KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya, tuliona namna Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichoshika hatamu zote za uongozi wa nchi wakati huo, kilivyoweza kumpindua Rais wa Serikali ya Awamu ya Pili...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika kile kinachonekana kutojali au kuonyesha kuwa hawatishiki na UKAWA kujotoa kwenye Bunge la Katiba, Kiranja wa mawaziri ndugu Mizengo Kayanza Peter Pinda ametoa kauli hiyo siku la leo wakati...
2 Reactions
107 Replies
10K Views
TUTENGENEZE KATIBA YA SERIKALI MBILI ZISIZONUNG'UNIKIANA Hivi sasa, taifa letu liko kwenye mjadala mkubwa wa kijamii na kisiasa katika mchakato muhimu wa kuandika upya Katiba yetu. Mchakato huu...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Kutokana na hali inavyokwenda sera rasmi ya serikali ni kuwa wapemba ndio adui wa nchi (enemy of the state).(RABDA KOSA LAO NI KUINYIMA KURA CCM MAANA HAWAJAPATA HATA DIWANI PEMBA) Tunachosubiri...
0 Reactions
6 Replies
830 Views
Kwa mujibu wa "miliki" hii, mtawala wa Ortelo anaweza kuchukua kijiko na kung'oa makao makuu ya wilaya au polisi, au hata kuyachoma moto kama askari walivyochoma makazi ya wafugaji. Jeuri hiyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kitendo cha lipumba kufananisha bunge la katiba na interahamwe hakipaswi kuungwa mkono wala kufumbiwa macho. Hicho ni kikundi cha wahuni na wauaji ambao wameua watu weng mno. Hivyo haikuwa busara...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
"Na Francis Godwin, Iringa ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Ndugu Watanganyika, Ninapenda kukutoweni hofu na mashaka yenu juu ya mzanizbari kuwa ni mwarabu au laa. Mimi Mzanzibari 1. Ni Mwarabu, niaupenda sana UARABU, Mila zanu ni za kiarabu 2...
4 Reactions
95 Replies
7K Views
Kwa taarifa za uhakika kabisa Alkhamis tarehe 24 April 2014 UKAWA ndani visiwa vya karafuu Pemba, maandamano ya aina yake yatakayoongozwa na Prof. Ibrahim Lipumba ndani ya viwanja vya Gombani kule...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Askofu Mokiwa wa Anglikana analaani kitendo cha baaadhi ya wajumbe wa bmk kubeza maoni ya wananchi pia amepinga watu kusema waasisi wa muungano wametukanwa ,ameipongeza tume ya warioba kwa...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
MCHAKATO WA KATIBA - UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA “Sote tuwe na Umoja” (rej. Yn 17:21) UTANGULIZI: Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati wiki juzi Polycarp Kardinali Pengo alisema hataki serikali tatu anataka serikali mbili ifuatayo ni nukuu niliyoitoa kwenye gazeti la jana ikisema hivi: Askofu Mkuu wa jimbo Kayoliki...
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ruksa kwa wanachama wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya mikutano yao nchi nzima. Pinda alizungumza jana wakati akifunga maonyesho ya miaka 50...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tangu uchaguzi mkuu october 2010 kumalizika, hakuna siku imepita, kusiwepo na jambo ambalo lina~draw attention za watanzania! Yapo mengi kwa kweli, ila mwishowe yanaisha, yanakuja mengine...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nani atakataa kuwa kazi inayofanywa na Bunge maalum la Katiba ni kazi ya kawaida inayotakiwa kufanwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano Tz.kazi ya kuwekea viraka katiba iliyopo sasa[1977],kama...
2 Reactions
1 Replies
724 Views
Habari ya maaskofu wa kanisa katoliki kutaka maoni ya wengo kama yalivyowasilishwa na tume ya Warioba yaheshimiwe kwenye bunge la katiba, imeandikwa na magazeti karibu mengi kwani ni tamko...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu! Kutokana na mjadala mkali unao endelea kuhusu muundo wa serikali katika katiba mpya,nimepata maswali kadhaa,ambayo ningependa wajuzi wa mambo mnisaidie. 1: Tatizo letu kubwa...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
asante sana kwa maaskofu wangu kuwaambia ccm ukweli. Nilikuwa nimepata shaka sana kuona mmekaa kimya wakati ccm wakimtukana warioba na tume yao eti kwa sababu warioba alikubali kuweka siasa za ccm...
0 Reactions
2 Replies
992 Views
http://mzalendo.net/habari/video/msikilize-lukuvi-hapa.html Source: mzalendo.net
0 Reactions
1 Replies
1K Views
https://www.facebook.com/photo.php?v=654466944602943&set=vb.100001189291607&type=2&theater msikilize jamaa alivyo na siasa kali na ubaguzi wa kidini. kwa viongozi hawa nchi hii imekwishaa .SASA...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Back
Top Bottom