KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

na Josephat Isango CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu, Joseph Warioba, inawatakia mema Watanzania hivyo iungwe mkono...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, leo anahitimisha siku 15 za ziara ya chama hicho ya kukusanya maoni ya rasimu ya Katiba mpya iliyofanyika nchi...
0 Reactions
5 Replies
964 Views
Mkutano wa Maoni ya Katiba mpya ulianzaa mida ya Saa nne asubuhi katika uwanja wa mpira mjimwema stendi, Watu wamepata fursa ya kuchangia maoni ya Katiba na kuuliza maswali ama ufafanuzi...
4 Reactions
82 Replies
8K Views
Baada ya tume ya Warioba kuileta rasimu ya Katiba mpya ijadiliwe, ni jambo lisilopingika kwamba Taifa linaelekea kugawanyika kutokana na hoja kubwa iliyozuka ya mfumo wa Muungano na serikali zake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bila shaka picha zinatosha kwa sasa, most updates; stay tuned...........
5 Reactions
43 Replies
5K Views
1 rais aondolewe kinga 2tume ya uchanguzi iwe huru 3waziri wasiwe wa bunge 4 igp mkuwa jeshi wasiteuliwe na rais 5mtu akishikwa na sembe kifo ongezea na yakwako
0 Reactions
1 Replies
953 Views
Katibu mkuu wa chadema dr slaa atahutubia mikutano mitatu kwenye majimbo yaliyopo mkoa wa kinondoni. Mpaka sasa watu wanaendelea kumiminika kwa viongozi waliyofika wa juu ni mzee kimesela,katibu...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema ili nchi iwe na umoja, kuna umuhimu wa mchakato wa kutoa maoni ya kuandikwa kwa Katiba mpya, ufanyike kwa umakini...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jaji mstaafu na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Mpya amewajia juu wanasiasa hasa wanaowaambia wafuasi wao waseme nini na mawazo mengine yanatolewa majukwaani kwa utashi wa kisiasa kwamba...
4 Reactions
60 Replies
5K Views
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku Tanga. Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amesema asingekubali kushiriki...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Tayari katibu mkuu wa Chadema Dkt. Slaa ameshawasili uwanjani. Mjumbe wa kamati kuu anatoa maneno ya utangulizi. Viongozi wengine walioambatana nae ni Mama Kaihula-mbunge, Katibu wa mkoa Mzee...
2 Reactions
83 Replies
8K Views
Wasalaam, Tangu kutolewa kwa Rasimu mpya ya katiba yetu kumekuwa na mijadala mbalimbali kutokana na maudhui yaliyomo katika rasimu hiyo. Binafsi nimekuwa nikitafakari mustakabali wa nchi yetu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani kwa mda mrefu watanzamia vjama toka vyuona tumekuwa tunakutanana na changamoto kubwa na ghadhabu pale umapoona kazi inatangazwa afu experience miaka kadhaa sasa suluhsho ya hili ni kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mie naona ili kumaliza mgawanyiko na mvutano unaojitokeza kuhusu Tanzania kuwa na serikali mbili au tatu, basi tuwe na serikali moja. Maana kama suala ni kuua kero za muungano na kuuimarisha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Waungwana nimesukumwa kuuliza swali hili baada ya kuvutiwa na utaratibu wa CHADEMA wakuhakikisha maoni yawasilishwayo na chama hicho yanatoka kwa wananchi moja kwa moja tena kwa mikoa yote kitendo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
1.Napendekeza katiba iliruhusu kuanzisha makapuni binafsi ya Upelelezi(private investigation company).Upelelezi wa sasa unaegemea upande moja wa polisi hivyo kuchelewasha upelelezi au kutoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
yadai ni vijana waliopitwa na wakati. wamedai wameshtushwa na kauli ya vijana hao kumtaka rais shein amfukuze kazi mwanasheria mkuu kuhusu maoni yake ya serekali 3.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
August 22nd 2013 MKUTANO WA CHADEMA MBEYA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa jiji la Mbeya, katika mkutano wa hadahara wa...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Jana likuwa siku ya kwanza kwa halimashauri za mkoa wa Dar es salaam kujadili katiba mpya. wilaya ya kinondoni wajumbe walijadili katiba nje ya uwanja huku mvua ikinyesha. Awali waliambiwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
- Nimeshitushwa sana na Wapinzani kukosa kabisa hoja nzito zenye tija kwa Taifa letu, baada ya makelele ya muda mrefu sana kutaka marekebisho ya Katiba, sasa Mapendekezo yamewekwa mezani...
2 Reactions
59 Replies
4K Views
Back
Top Bottom