KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Shirikisho la mpira wa miguu duniani linategemea kutoa pesa cha kiassi dola za kimarekani millioni 100. sawa na shilling bilioni 300.13 za kitanzania . Ambazo Dhumuni kuu la fedha hizo ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa jamaa naona kama wame-surrender vile kuendelea na mpango wao wa kutaka katiba inayopendekezwa ipigiwe kura. Hata kama kunakinachofanyika, basi ni kutimiza wajibu tu lakini hii kitu huenda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MAMBO 20 MUHIMU YA WANANCHI YALIYOTUPWA NA KATIBA INAYOPENDEKEZWA. UNATAKA KUUJUA UKWELI BASI SOMA HAPA NA MJULISHE MWENZIO. Katiba Inayopendekezwa ina mapungufu makubwa na imeyatupilia mbali...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
  • Poll Poll
Rasimu ya Warioba na Tume ya Mabadiliko ya Katiba = "A" au Rasimu ya Sitta,Chenge na Baraza Maalumu la Katiba = "B" Piga kura yako kwa kuandika neno "A''au "B" au unaweza kuandika "Warioba au...
8 Reactions
832 Replies
63K Views
Ni kitu akiwezekani mimi kuwa Rais Kikwete lakini naweza kumshauri, mimi ningekuwa rais kikwete ningekataa rasmu ya Chenge na Sitta na ningeikubali rasimu ya Warioba na kwa kafanya hivyo angebaki...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi siipingi katiba hii,wala siikubali lakini tukubali kutokukubaliana kua uhuru wa habari hautakuwepo kabisa endapo kipengele hicho kikapita.Huwezi kumwambia mtu kua Uhuru wake wa habari uko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mchakato wa Katiba Mpya Ndugu Wananchi; Mwaka huu pia tumeshuhudia kukamilika kwa zoezi muhimu la kuandika Katiba Inayopendekezwa. Kama tujuavyo sote, mchakato uliozaa Katiba Inayopendekezwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanajamvi uchunguzi usio rasimi nilioufanya katika mikoa mbalimbali na kwa watu wa rika tofauti tofauti inaonesha kuwa, katiba pendekezwa inaungwa mkono na kiasi kidogo cha watanzania hasa hasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo Ijumaa tarehe 2 Januari saa 3-5 Usiku nitakuwa katika Kipindi cha KipimaJoto ITV, huko tutajadili kwa kina hatima ya Mchakato wa Katiba. USIKOSE. Hii itakuwa ya kufungulia Mwaka 2015...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi la chama cha CUF, Ismail Jussa Ladhu akihutubia kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki alipokuwa akimnadi mgombea wa chama...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nadhani baada ya Katiba pendekezwa kupitishwa katika Bunge la Katiba umefika wakati sasa kwa UKAWA kutumia busara na hekima za kutosha ili kuipata Katiba ya Wananchi kama ilivyopendekezwa na Jaji...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Wazee wa mkoa wa mara kwa muda mrefu wamekuwa wakiiomba tume ya jaji warioba kwenda kutoa ufafanuzi wa katiba,tume imesikia maombi yao na kwa pamoja wajumbe wa Tume wakiongozwa na Jaji Warioba...
6 Reactions
97 Replies
9K Views
1.Imeikumbatia dola ya zanzibar na kuitupa dola ya Tanganyika 2.Misingi ya rasmu ya katiba toka kwa wananchi imeondolewa.mfano serikali tatu,tunu za taifa,mamlaka ya wananchi kumwajibisha...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Hakuna ubishi kwamba wanachama wa vyama mbalimbali vya Siasa wanapoenda kinyume na sera za vyama vyao hunyang'anywa kadi za uanachama na hatimaye hujiunga na vyama vingine. Hata hivyo...
1 Reactions
119 Replies
12K Views
Kimbunga cha mabadiliko kinapita nchini Tanzania. Wananchi wa Tanzania wamefahamu wazi kuwa hivi sasa nchi yetu inahitaji mabadiliko. Hitaji hilo limejionyesha katika uchaguzi wa serikali za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Taasisi ya Mwalimu Nyerere imeandaa mdahalo kuhusu kuzingatia mambo muhimu katika Katiba Inayopendekezwa. Huu ni mfululizo wa midahalo na majadiliano kuhusu Katiba Inayopendekezwa. Mdahalo huu...
11 Reactions
30 Replies
5K Views
Viongozi wetu wamesoma shule za umma. Shule zilikuwa nzuri na watu walihitimu na kuweza kuajiriwa hata nje. Leo Elimu imekufa, viongozi wanapeleka Watoto wao nje badala ya kubiresha Elimu yetu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
1.0 UTANGULIZI Tulipopata uhuru 1961, hapakuwa na sera rasmi ilkiyokuwa inaelekeza nini kifanyike kwa ajili ya maendeleo ya vijana nchini. Takribani miongo mitatu ndipo Sera ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Yalosemwa hayatakuwa sasa yamekuwa Je, kuna mpya gani?... Mimi nina swali moja tu kwa viongozi wa UKAWA ambao walidhani wao wanatufanyia fadhila kubwa wananchi kugomea BMK. Inakuwaje leo hii...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Ni miezi kadhaa nimekuwa nikijaribu kuifungua website ya NEC, lakini inaonekana haipo active! Mahali ambapo mamilioni ya wananchi wanategemea kupata taarifa muhimu na wameruhusu serikali ielekeze...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom