KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa, Benki Kuu, vyama vya siasa na Uhamiaji ni miongoni mwa mambo yapendekezwa kuondolewa katika Rasimu ya Katiba mpya. Mapendekezo hayo yamo katika kijitabu cha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Inaelekea draft ya katiba imetupotosha na kusahau jambo la msingi kuliko yote. Moja ya mambo ambayo yalifanya vyama vya upinzani kutaka kugomea process ya katiba mpya ni kubadilishwa kwa sheria...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu zangu, tukiwa tunajiandaa na serikali tatu, nashauri watanganyika tuanze kujianda na yafuatayo:- 1. Tuwaambie kabisa wapenzi wa muungano huu, waanze kuanda ikulu yao atakayeishi rais...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimejiuliza sana kabla yakuja hapa jf. Hawa ccm ni kina nani? Hadi wanataka kutuharibia katiba. Tume imezunguka nchi nzima imetumia pesa yetu nyingi. Imekusanya maoni ya wananchi wa tanzania...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
:mad:Sasa ni wazi, CC ya CCM imeamua kuendeleza ubabe kwa kupinga uwezekano wa kuanzishwa serikali ya Tanganyika, Nilidhani wameridhia hiyo hoja maana Rasimu ilitakiwa iwe imepitiwa na wakulu na...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Kila nikiungalia muungano mwenzenu sipati jibu, kwa mfano Muungano unapingwa sana na Wazanzibar kuliko Watanganyika, lapili ni kuwa Viongozi wanaung'ang'ania sana! Kwa nini muungano uvunjike? Na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ibara 14-1,3,pia Ibara 15-1,3..utekelezaji hizi ibara zikifanikiwa kupita
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kile kipengele cha kutaka kila jimbo kuwe na mwanamke,siungi mkono,kigezo kiwe uwezo sio JINSI,mambo Jinsia katika nafasi za ubunge sioni,wakitaka waweke katika makamu wa Rais au Mawaziri
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula MWELEKEO wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika mabadiliko ya muundo mpya wa Serikali ya Muungano, ni wa kuwa na Serikali moja, yenye Rais mmoja...
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Written by Ahmed Omar Khamis // 29/06/2013 // Habari // 13 Comments...
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Ndugu zangu, Mimi naamini, kuwa Mfumo wa Serikali Tatu hautavunja Muungano, yumkini utauimarisha. Kama kweli tuna dhamira ya dhati ya kutoka kwenye tope la kero za Muungano tulilonasa, basi...
8 Reactions
82 Replies
6K Views
Ndugu wanajamvi napenda kushirikiana na nyinyi kwenye hili suala la katiba mpya, kwa jinsi ninavyoona hawa CCM wanavyolazimisha kuhodhi mchakato wa katiba mpya ambayo haikuwa kwenye ilani yao...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Katika waandishi wa habari/makala mzee huyu siwezi kulala bila kumaliza makala yake. Tatizo la baadhi ya sisi Watanzania ni WAVIVU mno kusoma ndio maana tunabishana kuhusu muundo wa muungano wetu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF.. Salam.. Kwanza natoa pole kwa wana JF woote, wanaoumiza vichwa humu kuwaelimisha wafia chama CCM.. Nije kwenye MADA. Kuna jambo ambalo limekua linapotoshwa na CCM kuhusu suala la...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Kamati kuu imesema ccm haitaki muundo wa serikali tatu bali mbili hayo yamesemwa kwenye kikao kule dodoma hivyo katiba shakani kupita kwani ccm itakua na wabunge wengi katika bunge la katiba...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Dodoma. Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kimemalizika mjini Dodoma huku kukiwa na taarifa kuwa chama hicho kimeweka msimamo wa kutaka kuwepo kwa mfumo wa Serikali mbili katika Katiba ya Jamhuri ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Rasimu ya Katiba Mpya inaendelea kuibua mambo na hisia mpya. Safari hii aliyevunja ukimya ni Mhadhiri mstaafu na mwanasheria maarufu nchini, Profesa Isaa Shivji. Profesa Shivji anazungumzia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo...
1 Reactions
113 Replies
8K Views
Endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa na wananchi na hivyo kuwepo kwa serikali tatu basi kitakachoiua serikali ya muungano ni rasilimali fedha! Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Monday, June 24, 2013 MWENYEKITI UVCCM TAIFA  Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma Hamisi (katikati) akiwa na mwenyekiti wa UVCCM kilimanjaro, Fredrick Mushi (kulia) na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom