KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,James Mbatia,amesema katiba iliyo andaliwa na serikali inayotarajiwa kufikishwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa imenakiliwa kutoka katiba ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
kuna kipengele katika muswada wa uundwaji wa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya kwamba ni kosa la jinai kuhoji au kupinga au kukebehi maoni/maamuzi ya tume. Imekaaje hii?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani wana JF, mchakato wa katiba mpya unategemea kupelekwa bungeni katika kikao kijacho cha bunge kwa mujibu wa taarifa ya mwisho wa mwezi wa March ya Mheshimiwa raisi lakini inakuaje yale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tuesday, 29 March 2011 Mwandishi Wetu MUSWADA maalumu wa kuunda Tume ya kukusanya maoni na kupendekeza muundo wa Katiba mpya ya Tanzania, unatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Aprili...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanajamii Forums hapo juu nawakilisha swali langu na pia kueleza mtizamo wangu juu ya jambo hili. Naomba mchango wenu lakini naomba tuchangie kwa hoja za kujenga!
0 Reactions
27 Replies
39K Views
JUMUIYA ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), imeandaa kongamano la pili la Katiba ambalo pamoja na mambo mengine, litajadili muswada maalumu wa sheria unaopendekeza mabadiliko...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Bw. John Mnyika amedai kushtushwa na maudhui ya muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2011 uliochapwa katika Gazeti la Serikali toleo No. 1 Vol...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Randal Sadleir Randal Sadleir, who died on August 11 aged 85, was a colonial servant in Tanganyika whose friendship with the charismatic Julius Nyerere enabled him to stay on as the last British...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tujalie Wz’bar tuna Muungano na Tanzania Bara?kilicho tunganicha ni nini hivi sasa? Waungwana? mimi nashindwa kufahamu jee tuko ktk Muungano au tuko ktk mazoea tulio kwisha zowea? maana haingii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KUTAKUWA NA KONGAMANO LA KATIBA JUMAMOSI HII NKURUMAH UDSM LAKINI WASEMAJI KAMA NI WACHOVU SANA YAANI SAMATTA NA JAMAA MMOJA WA LHRC MHH NAPATA MASHAKA KAMA LITAFANA ila wadau mwende mtupe habari
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwenye katiba mpya lazima tuweke sheria Ndugu wa Rais atakayechaguliwa hawaruhusiwi kugombea Urais au Madaraka yoyote Nchini itasaidia Ubadhirifu usawa na ulafi wa Madaraka na Pesa. Mtoto wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
When Barack Obama visited Ghana last year among other things, he said that Africa does not need strong people rather need strong institutions. I contemplated that statement for quite some time to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SERIKALI imesema mchakato wa mabadiliko ya Katiba utaanza hivi karibuni na itahakikisha kuwa Katiba mpya inapatikana mwaka 2014. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe, Ismail Jussa, amewasilisha kwa Katibu wa Baraza la Wawakilishi, taarifa ya kusudio la kuwasilisha hoja binafsi. Hoja binafsi hiyo inaomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What we are asking is not an act of 'mercy' or 'charity'. We are not asking CCM and its government to have "mercy" on us and grant us a "new constitution". As a matter of fact, we are not even...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha kuwa suala la katiba mpya linafanikiwa wakati wa utawala wake ili kujiwekea historia ya kukumbukwa na Watanzania. Mwenyekiti wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni siku chache tu zimepita toka nimsikie Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Ndugu James Mbatia akielezea hofu na masikitiko yake juu ya hili suala ninaloita kupoteza muelekeo! Mbatia alikuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mjadala wa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano umeendelea kupasua vichwa wanasheria na vigogo wa Zanzibar, ambapo jana imeelezwa si sahihi Rais wa Zanzibar kula kiapo kutetea katiba hiyo, wakati...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni takiribani miezi minne tangu Rais atuahidi katiba mpya. Kwa jinsi kimya kilivyo inaelekea mwaka utaisha hatujasikia kitu. Zanzibar washaanza kujipanga namna ya kuchangia kwenye katiba kupitia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama tujuavyo "Msema Pweke Hakosi", labda tu kwa faida ya wasomaji wetu, ni wakati muafaka kutumia fursa hii kuwekana sawa. Hii methali ina maanisha kwamba yeyote yule anayesema na nafsi yake huwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom