Viongozi na wafuasi wa UKAWA mamlalamikia Mwigulu Nchemba kwa kufuta posho zao.
Siku chache baada ya Naibu Waziri wa fedha kufuta malipo ya wabunge waliosusia vikao Dodoma, kundi hilo...
Mzirai ni mnafiki wala si mpinzani.Amekubali kuwa mtumwa na mfuasi wa watawala yaani ccm.Huwezi kuhubiri serikali 2 zilizoboreshwa wimbo wa maccm ili yaendelee kutawala nchi hii.
Hongereni...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Peter Msigwa amemvaa Askofu Donald Mtetemela na kumtaka avae rasmi magwanda ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na gazeti hili, Msigwa ambaye pia ni...
Nasema nyie wote ni majambazi na mna maslahi yenu binafsi CHADEMA, CCM, na CUF mnaiangamiza nchi yetu wote ni waroho wa madaraka hamfai ata kidogo tena ni wasaka tonge wote wezi, wauni, waroho...
Habari za mchana wanajamvi.
Nikiwa naamini kabisa walio wengi wanaotembelea humu Jf niwatu wazuri kabisa katika kujenga na kuchambua hoja mbalimbali, yote si kwa kujifurahisi bali nikwamalengo ya...
Kama CCM na wajumbe wao wanaamini rasimu ya katiba mpya haikutokana na maoni ya wananchi wanafanya nini pale Dodoma?
Kwa nini hawakuikataa mapema? Hata sasa kwa nini wajadili kitu ambacho si cha...
TAARIFA KWA UMMA JUU YA MJADALA WA KATIBA MPYA BUNGENI.
TUSIWAPUUZE VIONGOZI WA DINI - UKWELI HAUPENDI KUPUUZWA PUUZWA.
Nimefuatilia kwa umakini sana mjadala uneondelea sasa katika vyombo vya...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya WATU WA Zanzibar.
Suali hii Jamhuri...
Waliokuwepo au wanaojua vizuri kuhusu muungano wa nchi hizi mbili, wanatueleza ya kuwa hati ya muungano ya mwaka 1964 na hii inayotumika katika katiba ya mwaka 1977 ya Jamhuri ya Muungano wa...
Salaam wana jf,mimi ni kiwa mwana ccm nimeshangazwa sana na msimamo wa ccm katika muundo wa muungano kuwa ni serikali mbili.mimi kama mwana ccm na kiongozi kwenye eneo langu ninapenda kukiri...
Mimi naona ni kama huko tuendako kuna uwezekano mkubwa kama serikali tatu kulingana na matakwa ya wananchi itapita kutakuwa na utata katika muundo wa serikali
Rasimu Inapendekeza Muundo wa...
1. Utangulizi UKAWA ni Umoja wa Kutafuta Katiba ya Watanzania, ambayo imehasisiwa na vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA. Katika kuwepo kwake UKAWA imewafungua wananchi wengi macho kuhusu...
Wana JF,
Kutokana na hiki kinachoendelezwa na wanaojiita UKAWA, sidhani kama kuna mwananchi anayeweza kumtuma kiongozi wake sehemu yeyote ile kwenda kufanya vurugu au tofauti na suala la...
Crimea imejitoa Ukrane ikajiunga na Urusi nchi kubwa, bado kuna kipande cha Ukrane Mashariki nacho kinataka kiende Urusi. kwanini tunakuwa inferior kwa Zanzibar? Tanzania tunatumia nguvu kubwa...
KITAIFA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kulia) akijibu maswali ya waandishi wa magazeti ya Mwananchi Communications Limited nje ya Ukumbi wa Bunge Maalumu la Katiba, mjini...
Profesa Kabudi awasha moto Katiba Mpya
Kwa ufupi
Aidha, amewashangaa wanaolibeza jina la Tanganyika kutumika serikalini kwa madai kuwa jina hilo siyo haramu kwa kuwa limo ndani ya Katiba ya sasa...
Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema uamuzi wao wa kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge ni sahihi kwa kuwa ni njia ambayo imeonekana kwao kuwa inafaa kudai haki ya...
Wakuu hivi huyo mjumbe wa bunge la katiba mhe.TAWHIDA GABRIEL kabla ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa bunge maalum la katiba alikuwa wapi? hoja zake zimewakuna wengi sana naomba kumfahamu, hasa nje ya...
Ni vita ya maneno ya hoja kati ya Mchungaji Peter Msigwa na Askofu Mstaafu Donald Mtetemela
Dodoma. Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Peter Msigwa amemvaa Askofu Donald Mtetemela na kumtaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.