KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Kutokana na mjadala uliopo kuhusu rasimu ya katiba mpya kumekuepo na migongano ya kimawazo kutoka katika kada mbalimbali zikijadili muundo wa serikali wengine wakisema tatu,mbili,moja na wengine...
0 Reactions
3 Replies
804 Views
CCM inatushangaza sana kwa kauli zao baada ya mzee warioba kuwakilisha rasimu ya pili bungeni jana. Wasira alizungumza kwa jeuri sana wakati akihojiwa na mwandishi wa itv achilia hapo leo asubuhi...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Tumekuwa tukipata malalamiko makubwa sana hasa kwa wananchi wa tanganyika waishio zanzibar, kwamba kuonekana sio raia na kubaguliwa. Kama ccm wanania njema na muungano huu ,walete serikali zozote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za kazi? Kutokana na Chama cha Mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kutaka uwepo wa Serikali mbili, huenda kuna jambo zuri la Kitaifa ambalo mimi na baadhi ya Watanzania wengine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimepitia hotuba ya jarioba jana, katika aya zinazohusu muungano tumeendelea kusikia mapendekezo kadha ambayo yamekuwa yakitolewa na tume mbalimbali, viongozi, taasisi, na hata vyama mbalimbali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndg wana JF, OMBI LANGU KWA CCM BORA WAKUBALI TU SERIKALI TATU(3) then wafanye yafuatayo (1) WAZIRI MKUU TANGANYIKA na WAZIRI MKUU ZANZIBAR(WOTE WAREPORT KWA RAIS WA TANZANIA) (2) RAIS...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Takribani zaidi ya masaa matatu aliyotumia Mwenyekiti wa Mchakato wa Katiba Mpya, Jaji Joseph Sinde Waryoba kuwasilisha kile kinachoitwa(nasema ni kile kinachoitwa kwa vile sasa maana halisi ya...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Prof mahalu ndio anaendesha semina sasa hv
0 Reactions
6 Replies
2K Views
A man with a mission to make Zanzibar that is at peace with itself and with others and a better place to live for its citizens and visitors. I believe in the power of the new generation to...
6 Reactions
26 Replies
6K Views
Naombeni msaada kwa anaye fahamu, kama bunge litakuwepo au la..kama litakuwepo je ni saa ngap na shughuli zipi ni za leo
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nilipendezwa sana niliposikia kuwa hata ofisi ya Mh. Waziri Mkuu na Makamu wa Rais zilipendekeza Serikali Tatu. Hawa ni watumishi wa umma wanaostahili kupongezwa kwa kuuona ukweli wakiwa sawa na...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilivyomsoma warioba na tume yake, ni kwamba uamuzi wa serikali tatu umechangiwa hata na wakuu wa serikali, sasa iweje tuwachanganye wananchi na wajumbe walioko huko bungeni kwamba watetee...
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Hivi ktk mtizamo duni kabisa J.S WARIOBA katika uadilifu wake na utumishi wake uliotukuka na ktk itikadi yake iliyozama ndani ya chama cha mapinduzi,je angeliweza kweli "kubuni" mapendekezo ya...
1 Reactions
0 Replies
879 Views
Nilipendezwa sana niliposikia kuwa hata ofisi ya Mh. Waziri Mkuu na Makamu wa Rais zilipendekeza Serikali Tatu. Hawa ni watumishi wa umma wanaostahili kupongezwa kwa kuuona ukweli wakiwa sawa na...
1 Reactions
0 Replies
612 Views
How CA members reacted to Warioba’s presentation in assembly http://thecitizen.co.tz/News/How-CA-members-reacted-to-Warioba-s-presentation-in-assembly/-/1840392/2249282/-/nv0l2dz/-/index.html...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Wadau, mtu akitonywa jambo ambalo lina maslahi ya kitaifa, ni vema akaliweka hadharani ili kupata tafakuri ya pamoja. Ni kwamba mdau wangu ambaye yupo kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba ambayo...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
  • Closed
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema...
4 Reactions
216 Replies
20K Views
wanaotaka serikali 2 hasa CCM maboresho ni yapi yaliyowashinda for 50 years? yasemwe tuyachambue mapema vinginevyo mwacheni Warioba apete. Mkileta zenu kwenye kura ya katiba tutamaliza.
1 Reactions
2 Replies
972 Views
Wadau wengi wanabishana kuhusu serikali mbili au tatu au hata wengine kwenda mbali na kutaka serikali moja hii ni mitazamo ambayo kwangu sioni kama ni tatizo watu kutaka nchi yao iweje kwa mapenzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nitashangaa sana kama wajumbe na wanasheria maili wakiacha na hili lipite tu. Ninavyojua ili uwe mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano unahitaji kuchaguliwa ama kuteuliwa na baadha ya kutangazwa...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom