KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

I hope Mods hawataunganisha na Nyingine maana hapa ninataka kuonyesha hakuna Mantiki ya kuendelea na Muungano, hasa baada ya Ujio wa rasimu yetu. 61.- Kwa mujibu wa Katiba hii, Washirika wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mbinu za ccm za kuharibu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpyaa zimeanza kujidhihirishaa wazi.uku wilaya ya moshi vijijini wamewaita wajumbe wote wa mabaraza ya katiba etii ambao ni wanachama wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Other things Remain Constant, Vijana na watoto wetu ndio tunategemewa kuitumia zaidi katiba mpya. Mabaraza yanaanza, kama wadau nawaomba TUISOME RASIMU, TUTAFAKARI, TUJADILI, TUTOE MAONI KWA...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Sio sahihi kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuja kabla ya uwepo kwa ukamilifu – kwa Katiba za mataifa mawili yanayounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – yani Jamhuri ya...
9 Reactions
47 Replies
4K Views
Tumeona katika sehemu ya kwanzakwamba hofu walizo nazo wenzetu kuhusu uwepo wa Serikali tatu ni zakibinafsi na kimaslahi zaidi na hazina mashiko wala ithibati kwa kuwa jambo lenyewe halijaanza na...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Kikao cha kamati kuu ya CCM chini ya mwenyekiti wake rais Jakaya Kikwete kimekaa kwa siri kwa siku mbili mjini Dodoma na kumaliza kikao chake jana na kutoa maadhimio yafuatayo kuhusu rasimu ya...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Prof Ibrahim Lipumba amenukuliwa na vyombo vya habari (Mwananchi) akilalamikia rasimu ya katiba kwamba inaiminya Zanzibar kwa kuwapatia nafasi 20 za wabunge wa bunge la muungano huku Tanganyika...
8 Reactions
38 Replies
3K Views
Leo nimesoma jibu la Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Pereila Ame Silima kwa swali la Mbunge wa Mheza Helbert Mtangi, kuhusu suala la uraia wa nchi mbili, nikaishia kuisikitikia sana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Amani iwe kwenu, Wana jf leo nikiwa kanisa katoliki lilipo huku njiro katika misa ya kwanza tumetangaziwa kwamba wasomi wa kanisa katoliki wameipitia na kuichambua kwa umakini rasimu ya kwanza ya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimekuwa na dhamira ya kugombea ubunge tangu nikiwa kidato cha tano,NI takribani miaka Saba(7), Nilibweteka na kufikiri kuwa ninaweza jiandaa na maisha,LA HA SHA,maisha NI haya...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
huyu mzee shivji ameichambua rasimu ya katiba leo kuhusu muundo wa serikali tatu na mengine mengi...huyu mzee angekuwa kwenye tume ya katiba angetoa ushauri mzuri na kwa upande mwingine uwenda...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Na Miza Kona-Maelezo Zanzibar Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar imeendelea na msimamo wake wa kuwahahakikishia Wazanzibari kuwa itasimamia na kuyatekeleza matakwa yao watayokubaliana katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UTATANISHI NA UKIMYA KATIKARASIMU YA KATIBA MPYAIssa ShivjiMHADHARA WA KUAGA KIGODA CHA MWALIMUIGODA CHA TAALUMA CHA MWALIMU NYERERKECopyright © Issa Shivji, 2013Kwa dhati kabisa ningependa...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu wana jamii forum habari nlizonazo na za kuaminika ni kuwa baraza la katiba Halmashari ya Moshi linaanza kukutana rasmi tarehe 20 mpaka 22 mwezi huu wa July 2013 katika ukumbi wa Umoja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenzenu nasikitishwa na tume hii ya katiba inayoongozwa na mzee wetu walioba kukusanya maoni kwa watanzania juu ya katiba mpya huku watanzania wengi wakiwa hawaijui hata ya zamani inasemaje? kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama hukubahatika kumsikiliza Prof Shivji katika muhadhara alioutoa pale UDSM kuhusu katiba Mpya na uchambuzi wake Mfuatilie sasa kupitia ITV Anazungumzia Mtazamo wake (Perspective) Udhani wake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii, mimi naona Jaji Warioba na tume yake wametuchanganya zaidi kuliko kutuongoza. Kwa kupendekeza tu serikali TATU wameleta balaa kubwa kuliko suruhu. Kwanza hii katiba yao ni ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyerere alisema maadui ni watatu mimi natoa new version kua adui ni mmoja tu, yule asiyeiogopa KATIBA.nawasilisha :A S-alert1:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Warioba anazungumza kana kwamba msimamo wake na mawazo yake ndiyo sahihi na kwenda kinyume nayo ni hatari kwa taifa. Wamependekeza serikali tatu na inaonekana wamependekeza kwa sababu tu wanataka...
8 Reactions
60 Replies
4K Views
naskia ktb mpya imependekeza mafisadi wanyongwe,me naunga mkono
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Back
Top Bottom