KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

From LEONARD MWAKALEBELA in Dodoma, 9th February 2011 @ 04:36 DAILY NEWS THE government is expected to move a bill to kick-start constitutional review process in April. The Prime Minister, Mr...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wazee, Kauli hiyo imenikuna sana. Imetolewa na Mhe. Lema wakati wa Mdahalo wa Tanzania Tunayoitaka uliorushwa moja kwa moja na ITV.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Je hiyo ni kweli? Maneno haya kayasema leo mjini Dodoma.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kuna maneno mengi aliyoyaongea Jenerari; mojawapo ni kuwa wakati wakiwa kwenye peak na Mkapa walibadilisha kipengere cha katiba kuhusu ushindi wa rais uwe hata kwa kura moja tu (simple majority)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAKOSA YA HOJA ZA MSEKWA KUHUSIANA NA KATIBA Na. M. M. Mwanakijiji Ni vizuri tujitahidi kutenganisha watekelezaji na Katiba. Katiba inaweka tu vyombo vinavyoingiza watekelezaji hao…Hilo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za jioni wanaJF. Tunatambua kwamba mpaka sasa hakujawa na kauli iliyo wazi kutoka serikalini inayoonyesha kama watanzania watapatiwa katiba mpya. Leo hii mh.rais ametoa kauli nyingine...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Karibu kila jambo linalotokea tunakimbilia kusema suluhu ni katiba mpya! Je ni kweli kwamba katiba mpya pekee inaweza kutukomboa na matatizo tuliyo nayo wa TZ?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
http://www.mzalendo.net/wp-content/uploads/2011/02/Tamko-la-MUWAZA-Katiba-Mpya.pdf
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi huru inayokatiba iliyoidhinishwa mwaka 1977 na kurekebisha kila kipindi inapobidi. Kwanini tusiendelee kuirekebisha kama ilivyokua mwanzo. nini hoja ya msingi ya kutaka katiba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi kwa maoni yangu ningependa bila kujali vyama vya siasa dini, kabila wala sura ya mtu, inapofikia kipindi cha uchaguzi mkuu, kabla viongozi hawajachukua fomu za kugombea nyadhfa mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kauli ya Kamati Kuu ya CCM kuhusu Suala la Katiba Mpya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Dar es Salaam tarehe 20/1/2011 chini ya Uenyekiti wa CCM Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, ilijadili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kisheria ni halali walipwe? Kama si halali kuandamana ni muhimu kupinga huo ubadhirifu. Tunaandamana baada ya Dowans kulipwa au kabla?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amemshangaa Mwanasheria mkuu kwa kusema kauli aliyotoa kuhusu Katiba mpya kuwa ni maoni yake binafsi. Amesema kauli anayotoa kiongozi yoyote akiwemo yeye mwenyewe Pinda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
:thinking:Kwa maoni yangu napendekeza utaratibu ufuatao katika kuandaa/kuandika Katiba Mpya ya Tanzania. Hatua 1:Kubainisha udhaifu/mapungufu yaliyomo katika Katiba ya sasa.Mapungufu hayo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba wote tukae tutafakari mambo muhimu tunayotaka yawe kwenye katiba mpya. Ni kweli kwa sasa tuna nia moja ambayo ni kupata katiba mpya. Basi na tutoe mapendekezo, na hii thread mwisho wa siku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani, unaona taasisi gani ivunjwe kabisa na ifutwe kabisa toka ktk katiba. Sio tu kwamba iundwe upya bali ifutwe kabisa! Karibuni!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
TUCTA tusaidieni hili liwekwe wazi kwenye katiba mpya kwa faida ya sasa na hata miaka hamsini ijayo. Jambo lenyewe linahusu kwamba fedha tunazochangia kwenye mifuko mbalimbali ya akiba kwa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mapendekezo yangu Katiba Mpya inatakiwa iweke wazi mambo yafuatayo:- Hapa ni kwa nafasi za Urais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakurugenzi wa Wizara/Mikoa na Wilaya, Mkuu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
spika wa bunge na makamu mwenyekiti wa sisiem atakuwepo leo saa tatu usku hotel ya moven pick kwenye mjadala wa katiba,ITV na Redio one watakuwa live kwenye tukio hilo.Je atazungumza pointi au ni...
0 Reactions
208 Replies
15K Views
hivi huyu msekwa kusema eti katiba yetu haina makosa ila tuna tatizo la kimaadili kichwani zinamtosha kweli?.. sasa mfano hicho kifungu kinachosema kuwa rais wa tanzania hatoshtakiwa popote akiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom