
Tarehe 26 mwezi huu wa nne,sherehe za Muungano,Lazima habari za muungano zitarushwa kwa wananchi,kuwaambia swala la serikali tatu au mbili,Tarehe 27 zitatolewa katika media yaani magazeti,redio...
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, ametajwa katika Bunge Maalumu la Katiba, kuwa miongoni mwa viongozi wa mstari wa mbele kupinga muundo wa serikali tatu mwaka 1984, huku...
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Asha Mohammed Omar amesema wananchi wa Pemba, visiwani Zanzibar walitaka serikali mbili na ‘kaserikali kadogo ka nkataba'. Alisema Chama cha Demokrasia na...
Kwa kipindi chote ambacho nimekuwa nikifuatilia vikao vya BMK nimepata mashaka-tena makubwa-juu ya mapendekezo ya Zanzibar juu ya msimamo wao kuhusu muundo wa serikali. Wajumbe walio wengi...
Wana-JF nawasalimu!
Tukiendelea kufuatilia mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya ya Tanzania na kinachoendelea Bunge Maalum mjini Dodoma, tukumbuke na kuzingatia mambo yafuatayo:
Mosi,wazo na nia...
Wana jamvi leo bunge la katiba lina akhirishwa kupisha bunge la bajeti la jamhuri,ni siku takribani 7 mpaka 8 ukawa hawapo bungeni je unakosa au umekosa nini tangu ukawa watoke bungeni?
Jana wakati akichangia sura ya kwanza na ya sita Proffessor Hamza Njozi alisema kuna watu wamesomea fitna na wana nia ya kuwafitinisha watanzania wagombane na ndani ya bunge la katiba wako watu...
Hii ni post niliondika kwa mmoja wa Wabunge la Katiba kutokana na reaction nilizoona akipongezwa kwa uwasilshaji wake akiwa Mwenyekiti wa Kamati ambao ulinivutia.
Ana uwezo wa kujieleza, kupanga...
Jana kwenye ukuta wake wa Facebook Hamiss Kigwangalla ameandika hivi...
Hamisi Kigwangalla
2 hours ago via BlackBerry Smartphones App
Leo nilikuwa kwenye mdahalo wa Katiba ulioandaliwa na...
Wanajamii,
Nashindwa kabisa kuelewa kwamba hawa wabunge wa katiba wanania njema na sisi au wanataka tufahamu kuwa sisi wanainchi tutake tusitake tutabidi tukubaliane na maoni ya ccm na pale...
Jumuhiya ya Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar maarufu kama Uamsho wameamua kufunguka dhidi ya Mhe. Lukuvi kutokana na kukihusisha kikundi hicho na vurugu za uchomaji wa makanisa na mauaji ya...
ZANZIBAR. Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM,Mzee Hassan Nassor Moyo amesema wajumbe wa CCM ndani ya Bunge la Katiba wanatakiwa kujiuliza sababu zilizolifanya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi...
"Mjadala wa Katiba: Mjumbe K. Singo amesema kuwa kuwatambua raia waishio ughaibuni kwa kuwapa Uraia pacha kutaifanya Tanzania kuongeza pato la taifa!"
"wadau mbalimbali wameijadili hoja...
CCM wamekiuka hata ushauri wa Amos Wako waliyemualika wenyewe kuja kutoa uzoefu wake ktk semina. Wako aliwashauri kuwa waandike ktk kwa kuangalia mambo makuu mawili tu nayo ni:
1. Historia ya...
Bunge maalumu la katiba limetoa kadi ya njano kwa chama tawala ccm.
Ni muda mrefu ccm wamesema CUF ni chama cha kiislamu na CHADEMA ni chama cha kikristo.
BMK limeviunganisha hivi vyama pamoja...
Tafadhali soma maelezo haya.
"HOFU" ADUI MWENGINE WA TANZANIA, KATIBA MPYA
Bora tu itangazwe kuwa HOFU sasa ni adui wa nne wa Tanzania baada ya maradhi,ujinga na...
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa siri ya msimamo wa majeshi ya Tanzania kuhusu muundo wa Muungano wa sasa.
Jaji Warioba ametoa siri hiyo huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.