Wakati taifa likiwa ktk tahadhari kubwa huku misingi ya amani na umoja aliotuachia muasisi wa taifa hili hayati mwalm Nyerere tayari kuna taarifa chini yakapeti zinasema kuna makachero...
ASKOFU Mdegela atema cheche asema hana imani na Bunge Maalumu la Katiba (BMK) na awataka UKAWA warudi wakapambane ndani ya bunge asema kama wameshindwa kusema waliyonayo ndani ya bunge warudi...
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema Katiba inayoandaliwa siyo lazima ipatikane kwa sasa kutokana na hofu ya kukosekana kwa maridhiano...
katika sikukuu hizi viongozi wa dini naona wanakazana kutoa matamko mbalimbali wao wakiita Salamu za pasaka. Ndani yake unaona element za siasa. Nadhani wanapaswa kujua waumini wao wengine ni CCM...
Nimetafakari sana baada ya kufuatilia mijadala ya rasimu ya katiba iliyoletwa na tume ya rais kikwete chini ya m/kiti jaji joseph sinde warioba. Mwanzoni nilikuwa muumin wa s3 lakin nimevutiwa na...
Can the Union be successfully implemented under any form of power?
All the states but our own are sensibe that knowledge is power Thomas Jefferson
The Union is both a political and...
Kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) liko na ajenda moja mkononi ya kuhakikisha kuwa linapata support kutoka kwa wananchi kuhakikisha kuwa katiba iliyopendekezwa na Warioba ndiyo...
MVUTANO wa muundo wa serikali mbili au tatu uliogubika Bunge Maalumu, umelifanya Baraza la Mahusiano ya Dini mbalimbali kwa Amani Tanzania (IRCPT), kutaka kura ya maoni ifanyike ili wananchi...
Fikra: ulizo? ni bora ndugu zetu wa znz watawaliwe na hao warabu kuliko ccm isiyowapenda ama nakosea?
uhalisia: waarabu waishio visiwani kwa mujibu wa uhalisia maana nawaona hata hapa wenzangu...
WADAU mi nafikili ni jambo ambalo halifai kulichachalia au kuna upande una maslahi sana na muungano???
kama wazanzibar hawataki muungano na hii ni democrasia basi ipigwe kura zanzibar yote...
BREAKING NEWZ,NAIBU WAZIRI WA FEDHA MH:MWIGULU NCHEMBA AZUIA MALIPO KWA WABUNGE WALIOTOROKA BUNGENI "UKAWA".
AZUIA MABENKI YASIWALIPE,UKAWA WALALA NJAA.
Na.Baraka Msuga
Ikiwa ni Siku ya pili...
hapa tukiondoa shughuli hizo tutaweza kupunguza gharama na hivyo basi tukapeleka katika shughuli za kijamii hata kwa kuendesha serikali ya tatu au nazaidi hilo linawezekana tukiamua
KARIBUNI...
Ninavyojua ni kwamba nchi yetu, TANZANIA ni nchi iliyotokana na muungano kati ya TANGANYIKA na ZANZIBAR na kuzaliwa kwa TANZANZANIA. Hivyo basi, serikali ya Tanzania ni serikali ya muungano na...
Hakuna tena mjadala uliobaki bungeni. Wajumbe waliobaki wanakubaliana kwa 100% juu ya rasimu kielelezo ya CCM. Matumizi ya bunge kwa siku ni zaidi ya milioni 200. Sioni haja ya kuendelea kukaa...
ANGALIA VIDEO YA HUTUBA YA MAMA SALMA KIKWETE KWA WAKAZI WA LINDI, AWATAKA KUKUBALI MFUMO WA SERIKALI MBILI.
Mama Salama Kikwete akiwahutubia wananchi wakazi wa Mji wa Mnazi Mmoja Lindi...
Watanzania wengi ni mbulula na malimbukeni, tanganyika iliungana na zanzibar tukapata TANZANIA, lakini leo hii watu wanagoma kuonekana neno tanganyika wanasema TANZANIA BARA iliungana na zanzibar...
Chuki hizi msidhani
Hazina udini ndani,
Maana behewa hili
Lina watu kila hali
Wamo na maaskofu,
Na mashehe watukufu;
Na wasomi wa sharia,
Na wachumi wetu pia,
Kila mtu ana lwake,
Anazo sababu...
..OK, hawataki kutupa wa-Tanganyika serikali yetu.
..lakini hata jina letu nalo walifute?
..ndugu zetu wanaitwa Tanzania Zanzibar, kwanini na sisi tusiitwe Tanzania Tanganyika?
NB:
..watetezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.