KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Wakuu, Mh. SS, pamoja na mambo mengine, amesema kutakuwa na Semina itakayoongozwa na wataalamu wa nje ya nchi yetu kwa wajumbe wa Bunge Maalum. Maswali yangu ni mengi kuliko majibu. 1...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Warioba ni mwanasheria mzoefu hapa nchini. Si mgeni wa kanuni bungeni. Kinachonitatiza ni kitendo cha yeye kwenda kuhutubia bunge ilhali akifahamu wazi kuwa kanuni zinamhitaji rais aanze na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
HIVI aribu karibuni wajumbe 629 wa Bunge Maalumu la Katiba. Wamejiweka kitanzi na kuagana na Mungu kutenda haki watakapopitia na kuiboresha Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya iliyowasilishwa na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau wa katiba mpya! Hapana hata chembe ya ubishi kuwa Mh Sitta hatamudu kuongoza bunge la katiba! 1.Ni mbabe sana 2.Amelewa sifa zizizo na maana 3.Ana busara ndogo sana pale mjumbe...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wadau, Habari za Jumatatu, siku njema, siku tulivu hapa Dodoma. Hali ya hewa ni nzuri kabisa kwa siku ya leo. Joto kwa sasa ni nyuzi joto 20 na kwa siku ya leo inatabiriwa kuwa kutakuwa na...
7 Reactions
340 Replies
23K Views
Kusema ukweli kilichotokea mjengoni jana sio siri wananchi wamehuzunishwa sana kumbe wale watu hawako kwa maslahi ya nchi hii kwa nini bunge katiba lisifutwe kabisa haina maana yoyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Page 1 of 4 BARUA YA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA) KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM, MHESHIMIWA SAMWEL J. SITTA, KUHUSU UKIUKWAJI WA KANUNI ZA BUNGE MAALUM Mheshimiwa Mwenyekiti, Sisi ambao...
8 Reactions
66 Replies
8K Views
Kilichotokea jana saa 11 jioni kwenye kikao cha Bunge Maalum kiwe fundisho kwa M/Kiti na wengineo kwamba wajumbe wa Bunge hilo wasichakachuliwe kwa semina za kufua vifua n.k. na wala kwa hotuba ya...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado...
5 Reactions
122 Replies
8K Views
Wakuu, Warioba atawasilisha Rasimu ya Katiba mbele ua Bunge kwa masaa 4 kesho kuanzia SAA 3-7 mchana. JK atafuatia baadae. More info to follow
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwanza, namlaumu kwa kukiuka Kanuni za Bunge Maalum la Katiba ambazo zinataka Rais Kikwete aanze kulizindua Bunge hilo kabla ya Jaji Joseph Sinde Warioba kuwasilisha Bungeni humo Rasimu ya pili ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tuliambiwa yeye ndiye mtu pekee mwenye viwango na uwezo wa kuendesha Bunge Maalum la Katiba. Mitandao ikajaa sifa kemkem kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji enzi za...
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Ndugu zangu wadau wana Jf na watanzania wenzangu Kwa kinachoendelea Dodoma kama busara haikutumika, tutegemee wajumbe wa bunge la katiba wakifungasha virago na kuodoka zao bila kukamilisha...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu kwa mujibu wa sheria ni kuvunja kiapo walichoapa kwamba watakuwa watiifu kwa jamhuri ya muungano, kwani warioba alisimama...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Wanajamvi Mhe. Sita ameanza vibaya kwa kuanza kuvunja kanuni Inayotaka Mhe Rais atangulie kwanza alizindue ndo lianze kazi ya kwanza kupokea Rasimu na maelezo ya Mkit wa Tume. Akaanzisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naona Bungeni kwachafuka. Baada ya Mhe. Jaji Warioba kupewa nafasi ya kwasilisha Rasimu ya Katiba Wahe. Wabunge wameendelea kupiga kelele, kugonga gonga meza na hivyo kukawa hakuna amani na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo saa kumi na moja jioni mzee Joseph Sinde Warioba, jaji, anawasilisha (kihutuba) rasimu ya katiba mpya kama ilivopendekezwa na wananchi wengi wa Tanzania. Nakuomba Mwenyezi Mungu umpe moyo wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bwana Ole sendeka, naomba nikukumbushe haya: 1. Nyerere sio msahafu and he will never be!!!. All men are fallible, no man is infallible. Nyerere also falls within this famous philosophical...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
- Nimeshitushwa sana na habari kwamba kesho Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu ya Katiba, atapewa Dakika 60 kuzungumza bungeni kuhusiana na Rasimu ya Katiba, so I am like daamn hivi tume itaisha lini it...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Hotuba ya ufunguzi wa bunge maalumu la katiba j5
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…