Nilizichambua takwimu za Tume kuonyesha kuwa hicho kinachoitwa asilimia 60, sio asilimia 60 ya Watanzania, ambao idadi yao yapata milioni 45.Kadhalika sio asilimia 60 ya waliotoa maoni katika...
Mara kwa mara utawasikia baadhi ya wajumbe wakisema wananchi wangu wamenituma nitetee Serekali 2. Mbona hatujawaona mkiitisha mkutano wowote na mkatuuliza sisi wananchi? Ni wananchi wapi...
Waziri wa nishati na madini aliyeshindwa kuongoza na kutimuliwa, ameonesha jinsi gani ni kilaza, kasema eti wao BMK ndio wamebeba hatima ya wananchi na chochote watachoamua ndo mwisho.
Amesahau...
Nimemsikia mbunge wa bunge maalum la katiba Paulo Makonda akichangia na kuwaita Pro Lipumba, Mbowe,Jussa na Lissu kuwa ni watoto wa shetani na akapigiwa makofi sana na wajumbe waliopo ukumbini...
Nimepata taarifa kutoka chanzo cha uhakika ila habari ni za kuthibitisha kutokana na iwapo kibali kimetoka. Maandamano makubwa yanaandaliwa aliyepo hiko atupe updates na kututhibitishia.
Dodoma. Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahaya Khamis Hamad amesema wajumbe ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hawajachukua posho wasiyostahili.
Wajumbe hao wamekuwa...
Kwa nini ukishusha mzigo katika bandari ya Tanzania Zanzibar unatozwa kodi kidogo na TRA, angali ukishusha mzigo katika bandari ya Dar unatozwa kodi kubwa na TRA hiyo hiyo?
Kuishi znz unatoa...
1. Ajira - wabunge wa kawaida na wale 201 walioteuliwa wamepata ajira na kulipwa ujira mzuri.
2. Mipasho - wasilikilizaji tumeburudika na mipasho lukuki, mfano Nyerere kuzoea vya kunyonga, kuingia...
Ndugu wanajamvi na wapenda habari naomba japo siyo mwalimu nawaomba viongozi na wanasiasa waache unafiki.
Nasema hivyo kwa sababu nimewasikia Mwigulu,Mwanry na Lukuvi sasa wameanza kujenga...
Mojawapo ya sababu inayosimamiwa na serikali ya chama cha mapinduzi (CCM) katika kupinga muundo wa serikali tatu uliopendekezwa katika Raimu ya Katiba mpya ni ukubwa wa gharama katika kuendesha...
Mh, mwenyekiti wa bunge maalum la katiba, nasikitika kuona jinsi wajumble wanavyochangia rasimu ya katiba kwa kuitukana tume ya rasimu hasa Warioba.
wewe Kama mwenyekiti ulipaswa kuwaongoza vyema...
Salaam wana jf,
Kumekuwa na hali ya sintofahamu juu ya mwenendo wa bunge maalum la katiba.hali hiyo imetokana na kila mtu kama sio makundi fulani kutafakari au kusema lolote ju ya rasimu ya...
Wakati anachangia jana Bungeni Mama Lwakatare alisema "Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, na kwa kuwa wengi wanataka serikali mbili basi serikali mbili ndio sauti ya Mungu"
Sasa mimi najiuliza...
Ndugu wanabodi, tumekuwa tukisikiliza kauli za UKAWA (Umoja wa Katiba ya wachache) wakijinasibu kuwa wao ndani BMK ni wachache ila nje ya bunge wao wako wengi. Hili jambo halina mashiko hata...
Baada ya wajumbe kususa, ccm oneshenyi umahiri wenu na ukomavu wa kisiasa kwa sasa ni muda muhafaka kujenga hoja na kuachana na hao walio toka nje ya bunge msibweteke kwa hoja nyepesi zisizo na...
Kwa wabunge wenye akili na wasiochumia matumbo yao, baada ya UKAWA kujitoa katika BMK, wangeahirisha Bunge hilo mpaka ama UKAWA au wajumbe wengine ambao idadi yao ni sawa na wajumbe wa UKAWA...
Deo Filikunjombe, Mbunge wa Ludewa
Mbunge Filikunjombe akisikitikia yanayoendelea bungeni Dodoma akiwa nje ya nchi kwa matatizo ya kuuguza familia yake ameandika maoni haya kwenye facebook...
Taifa letu la Tanzania hivi sasa lipo kwenye kipindi kigumu lakini muhimu cha kutengeneza mustakabali wake upya kupitia RASIMU ya Katiba mpya inayojadiliwa Bungeni ili hatimaye ije kuwa Katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.