habari wana jf ... leo ofisini kwetu tumeletewa katiba pendelezwa nimejaribu kuisoma naona kama ni ile ya awali so kwa mlioichambua nisaidieni vifungu vyenye utata ili nivisome na kutoa elimu...
Wapendwa WanaJF,
Natoa wazo tu jamani. Hivi kwa nini Katiba yetu isibadilishwe ili angalau rais wetu kipenzi cha watanzania agombee tena ifikapo 2015. Ni pendekezo tu jamani.
Wanasema sheria za kiislamu zitawabana kwenye masuala ya urithi ambapo wanadai watapata kiduchu kulinganisha na sheria za kiraia, wadai kasi ya talaka itakuwa kubwa kuliko sasa kwa kuwa ni wanaume...
Claudz media group wamepokea mgawo wa bilion 2.5 kutoka ikulu ya rais wa TZ ili kutoa elimu kwa umma kuhusu katiba pendekezwa pia kuushawishi umma waikubali katiba hii ya nyoka mwenye makengeza...
Mwenyekiti wa chama cha APPT-Maendeleo, Mhe Peter Mziray.
Chama cha APPT Maendeleo, kimepinga hatua inayochukuliwa na baadhi ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi...
Sasa ni bayana,
Utetezi wa katiba pendekezwa na kuilandia Rasimu ya Warioba waziwazi ilikuwa ni kujiandalia mazingira ya kutosumbuliwa baadae
Mkuu aliona mbele giza hivyo ukifyeka vichaka utakosa...
Chama cha APPT Maendeleo, kimepinga hatua inayochukuliwa na baadhi ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwashawishi wananchi wasishiriki kupiga kura ya maoni kwa...
Nimeiiona katiba pendekezwa,wakuu nanyie mmeiona? kurasa za 134 hadi 164 ziko juu- chini, sijaeleawa ndo maelekezo ya Joka fisadi au? Afu suala la msajili wa vyama kwamba awe ajawahi shika...
BY HUMPHREY POLEPOLE
MAMBO 20 MUHIMU YA WANANCHI YALIYOTUPWA NA KATIBA INAYOPENDEKEZWA.
UNATAKA KUUJUA UKWELI BASI SOMA HAPA NA MJULISHE MWENZIO.
Katiba Inayopendekezwa ina mapungufu...
Msama promotion ameungana na chama tawala CCM kuunga mkono rasimu ya Chenge.Akiwa anaongea na Clouds TV leo hii, amehamasisha watu wajitokeze kwa wingi itakapofika siku ya upigaji kura rasimu ya...
MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO:
75: Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano
76: Mamlaka ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano
Swali; Kwa nini namba 77 isingekuwa...
Hamjambo
Tafadhali unaweza kushiriki orodha ya wanachama wa Bunge la Katiba kina jinsi kila mmoja wao walipiga kura katika Oktoba?
Mimi nataka kujua, jinsi wajumbe wengi kutoka mashirika ya...
A Chinese military general, strategist and philosopher, Sun Tzu once said, If you know the enemy and know yourself, you need not fear the result of a hundred battles. If you know yourself but not...
KAMA,
Tanzania Na Uzuri Wake Tuna Wasomi, Vibaka, Wezi Na Mafisadi, Tumeshindwa Kuwa Na Katiba Inayokubariwa Na Kila Mwananchi, Kweli Pamoja Na Watu Wetu Tumeshindwa Kuwatuma Kwenye Nchi...
viongozi wasio na stara bungeni,mitaani na hata ktk mitandao wanataka kutuletea katiba ya namna gani?, bila shaka yenye maslahi ya wachache tu hasa wenye nyadhfa, rais hatashitakiwa kwa makosa ya...
Akiongea na kituo cha Radio Free Africa asubuhi hii, kipindi cha Matukio anawasisitiza watu kujitokeza kuipigia kura ya maoni Katiba Mpya na kudai watu waisome kwani kila siku inachapishwa kwenye...
Tone la sumu mbaya iliyowekwa na mafisadi kwenye Katiba pendekezwa iko ukurasa wa 7; SEHEMU YA NNE, Sura ya 21 (2).
Kama kutakuwa hakuna kuhoji kwa namna yoyote ile na mahala popote pale, ikiwemo...
Wandugu,
Huwa najiulizaga swali la kizushi ! Tanzania imekuwa mstari wa mbele sana katika kupatikana (kujitenga Sudani ya Kusini) mbona wao inakuwa wagumu inapofikia suala la Zanzibar ? Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.