KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

NAAMINI TUNACHOHITAJI NA MAREKEBISHO YA KATIBA NA SIO KATIBA MPYA KAMA WANASIASA HASA WA UPINZANI WANAVYOSEMA NA KUSHIKIA BANGO SIAMINI KAMA WATANZANIA WAMEANDALIWA VYA KUTOSHA KUHUSU MABORESHO...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Jaman wana JF naomba tusaidiane katika hili hivi kuna umuhimu wa kuwa na makamu wa Rais pamoja na Waziri Mkuu Tanzania? Na kama upo ni kwa ajili ya kazi gani? Na Waziri Mkuu anafanya kazi gani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar siyo yanayoudhoofisha Muungano March 14, 2011 Dkt. Shein, Dkt. Karume na Maalim Seif Makala ya Tundu Lissu iliyochapishwa na gazeti la MwanaHalisi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana-JF Naomba kutoa mawazo yangu kuhusu Katiba Mpya kama ikitungwa basi kisisahaulike kifungu kitakacho komesha RUSHWA a.ka Ufisadi. Na kianze mara moja kutumika na Mafisadi wote kama wakina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Oya mazee mm nilikuwa naona kwanza watu wapewe elimu kwanza kuhusu New katiba la sivyo hatuta fikia malengo mazeee au mnaionaje hiiiiii iiiiiiiii iiiiiiii
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TAHADHARI kwa mmiliki wa Jamiiforums: Sitaki kulishwa maneno. Kwa mara nyingine tena posti nilizoandika zinabadilishwa pasi na idhini yangu, pasipo mwenye kubadilisha kubainisha wazi nyongeza ni...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Source: Gazeti mojawapo la leo 7.3.2011 Kwamba katika muswada wa kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya utakaowasilishwa katika kikao cha bunge kinachoanza 5.4.2011 serikali itazingatia hoja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WAZIRI WA SHERIA NA UTAWALA BORA WA SMZ,Mhe Abubakari khamisi bakari Wah. Wazanzibari Wenzangu, Wake kwa Waume, Wah. Wageni Waalikwa, Wah. Salaam na Amani Ziwe Juu Yenu. Utangulizi Wahe...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
YouTube - Skia hii kitu kutoka kwa Jenerali Ulimwengu na mchakato wa katiba 2011 YouTube - Sikiliza Cheche za Mb Tundulisu kuhusiana na mchakato wa katiba hapa nchini YouTube - Mwanaharakati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zanzibar Director of Public Prosecutions (DPP) Othman Masoud Othman has said the present form of the Union Government whereby President of Zanzibar is no longer Union Vice President following the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa njisi ilivyo binafisi nilipendelea serikali ya umoja wa kitaifa ambayo: chama kitakacho pata wabunge wengi kinaunda baraza la mawaziri,waziri mkuu atoke kwenye chama cha kikuu cha upinzani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inafanya marekebisho ya katiba ya mwaka 1984, ambayo yanaipa Zanzibar hadhi kamili kama nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano. Marekebisho hayo ya katiba...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Tanzania: We Want More Say in This Union, Zanzibar Tells Tanzania Govt by Bamuturaki Musinguzi14 February 2011 (allafrica.com) Nairobi — The course of the 47-year existence of the United...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wasira amepongeza juhudi za katiba mpya ili iwekewe msingi wa uhuru na umoja. Kuwepo sheria ya kumzuia mtu anayetaka kuuvunja uhuru na umoja
0 Reactions
3 Replies
1K Views
TUJIKUMBUSHE WATANZANIA!!!!!!!! Watanzania Je! Si Bora Tukaongozwa na Hekima Kuandika Katiba Mpya????????? Kwa mawazo yangu bado naona CUF wana agenda yao na suala la Katiba Mpya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi hakuna mtawala anayependa watu waandamane dhidi ya serikakali yake au hata dhidi yake. Maandamano kwa nchi zisizothamini na kutambua misingi thabiti ya demokrasia ndio njia ya msingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu! Pia kuna...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu mi nadhani kuna haja ya katiba hii mpaya tunayoitafta sasa hivi kwa hali na mali kuweka wazi suala la viongozi wa nchi kung'ang'ania madaraka.yani kwa mfano, suala la misri, jordan, tunisia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sipingi suala la katiba mpya,ila ni yaaina gani? Ya sasa inamakosa gani? Nilazima tuandke mpya? Kwa nini tusirekebishe ya sasa tu?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu Wanajamii, Mimi ninaunga Mkono suala la kuwa na Katiba Mpya.Lakini tatizo langu na Hofu yangu kwa Tanzania wengi hawajui hata hiyo katiba ya zamani ya mwaka 1977 inamapungufu gani?Kwa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom