KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Kauli ya Askofu Mtetemela Katika mchango wake, Askofu Mtetemela alilieleza kukerwa na kauli ya Profesa Lipumba kuliita Bunge la Maalum la Katiba kuwa linafanana na kundi ovu la Italahamwe...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Miaka miwili iliyopita kila mzanzibar alitakiwa awe na kitambulisho cha kumuonyesha yeye n mzanzibar.! Lakn mwaka huu nimepewa taarifa na mama yang yupo pemba kua wameambiwa wawe na kitambulisho...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Juzi, Tundu Lisu akichangia ktk Bunge la Katiba alitoa madai mazito kuwa kwa Katiba ya sasa ya Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, hapigiwi mizinga 21 kama Itifaki...
2 Reactions
49 Replies
6K Views
Nimefuatilia,nimesikia na kujua kinachoendelea Bunge Maalum la Katiba. Pamoja na kujua kwangu,bado nina swali kwa watanzania wenzangu: Bunge hilo linajadili Rasimu ipi? Iko wazi kuwa Rasimu ya...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Bunge linaendelea leo na wajumbe wanaendelea kutoa michango yao kuhusu sura ya 1 na 6. Mh. Abdalah Bulembo, Anasema kuwa yeye ni muumini wa s2 na atazitetea sana.Anasema 4 aprili wakati wapo...
5 Reactions
255 Replies
21K Views
  • Closed
Amemuiga Pinda! Anasema amekosa usingizi siku tatu kuwaza jinsi Waasisi walivyotukana. Ameanza kulia na kutoa machozii!! Anasema kumtukana Karume na Nyerere ni sawa na kumtukana baba ake mzazi.
0 Reactions
138 Replies
14K Views
Amani itawale kwa wote. Hakika hapa nilipo nina furaha kwa kumuona mheshimiwa mjumbe mwakilishi wa wavuvi katika Bunge maalum la katiba akitoa Maoni yake bila kujali upinzani. Yani huyu jamaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunawaona wamesambaza watu wao, wanafanya mikutano ya ndani na hadhara, juu ya rasimu ya Katiba Mpya, badala ya kujenga hoja, wanapiga kelele. Kelele ziko zaidi kwenye muundo wa muungano, hususan...
10 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndugu wanaukawa na watu wote wenye mapenzi mema na hii nchi. Naomba ukawa msisahau kudai katika matwaka ya kurudi kwenye bunge la katiba kwamba ni lazima baadhi ya wajumbe wa bunge la katiba waje...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi huyu Rais wa pili wa Zanzibar Aboud Jumbe Mwinyi bado yupo kifungoni? Nimejaribu kutafuta sijapata huyu mheshimiwa yupo wapi!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wanajukwaa katika hali ya mambo inavyoendelea bungeni kuna hoja nyingi za kutetea Mfumo wa Serikali 2 lakini napata shida kuwaelewa Wajumbe wanaodai Eti Wanashangaa Toka lini MOJA JUMLISHA MOJA...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nivyema Jaji Warioba akaitwa tena bungeni ili aweze kujibu shutuma wanazo mshutumu na amalize mvutao uliopo sasa. Lakini inaonyesha mzee Warioba bado ana vitu vingi kichwani mwake ambavyo vinaweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HAKUNA UKAWA ALIYERUDI BUNGENI WALA ALIYEENDA KUOMBA POSHO; Nimesikitishwa sana na kauli iliyotolewa bungeni leo kwamba UKAWA wamerejea bungeni na wamefikia kudai posho. Naomba watanzania watambue...
13 Reactions
77 Replies
8K Views
Wanajamii Hebu nielezeni ukweli na kizungumkuti wa Bunge la Katiba hivi kweli tuaamini kuwa baada ya kumalizika wote waende Milembe? Sio mimi bali kiatuni katika gazeti moja wiki hii. Upande...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Ningependa msome maneno haya ya Mungu kutoka Biblia Takatifu, Zaburi 1:1-2 na yana sema hivi; Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwel nimeamini tume ilikua na watu wenye uwezo na huyu Polepole anatoa ufafanuzi mzur sana
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mhadhiri mwandamizi mstaafu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) na gwiji wa sheria nchini, Profesa Issa Shivji (pichani), amesema ni muumini wa muundo wa Muungano wa serikali mbili tangu...
1 Reactions
143 Replies
11K Views
Asalaam, Taasisi binafsi inayojihusisha na masuala ya kijamii imetoa majibu ya tafiti iliyofanyika iliyohusu watanzania wanapendelea MUUNDO gani wa serikali kuelekea maadhimisho muungano...
0 Reactions
3 Replies
972 Views
Bunge maalumu lipo katika mjadala ambao kwa mujibu wa ratiba ya bunge maalum hoja iliyopo mezani ni kujadili taarifa za kamati za bunge maalumu juu ya sura ya kwanza na ya sita katika rasimu ya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
pengine wengi mtashangazwa na msimamo wangu,mi naunga mkono serikali moja mbili na tatu at the same time kwa conditions zifuatazo.kama tunataka tudumishe muungano kweli na tupunguze gharama tuwe...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Back
Top Bottom