KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Yupo msekwa main speaker. Kwa mbalii namuona Mrema wa TLP na Zito
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna John Mnyika, Tambwe Hizza na Dr Mvungi. Twende kazi
0 Reactions
226 Replies
18K Views
Kiukweli nimefurahi sana waafrika tumeamka sana jana kwenye vyombo vya habari eti waziri mkuu atajiuzuru na kuachana na mambo ya siasa baada tu ya uchaguzi wa nchi yao sasa swali, je sisi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Source: NIPASHE Ijumaa Januari 28,2011 Uk wa 3 Heading: Spika Aitisha Hoja ya Mnyika ya Katiba Abstract: Bunge limekubali Mnyika awasilishe maelezo ya hoja ya sheria ya kuratibu mchakato wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hivi ni kweli kwamba matatizo yetu yote tuliyonayo ni sababu ya katiba? na ni kweli kwamba katiba tuliyo nayo haitoi maelekezo ya nini cha kufanya juu ya rushwa na ufisadi? hivi tukipata katiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania na wote wenye mapenzi mema kwa nchi yetu; Salaam. Kutokana na matatizo mbalimbali ya bunge letu hasa haya yafuatayo:- (i) Asilimia kubwa ya wabunge kujiona kuwa ni wamiliki wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni muda sasa tangu Raisi akubali mapitio ya katiba ya zaman na Marekebisho au kuundwa kwa Katiba Mpya.. na tokea Raisi katoa Ridhaa hiyo kumekuwa na mijadala mingi sana inayo anzishwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
asante kwa kuandikishwa katika jamii forum. nataka kujua kuhusu kongamano la katiba mpya lililoandaliwa na UDASA- CHUO KIKUU. Hivi mmefuatilia kwa makini hoja za watoa mada?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
napendekeza tuweke sheria ili mtu anayegombea atoe ahadi anazoweza kutekeleza alafu aandike na ale kiapo cha kutekeleza. Alafu iwe ka sheria ili asipotekeleza asiruhusiwe tena kugombea coz wat i...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HAYA NDIO YALIYOKUWA YANATOKEA KULE KENYA WAKATI WANAJADILI KATIBA YAO...ISHU YA KADHI COURTS
0 Reactions
5 Replies
3K Views
JUMAPILI ILIYOPITA ITV WALIRUDIA KONGAMANO LA KATIBA,NA MIMI NILIPATA BAHATI YA KUSIKILIZA HIYO JUZI KWANI MARA YA KWANZA SIKUWEZA KUSIKILIZA,NILIMSIKIA MBUNGE WA UBUNGO AKIMUULIZA NDUGU SHIVJI...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunapenda kuwataarifu wananchi ambao hawataweza kufika CKD kuwa kongamano la katiba kesho litaonyeshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha ITV. Tunawashukuru sana ITV kwa moyo wa uzalendo...
0 Reactions
607 Replies
46K Views
Rasimu sifuri ya Katiba mpya iliyoandaliwa na CUF imeonesha kuvunja muungano wa Tanzania na kuleta msigano kati ya CUF Bara na CUF Zanzibar hasa baada ya kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ujenzi wa Ujamaa na Kujitegemea Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 Sheria Na.4 ya 1992 ib.6 9. Lengo la Katiba hii ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Geofrey Nyang’oro HATIMAYE Kanisa Katoliki nchini limejitosa rasmi katika mjadala wa katiba mpya likisema kuwa linaunga mkono mchakato huo, lakini likihadharisha kuwa mchakato huo unahitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa namna ya pekee naipongeza CDM na viongozi wake kwa kuamsha ari ya waTZ kudai katiba mpya ya Tanganyika maana Zenji tayari wana yao. Mwamko huu wa watu umikuja mara baada ya uchaguzi mkuu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
waziri mkuu mstaafu F. Sumaye amezungumzia mambo mengi yanayoigusa jamii, mojawapo ni kumshukuru mnyika kwa kupeleka hoja ya katiba mpya bungeni, pia amezungumzia Dowans na kuwaunga mkono akina...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakili wa Kujitegemea na mwanachama wa Chadema, Mabere Marando, alisema suala la katiba mpya kwa sasa halina mjadala tena. “Katiba mpya, tupende tusipene, Kikwete apende asipende, CCM ipende...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Swali langu kwenu wana jf ni juu ya hii katiba kweli itawafikia mama zetu kule vijijini ili waweze kuona faida ya katiba mpya?kimsingi nimejifunza kitu tokea huu mchakato uanze ni watu wa mjini tu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom