Haya ni baadhi ya maswali na majibu kama yalivyotolewa na Raisi Kikwete katika mahojiano maalumu na Kituo cha Televisheni cha NTV kilichopo chini ya Nation Media Group (NMG).
NTV: The current...
Katikati ya mjadala wa ama tuwe na Muundo wa Muungano wa Serikali Mbili au tatu, likaibuka suala la kuwepo ama kutokuwepo kwa Hati ya Muungano, uhalali ama uharamu wa hati hiyo. Mojawapo ya hoja...
Wana jamvi nimedokezwa toka katika press kuwa ratiba ya vikao muhimu vya ndani kukutana na wadau na wananchi katika maeneo yote znz zen maandano makubwa yatafanyika znz siku ya jumatano,baada ya...
Nawakumbusha wajumbe wa UKAWA suala zima la kuwa makini na kuchukua tahadhari ya hali ya juu sana kwa maisha yao kwa kila dakika ipitayo, tusijesikia ghafla habari za kutekwa, kusulubiwa...
Hatua iliyochukuliwa na Ukawa katika bunge maalum la Katiba kususia bunge hilo, si busara ususiaji kuwa wa moja kwa moja, ingefaa ususiaji huo uwe wa muda mfupi kisha warudi bungeni kwa lengo la...
Viongozi wa UKAWA leo Jumamosi majira ya saa 8:00 za mchana watakutana na waandishi wa habari (Press conference) hapa Zanzibar.
Mkutano huo na waandishi wa habari utarushwa moja kwa moja na kituo...
Kumekuwa na ghiriba nyingi toka kwa CCM kupinga serikali 3 na sasa wanatumia Vyombo vya Dora kuzuia mikutano ya vyama vya siasa wakati Kinana na Nape wakizunguka nchi nzima kunadi sera za CCM...
Kikwete na CCM yake wanajitanabahisha kuwa "wanamuenzi" Nyerere ambaye alikiri hadharani kuwa hatawapiga mabomu Wazanzibari wakidai mamlaka yao. Naamini kwa sababu hiyo hiyo Kikwete hataamuru...
vipi maandamano ya UKAWA ni lini naulize nijue siku maanake nisijekushiriki halafu nikapatwa na matatizo nikashindwa kuhitimu degree yangu ya kwanza mnamo mwezi wa sita mwaka huu
Nimekuwa nikifuatilia mambo yanavyoenda ndani ya Bunge la Katiba na hasa kuhusu sakata la Hati ya Muungano (Articles of Union). Mwanzo tuliambiwa kwamba hiyo kitu haipo, wengi tukaanza kuamini...
KATIBA YA ZANZIBAR 1984 TOLEO LA 2010
1.ZANZIBAR NI NCHI AMBAYO ENEO LA MIPAKA YAKE NI ENEO LOTE LA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA PAMOJA NA VISIWA VIDOGO VILIVYOIZUNGUKA NA BAHARI YAKE ...
nasikitishwa sana na kinachoendelea Dodoma, kwani kwa mtazamo wangu si sahihi kuacha kujadili mambo ya msingi yanayohusu mustakhabari wa watu zaidi ya milioni 45 na kujikita na issue ndogo...
Kuna kigugumizi kwa CCM kukubali pendekezo la serikali 3 kwa hoja dhifu ya kuvunja muungano bila kutaja mambo yanayovunja muungano. CCM wanaona serikali mbili zikiboreshwa zitatatua kero za...
Kumekuwa na mpasuko katika bunge letu la katiba, na kikubwa ni kuhusu muundo upi wa muungano unafaa?
Sioni kama kuna sababu ya wao kurumbana kuhusu hilo wakati kanuni ziko wazi kwamba wananchi...
Katika hali ya kushangaza Jumuia ya UKAWA imeundwa na watu walioferi katika kila kitu cha mafanikio waliwahi kufanya! Ukitoa maalimu Seif ambaye mpaka sasa rekodi yake bado haijavunjwa pale...
Enyi Wajumbe wa bunge maalumu la katiba .
Sioni haja ya nyie kuendelea kubishana , kutukanana na kuzira vikao vya bunge . Mamilioni ya kodi ya wananchi yanapotea bure .
Hayo yote yaachwe...
MABADILIKO NA MABORESHO YA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA
MUUNGANO WA TANZANIA.
CHINI YA KANUNI YA 33 (80) (a) YA KANUNI ZA BUNGE MAALUM ZA YA 33 (80) (a) 2014.
SURA YA SITA (MUUNDO WA JAMHURI YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.