KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

KATIBA PENDEKEZWA NIYA KIWANGO CHA JUU NA INAFAA KUPIGIWA KURA NA WANANCHI: misingi muhimu ya kikatiba imezingatiwa. MAKALA NO. 8 Tunapozungumzia katiba nzuri tunatakiwa kufahamu kwamba...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ibara ya 238;ibara ndogo ya pili,d. Inasema kama mtu amestaafu serikali,jeshi au polisi,asihesabiwe kwamba bado ana madaraka,kws vile tu analipwa pensheni. Hii naona kama vile inawabagua wastaafu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina sikitishwa na baadhi ya mawazo ya baadhi ya watu wanao jiita wana harakati na wasomi katika nchi hii, ni suala la ajabu sana kwa mtu mwenye uelewa mzuri kutetea uwepo wa serikali mbili au...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kubadili fikra zilizojengeka kwenye vichwa(hardware) za wana-CCM wengi ili waendane na matakwa ya wananchi kwa kuwawekea vichwa vingine(vyenye mtazamo na fikra tofauti), ni jambo lisilowezekana...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini Wadau, Hili ni swali la msingi sana tulilo nalo sisi wananchi wa Tanzania. Tunashukuru kwa ujasiri na uthubutu uliothihirisha kwa kutumbua majipu katika baadhi ya vitengo na taasisi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Watu wamekuwa wakipiga kelele kila kona kuwa Tanzania inahitaji katiba mpya.Ziko nchi duniani hazina katiba kabisa.Mojawapo ni Uingereza.Haijawahi kuwa na katiba na haina katiba kabisa.Wanaishi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimekaa na kujiuliza sasa kwa nini Samuel Sitta alibadirika kabisa wakati wa bunge la katiba na kuwa Sitta mwingine kabisa.Sitta huyu alikuwa haambiliki, hashauriki, na si mpambanaji wa...
3 Reactions
34 Replies
10K Views
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel alihukumiwa miaka 7 baadaye mahakama ikampunguzia ikabaki miezi 19. Ameripoti gerezani kuanza kifungo jana. Ameshitakiwa na kuhukumiwa kwa rushwa na obstruction of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Baaada ya uteuzi wa Mwakyembe kuwa waziri wa katiba. Nilijiuliza hivi mwakembe anaweza kurudisha katiba ya wananchi kweli? Hebu tusubiri tuone
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwa maana leo hii ukimuuliza Mbongo kwa nini nchi yake masikini unapata jibu haraka Katiba mbovu, kwanini watoto hawasomi jibu Katiba mbovu, kwa nini mafisadi wanaitafuna nchi jibu Katiba mbovu...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Urafiki wa Mashaka baina ya Jaji Warioba na Chama chake cha CCM uliofufuka kipindi cha Uchaguzi Mkuu unaweza kuingia dosari baada ya Jaji huyo mstaafu kusema iwapo serikali itaanza mchakato wa...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Nimelazimika kuwaza tena suala la katiba pendekezwa baada ya Warioba kudai ataongea mchakato ukianza source Mwanainchi-27/12/2015. Sijui anachowaza Dr Mwakyembe, kama anataka kuandika katiba mpya...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Kwa jins mhe rais alivyofanya mazungumzo na kituo cha democracia tcd na wakakubaliana kuahirisha zowezi la kupiga kura ya maoni na badae mh rais akaja kubalisha mawazo gafla ya kuamua zoezi la...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
"Harakati za kudai haki za wasanii zilianza muda tuu...tangu kipindi cha ukusanyaji wa maoni na tume ya jaji warioba lakini kwa hali isiyo ya kawaida Rasimu iliyotolewa na tume hiyo haikuzungumza...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA LINDI KUIPIGIA KURA YA NDIYO KATIBA PENDEKEZWA Mama Salma Kikwete Na Anna Nkinda – aliyekuwa Lindi Wananchi wa mkoa wa Lindi wametakiwa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Nikiwa mwanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi mwenye kadi# natamka bayana kuwa nitaitumia vema haki yangu ya kikatiba kuipigia kura ya HAPANA katiba inayopendekezwa. Kuwa mwana CCM hakuninyimi...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
MAASKOFU KUSHAURI WANANCHI WAPIGE KURA YA HAPANA WAPO SAHIHI KABISA Jumuia ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) walitoa taarifa kwa wakristu wote na wananchi...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Hivi Karibuni Rais Kikwete Alikaririwa Akiwalaum Viongozi Wa Dini Kwa Kuwataka Waumini Wao Kuipigia Kura Ya Hapana Katiba Inayopendekezwa, Lakini Kikwete Huyu huyu Tangu Siku Ya Kuzindua Bunge...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nimejarib kuisoma katiba mpya na kupitia baadhi ya vifungu.kilichonishangaza zaidi viongozi wamezidi kujilinda huku (1)maoni ya mwananchi yakitupiliwa mbali nami nasema "hapana" achilia mbali...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI KamaKatiba Inayopendekezwa ni mbaya, hiyo nzuri ikoje? auliza Rais Kikwete Rais wa...
0 Reactions
111 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…