KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

UCHAMBUZI KUHUSU MUUNDO WA MUUNGANO KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA (RASIMU YA TUME YA WARIOBA IMEBORESHWA NA HAIKUCHAKACHULIWA) MAKALA NO. 5 Muundo wa muungano unaopendekezwa umeainishwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
...Kwa anayejua hivi huku Zanzibar hatuandikishwi kwa ajili yam kura ya maoni?.Maana sote ambao hatuna vitambulisho tuna subiri BVR
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam wana jukwaa, Ni katika tafakari yangu binafsi, nini mantiki ya kupga kura kwa katiba pendekezwa? mtazamo wangu ni kwamba nikipiga kura ya NDIO nimekubali kuishi kwnye msitu mpya na nyani...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Wanajamii jibu hili ni ndoto ya swali la msingi. Tusaidiane tupate jibu la uhakika ili tujue hali halisi ya huko tuendako.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TBC1 ni kwanini mnaandaa vipindi ambavyo vinaipendelea CCM tu yaani kualika watu wenye mtazamo mmoja tu yaani kura ya ndio kwa katiba pendekezwa hii si haki kama mkiendelea kurusha vingelee ndani...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Imesemwa sana na wengi kuwa ccm hawana nia ya kutupatia wananchi katiba bora lakini nilikuwa sielewi vizuri.lakini nimeshuhudia nakuelewa wakati zilipoanza kusambazwa nakala za katiba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesoma kwa undani mahojiano ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na gazeti la Nipashe na kubaini kuwa kwa ustawi mzuri na amani ndani ya nchi yetu ni busara tusahau kwa muda...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Wanajavi.. Ninatafuta sana version ya Kiingereza ya Katiba ya JMT inayopendekezwa (Katiba ya Chenge).. Yoyote mwenye kuweza kunisaidia nitashukuru kwa msaada wake!! NB: Ni vizuri tuzipime zote...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalam Jamani nimesoma katiba hii kuna baadhi ya vitu imeeleza vizuri tu ila kitu kimeniudhi zaidi ni ukurasa wa 59 sura ya saba ambayo inahusu muungano, nanukuu "serikali ya jamuhuri ya muungano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shikamooo pro.Anna
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndugu , mwenye rasimu ya katiba hii mpya ya CCM naomba anitumie kwenye e-mail yangu ::: jimmyzakayo@gmail.com
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu tume ya katiba imeleta katiba 10,000 kwa wilaya nzima ya kinondoni,yenye kata zote 34,na kila kata wamepatiwa katiba 300. NAJIULIZA NANI ANATAKIWA KUHAIRISHA ZOEZI LA KURA YA MAONI? mbona...
0 Reactions
2 Replies
996 Views
Hapo kabla ya wana wa UKAWA kutangaza kujitoa kura ya maoni ya katiba CCM ilionekana kuhaha kuipigia kampeni katiba mpya . Sasa hivi naona kimyaa kikuu na hakuna anayeshadadia habari ya katiba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza - Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini. -...
5 Reactions
221 Replies
21K Views
tumeshuhudia kama cio kusikia mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngoz alibino? Lakn sijasikia rais wala wazili mkuu akitoa tamko lasm juu ya kutokomeza mauaji hayo? Utasikia tu? Selekari kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YALIYOMO KWENYE RASIMU YA TUME YALIYOMO KWENYE RASIMU INAYOPENDEKEZWA UAMUZI WA KAMATI YA UANDISHI SURA YA TATU SURA YA NNE Sura hii imepangwa...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama tumekubaliana akuna kupigakura basi simbaya mkaenda mahakamani kusimamisha haya matangazo machafu ya katibayao maana si katiba iliokubaliwa na kujumuisha wananchi,badala ya kusubiri tu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umemtaka Rais Jakaya Kikwete, ahakikishe anamaliza muda wake wa uongozi salama pasipo kuiacha nchi kwenye machafuko kwa kushinikiza upatikanaji wa Katiba Mpya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mvua za masika zimeanza kunyesha mikoa ya nyanda za juu kusini na kufikia mwezi wa nne zitasambaa nchi nzima, hivyo kukwamisha kwa kiasi kikubwa mchakato wa kupiga kura ya maoni. Serikali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom