KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuuamuwa kutumia Helkopta 2 kuzunguka karibu nchi nzima kukusanya maoni ya Wafuasi na wasio wafuasi wake juu ya aina ya MUUNDO GANI wa KATIBA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana jukwaa,habari nilizozipata kutoka kwa katibu mwenezi jimbo la Segerea,ni kwamba kesho katibu mkuu wa CDM Dr W Slaa ataongoza mkutano wa hadhara wa mabaraza ya katiba katika majimbo matatu ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tarehe 21\08\2013 saa 11:40 jioni katika Viwanja vya Kizwite ni jinsi baraza la Katiba la Chadema lilivyopokelewa mjini Sumbawanga na kuungwa mkono. Ilikuwa Hoja kwa Hoja: na Hoja kwa Hoja kweli...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mkutano wa Maoni ya Katiba Sumbawanga Utakaoendeshwa na Mh. Mbowe, Mh, Lissu, Mh. Mnyika na Mh. Mdee utafanyika kesho saa 8 mchana katika viwanja vya Shule ya Msingi Kizwite na Ndua. Mkutano huu...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
1.Napendekeza katiba iliruhusu kuanzisha makapuni binafsi ya Upelelezi(private investigation company).Upelelezi wa sasa unaegemea upande moja wa polisi hivyo kuchelewasha upelelezi au kutoa...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Bonyeza Web hii swahilivilla: Sikiliza na angalia kwa makini Video ya Kamati ya Maridhiano Six Uchambuzi wa Muungano na Katiba Mpya. Part 3 & 4
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mpambanaji wa mgombea binafsi Christopher Mtikila Wapenda demokrasia hawataweza kumsahau Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Christopher Mtikila katika harakati zake za kuona demokrasia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chama cha Wananchi (CUF), kimeitaka Serikali kuhakikisha Katiba Mpya inapatikana baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015, kwa kuwa inahitaji muda wa kuijadili na si suala la kukurupuka. Akifungua semina...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakati Mwigulu akiendelea kuwaburudisha wananchi wa jimbo lake na Simba; kitendo kilicho waudhi washabiki wengi wa simba wenye itikadi tofauti. Makamanda wa CHADEMA wameendelea kutoa elimu ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Chadema tuelekeze nguvu vijijini na tusibweteke kwani hatujui nani kanali wa jeshi la ccm tutayepambana nae 2015 kwani kama mugabe kashinda sintoshangaa hata lowasa akishinda kwa kisingizio cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Dr slaa na timu ya viongozi wa CDM, hapa Morogoro, kuazia saa nane mchana, na waru kupata fursa ya kutoa maoni yao ya rasimu ya katiba mpya. Ni Morogogoro...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Salam wanajamv, wakaz wa Tukuyu mjni wilaya ya Rungwe munaarifiwa kuwa kesho Tarehe 21/08/2013. Kutakua na mkutano mkubwa wa CHAMA CHA DEMOKRASIA CHADEMA, Ktk viwanja vya Tandale-Tukuyu mjini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanga. Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amesema asingekubali kushiriki katika Tume hiyo laiti kama angejua CCM ingeingilia mchakato huo. Butiku ambaye alitoa kauli hizo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Makamanda leo Dr slaa anafanya mkutano wa baraza la wazi hapa Dodoma.Nitajitahidi kuwajuza kinachoendelea moods naomba mtaniwekea vizuri.
1 Reactions
61 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Kamanda Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Mnyika wafanya kweli Kigoma CCM wakili kuwa wanatisha. Sina Mengi angalieni picha.
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Rais mara kadhaa nimesikia ni taasisi, yapo mengi kwawale ambao vichwa vya zimewapatia hifadhi ya mambo watakumbuka majibu yabungeni, hasa lukuvi akiwa anamlinda rais kama alivyoapa. Alihoji na...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku Tanga. Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amesema asingekubali kushiriki...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Hallow. Naamini utakuwa unafuatilia au walau umesikia hali ya kisiasa ilivyo tata nchini Misri. Pia nina uhakika kila mmoja wetu ana maoni tofauti kuhusiana na janga hili. Hata hivyo nia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jumanne hii, kutakuwa na Mkutano mkubwa wa hadhara katiika kiwanja cha shule ya msingi K Ndege. mkutano huo utaratibiwa na Katibu mkuu wa CHADEMA na timu yake. Sharashamra zitaanza saa nane...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa muonekano wangu Tanzania ni nchi ambayo ina system ya ovyo sana ya kupiga kura, na hii ndio husababisha kila baada ya uchaguzi watu wanakua hawana kabisa imani na matokeo sio ya kuanzia ngazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom