Nimeitafakari kwa makini dhamira ya CCM kung'ang'ania serikali mbili. Nimelazimika kuamini kuwa CCM hawautaki Muungano wetu. Nina hoja tano ambazo haziwezi kujibiwa kwa kufanya maboresho katika...
Hivi vuguvuga la kutaka katiba mpya alilianzisha nani kati ya CCM na Wapinzani?
Je.kupatikana kwa katiba mpya kukifeli itakuwa furaha kwa upande gani?
Naombeni maelezo yenu.
Ni baada ya kuchelewa kuwasili katika mkutano wao ulioandaliwa ikiwa ni siku moja baada
ya kususia kikao cha Bunge la Katiba. Mkutano huo ulianza saa 4:18 ukiongozwa na
Mwenyekiti wa CUF Profesa...
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Samuel Sitta
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, leo anatarajiwa kukutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Muadhama Polycarp...
Naibu Waziri wa Fedha (Sera), Mhe. Mwigulu Nchemba
Friday, April 18, 2014
Sikilia kwa makini Audio: Wizara yasitisha malipo ya Wajumbe wa Bunge la Katiba
Wizara ya Fedha kupitia Naibu Waziri wa...
Katika Mchakato wa kujadili kanuni na Baadae Rasimu wale vijana machachali wa CCM sijawasikia vizuri. Nadhani huu ulikuwa mwanya mzuri na wao tuwajue. Mwenye update zao tafadhali.
Saa 2 katika mihadhara iliyopangwa na ukawa hazitatosha kuwaeleza wananchi yale yote yaliyofanyika kwa takribani siku 70 katika bunge maalum bali ni unafiki na umbea.
Kwa mtu mwenye akili na...
Nimeshangazwa sana na namna huyu msomi alivyokuwa anachambua takwimu za tume ya Warioba.
Kwa mujibu wa huyu profesa na baadhi ya waumini wa serikali mbili wanakosoa takwimu za tume ya Warioba...
wakitoa maoni yao mbele ya tume ya katiba jana mkoa wa kusini Unguja, watu wengi waliotoa maoni yao wametaka kuwe na zamu katika kupokezana uraisi wa muungano na wametaka muungano uwe wa milele...
Shida kubwa ya watanzania ni ujinga, maradhi na umaskini. Watanzania wanahitaji shule zilizo bora, huduma za afya na kijamii zilizo bora. Serikali 1,2, 3, au hata 10 si hitaji la watanzania hilo...
Ukawa walipanga njama tangu mda mrefu kukwamisha mchakato wa katiba ili wapate agenda za uchaguzi mwaka 2015. Fedha hizi tunazotumia zingewasaidia maskini kupata elimu, dawa na huduma zingine...
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi na jana wamekuwa katika mtihani mgumu wa kufikia uamuzi wa pamoja kuhusu utaratibu wa upigaji kura, kati ya kura ya wazi na kura ya siri.
Habari kutoka...
Wakuu naamini waumini wa dini zote wamekuwa wakiombea bunge la katiba hata leo sisi tumeliombea lakini nashangaa huko bungeni ni sarakasi na kuitana mashetani.matusi,fujo tupu.hizi sala zetu...
Wakuu na wadau wa JF Napenda niweke bayana mawazo yangu kama mwananchi. nisiyeegemea chama chochote cha siasa katika nchi hii, kuhusu kupatikana kwa Katiba Bora na Mwaafaka kutokana na sababu...
Ndugu wanajamvi wakati bunge maalumu la katiba likiendelea tumeshuhudia mengi sana ikiwamo raisi kuhutubia bunge hilo akiweka msimamo wa chama chake kuwa ni serikali mbili,pia tumeshuhudia wana...
Kuna taarifa kuwa tangu mwaka 1964 waziri wa mambo ya nje ameteuliwa toka bara na hakuna waziri wa mambo ya nje toka znz alie kua ful waziri ila manaibu wamesha wahi kutokea znz,je nini sababu?
Wana jamvi ccm wanasema wanadumisha muungano,mimi nataka kuona 2015 mgombea urais wa ccm wa muungano atokee zanzibar kama kielelezo cha kudumisha muungano;naomba kutoa hoja wana jamvi
Katika jambo ambalo UKAWA wamefanya kweli na kusababisha bunge kuwa kibutu na kuwawachia MaCCM na vibaraka wao wakishangaana wenyewe kwa wenyewe na kila mmoja akimnyooshe kidole mwenziwe kuwa...
Ukiwa mjadala unaendelea Bungeni wa serikali tatu au Mbili Wafanyakazi wa serikalini na Tasisi Binafsi wameshauliwa kugom kabisa Muundo wa serikali tatu kwani ni mzigo kwao... wafanyakazi wa Ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.