KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Mawazo haya yanatokana na imani kwamba Tanzania, nchi iliojaa neema ya kila hali, ingepata kada ya viongozi madhubuti wenye uchungu na Taifa, ingeweza kufanya mabadiko ya haraka na kutokomeza...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Juzi jaji Warioba alitoa yake ya moyoni wakti akiongea na Baraza la Wanawake huko Bagamoyo. Jaji Warioba ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Mpya alisema vyama vya siasa vimeamua kuingilia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa ufupi "Hayo yalisemwa na Katibu wa kundi namba nne, Leokadia Vedastus huku akitaka katiba hiyo ijayo iongeze wigo wa haki za mfanyakazi ili aweze kulindwakikatiba." Ukerewe. Wajumbe Baraza...
0 Reactions
1 Replies
996 Views
jamani binafsi sajaelewa vipi yale mabaraza ya katiba yanaendelea kweli au inakuaje maana kwa sasa naona haya ya chadema yameshika kasi na yameungwa mkono na wananchi kwa asilimia kubwa.
0 Reactions
2 Replies
731 Views
Nimewakilisha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi misimamo ya CCM na Chadema kwenye mchakato wa katiba ni halali? siongelei usiriki ninachoongelea ni kampeni za kuwaelekeza wananchi nini cha kufanya na nini kinatakiwa kwa mtindo huu tutapata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mkinga anachambua rasimu. Rasimu hii inalenga kuvunja muungano. Imechukua mambo kwenye katiba ya Zanzinzibar na kuyahamishia kwenye katiba ya muungano. Mchambuzi anaunga mkono uchambuzi wa Prof...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika kuidurusu rasimu ya Katiba mpya, sehemu ya YALIYOMO sura ya Kumi na Tano sehemu (c) yenye Kichwa cha habari Polisi wa Jamhuri ya Muungano kifungu cha 230 Warioba na wenzake wameandika...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
CCM na hulka ya kupinga mambo ya maana Kitila Mkumbo Toleo la 310 7 Aug 2013 Kikwete pekee ndiye atakayeokoa mambo Katiba mpya MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Sasa ni wazi kuwa Muundo wa serikali tatu hauepukiki kwa nini? Tanzania bara siyo Nchi na wala siyo jina lake, Jina halisi ni Tanganyika, kwa vyovyote vile hatuna katiba yetu sisi kama watu wa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
MWENYEKITI na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wanaanza rasmi ziara nchi nzima kwa kutumia helikopta kwa ajili ya kuzindua mabaraza ya Katiba ya chama. Ziara hizo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM) Nimrodi Mkono Mjadala unaoendelea kuhusu rasimuya Katiba Mpya, unayagusa makundi mengi ya kijamii na watu binafsi, kila upande kwa namna yake. Lakini sehemu kubwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika RASIMU YA KATIBA MPYA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 2013: "Maoni ni kuhusu sikukuu nyingi zisizo na tija, zipunguzwe na muda wa kazi Uongezwe" Katika Rasimu ya Katiba Mpya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jamii forums Natoa angalizo kwa mchakato wa katiba mpya kuwa serikalii iangalie kama kuna uwezekanao wa kubadilisha mfumo wa kuchagua viongozi badala ya kupiga kura zoezi ambalo linatumia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanachama wa ccm mkoani Rukwa wamekwenda kinyume na msimamo wa chama chao na kutaka uwepo wa serikali tatu maana katiba ni kwa maslahi ya Taifa na sio wana ccm, Tunajua ccm viongozi wakubwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Micheweni. Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wametoa mapendekezo ya pamoja wakitaka mambo matano yaondolewe kwenye Muungano, yabaki...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/watch?v=NcETj_0rgh4
0 Reactions
0 Replies
858 Views
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya umeanika sura halisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Kwamba wamepinga mambo yote ya maana katika rasimu hiyo si jambo la ajabu na inatukumbusha kwa mara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Joseph Warioba, Chairman of the Constitutional Review Commission (CRC) The Chairman of the Constitutional Review Commission (CRC), Joseph Warioba, has expressed concern on the weight placed by...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CCM ina msimamo wake rasmi juu ya Rasimu ya Katiba mpya.Msimamo huo unahusu hasa kupinga kwa nguvu zote uwepo wa Serikali Tatu. Msimamowa cahama chetu ni kutaka Serikali mbili. Si tatu kama Rasimu...
7 Reactions
63 Replies
6K Views
Back
Top Bottom