tulitangaziwa kuwa baada ya kutoka mwanza ungekuja mbeya, Tulio wengi tulikusubiri kwa hamu nahata wale wafanya biashara zao nchi jirani waliahirisha safari kukusubiri wewe. sasa tuhakikishie...
Timu nzima ya tume ya katiba ikiongozwa na Jaji Warioba,Humphrey Polepole,Mzee Butiku ,prof Baregu na ALly SAleh kutoka Zanzibar,siku ya jana walitoa elimu kwa wananchi mkoa wa mara katika ukumbi...
Jana iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba, imeutikisa mkoa wa Mara kwenye mdahalo uluofanyika ukumbi wa chuo kikuu Huria tawi la Musoma (Mcc)
Ulihudhuriwa na mamia ya wakazi wa mji huo...
Watanzania wenzangu wazalendo itakuwaje Mzee Warioba na Tume yake ya mabadiliko ya Katiba yenye vijana machachari kama Polepole wakapita kwa wananchi kuwahamasisha na kukampeni wananchi wapige...
Yule jamaa niliyekuta jina lake linavuma sana jimbo la sumve mwaka jana wakat wakununua pamba, nimemsaka mtandaoni na kuona ataongoza mjadala wa katiba ya Tanzania chuo kikuu cha London tarehe...
Katika mfululizo wa midahalo ya kutoa elimu kwa umma juu ya Katiba Mpya Makamishna wa iliyokuwa Tume ya Katiba wanataraji kufanya mdahalo mkubwa mjini Musoma Mkoani Mara katika ukumbi wa MCC...
Watanzania tunajiandaa kuikataa katiba pendekezwa kwa sababu kuu zifuatazo
1. BMK walikataa maoni yetu wananchi na kutupilia mbali mapendekezo ya wengi ya kutaka muundo wa serikali 3. Muungano...
Habari ya mda huu wanajf!!
Naomba Moderators kwa heshima yenu msitoe post hii.
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kama muonavyo tumeona wimbi kubwa japo si sana la wasomi wanaojielewa na wenye...
Moshi. Wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro wamechanga Sh200,000 za nauli ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ili aweze kufika jimboni humo kutoa somo la...
...tunaonekana goi goi sana ktk ardhi hii,wapi katiba pendekezwa tuisome na kuielewa,nashangaa watu wakubwa wanasema muisome na kuilewa sasa tusome hewa?.kwanza muda hakuna.......fanyeni namna...
Uhitaji kuisoma katiba pendekezwa ili kufanya maamuzi.
Vigezo ni hivi hapa:
1. Imesimamiwa na Chenge
2. Wakati Bunge la katiba linaendelea kumbe baadhi ya wajumbe walikuwa wanagawana pesa za...
KATIKA MAHOJIANO NA ASKOFU GLORIOUS SHOO,
ALICHOKISEMA KUHUSU KATIBA MPYA
1. Amani hudumishwa kama kuna HAKI NA MATUMAINI - Matumaini yalikua Ni kupata katiba Mpya lakini yameondoka kwa kutokuwa...
Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili itv nimemsikia mh pinda akisema kuwa anaona ni vyema suala la muungano likaachwa kwanza halafu utafutwe muda mwingine wa kushughulikiwa suala hili tu na...
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti.
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti...
Kama kuna jambo Chama cha CCM kinaomba basi ni kutaka hii katiba ikataliwe ,ila hawawezi kutamka waziwazi kwani itazidi kuwaporomosha kutokana na mamilioni waliyotumia ikiwemo rushwa ya laki tatu...
Wakuu waziri mkuu mizengo peter panda leo amesema swala la muungano ni vema likawekewa utaratibu wake wananchi waamue wanataka muungano au hawataki kama wanataka uwe wa aina gani moja,mbili,tatu...
sijajua ni mpingo gani hawa ccm ambayo huwanga wanaitumia, baada ya wanainchi kuhamishia mawazo na akili zao kwenye kitu muhimu ya katiba inayotaka kuunza watanzania na nchi yetu...
muda unayoyoma rasim ya katiba pendekezwa bado haijawafikia wananch. wito wangu kura ya hapana ndio namna pekee ya kuliokoa taifa. ccm wamepanga kutuharibia nchi yetu
Wahenga walisema harakaharaka haina baraka atimaye imebaki miezi miwili tu tupige kura ya maoni kuhusu katiba pendekezwa,mm ni mwenyeji wa dar lkn mpaka sasa hivi sijapata hiyo rasimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.