KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Hey guys, hivi ni wapi tunataka kilipeleka taifa hili? Ni kweli jamani imefikia mahali tunasema hadharanu kabisa kua hatuna haja ya kua na katiba mpya kipindi hiki ambacho kweli tunalia na mifumo...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF Nimesoma digest ya matamshi ya Muheshimiwa Raisi kuhusu mchakato wa katiba mpya. Kwangu mimi sijawahi kuwa muumini wa katiba mpya bali wa katiba bora. Ni mawazo yangu kwamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Leo Watanzania tutashuhudia Rais wa Jamhuri akikikabidhiwa Katiba Pendekezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Kitakachofuatia ni Katiba Pendekezwa kupigiwa kura na Wananchi. Na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wasalaam, Ukienda duniani kokote katiba ya nchi ndio sheria mama( mother law). Kwanini ni sheria mama, je watanzania tunajua maana ya katiba? Ukisoma historia mungu alimuumba Adam, kisha akamnyia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tumpe rais wetu ushairi ambao hapewi na inner cycle yake. umuhimu wa katiba mpya 1. taasisi kuwa huru na kutoingiliwa kwa kupewa mamlaka kikatiba mfano, polisi,jeshi,takukuru,bunge, mahakama...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Pole na kazi Mheshimiwa Rais na hongera pia kwa kazi nzuri sana unayoifanya ya kuwatumikia Watanzania,ni kazi nzuri mno,hongera sana. Naomba pia nijitambulishe Mheshimiwa Rais kwamba mimi ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hatimaye mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu ( African Court of Human and Peoples Right) itasoma hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mwenyekiti wa chama cha Democratic Party Kesho jijini Arusha...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Kama ilivyotangazwa kutokana na ajali ya mv Nyerere kwa kila mwili utakaotambuliwa sh lak 5 zitatolewa Kama ubani .Kwa usawa huu wa vyuma Laki 5 itasababisha watu wachukue maiti zisizokuwa za...
2 Reactions
0 Replies
936 Views
Nataka kwenda mahakamani kupinga hili bunge la katiba lihairishwe mpk uchaguzi wa mwakani uishe.. msaada please wa KISHERIA. . Msaidie Proffesor. .
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Tumeambiwa kwamba STD VII elimu yake ni ndogo sana na hawezi kutunga Sheria Bungeni, lakini tumeshuhudia maoni ya hao hao STD VII yaliyobatizwa jina la maoni ya "Wananchi walio wengi"...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakuu, Mpaka sasa inaonekana kama vile Hayati Julius K. Nyerere ndiye "mkosaji pekee" katika kile kinachodaiwa kuwa ni "UBATILI" wa Muungano! Mwenzake Hayati Karume anaonekana yuko innocent...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Kati ya watanzania ambao walikuwa concerned sana na suala la Katiba Mpya walikuwa Wanzanzibari! Lakini siku zinavyozidi kusonga hawa wenzetu wanazidi kunywea! Je, 1. Walipata walichokuwa...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Niko naangalia kipindi cha uzalendo kinachorushwa na ITV ndg Thomas Ngawaia ambaye ni mkurugenzi wa taasis ya utawala bora amesema TZ ni nchi moja ktk katiba ya sasa. Na alipoulizwa juu ya uwepo...
5 Reactions
57 Replies
11K Views
Nimpongeze sana mheshimiwa Job Ndugai kwa kupropose vitu viwili muhimu ambavyo vimenifurahisha sana Kwanza, waziri mkuu aongezewe madaraka Pili, wananchi wapewe madaraka ya kuchagua wakuu wa mikoa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wangepatikana akina mama kama huyu 30 tuu ndani ya bunge tungekuwa mbali sana Mwenye profle yake ailete Elimu yake na vinginevyo.
35 Reactions
174 Replies
26K Views
Kutokana na bado kuendelea na kutumia SUMU ya 1977 ambayo kimsingi sehemu kubwa inakosa kuendana na kipindi kilichopo sasa, Tunahitaji SUMU mpya na si marekebisho ya sheria ndogondogo. Kama kijana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamii vipi, mbona kimya ivo. Mmelidhika, hamhitaji katiba mpya? Katiba mpya tena yawalioba, ni mali yetu wananchi tuidai kwanguvu zote. AMKA MWANA WA NCHI. KATIBA. MPYA NI HAKI YETU...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wadau. Natumai mmeamka salama na mmeanza shughuli za kujiongezea mapato. Nadhani hii nchi ilipofika kuna uhitaji mkubwa wa katiba mpya itakayopunguza nguvu za urais pamoja na kumfanya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hili jambo nimeliongea humu mara nyingi ila leo nimeona nilirudie ile kwa style tofauti kidogo ya kutaja viongozi wa vyama vya siasa wakiwa ndio viongozi wakuu wa vyama vya upinzani. Hapa Mbatia...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…