KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wanabodi Nisiwachoshe na maneno lukuki. Ni hivi, mboni ya viongozi wa UKAWA waliona kitambo namna mchakato wa Katiba mpya unavyopotoshwa na kundi la Wana CCM wenye malengo binafsi. Viongozi wa...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Haya masuala ya tezi dume, PAC na Escrow,Utafiti wa Twaweza na kadhalika yasitusahaulishe. Mbele yetu kuna suala la Katiba mpya,yaani kura ya maoni. Kura ya Maoni itatanguliwa na kampeni juu ya...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
http://youtu.be/Wf6EtEmxSOw
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Ndani ya chama tawala kuna vichwa vilivyobobea katika kucheza na akili za watanzania (sizungumzii buku 7). Yaani wangebadilika kidogo halafu nguvu ya hizi akili wakaiwekeza kwenye maendeleo ya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kuelimishwa ndugu zangu wana Jamiiforums Ninasikia sana ikisemwa kuwa Mwalimu Nyerere alisema hivi au vile kwa hiyo katiba inatakiwa iwe hivi, sasa ninachojiuliza ni kuwa; huu mchakato ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kulikuwa na ulazima gani wa kuunda tume kama tayari mlikuwa na majibu? Mliounda tume kwa minajili ya kutafuta jukwaa la kutukana wazee? Hivi ofisi ya waziri mkuu na ofisi ya makamu Rais...
1 Reactions
26 Replies
9K Views
Kama Katiba Pendekezwa itapita kwa kupata kura nyingi za Ndiyo iwe kwa uhalali au kwa kuchakachua kama Mazingaombwe yaliyotokea kwenye Bunge Maalumu. Katiba hiyo haitadumu kwa muda mrefu,kwani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu sana kutokana na mimi kuwa mwana-CHADEMA nilikuwa nimefungwa kifikira kutokana na ushabiki wa kichama,. nikaona nifikirie mara mbili mbili kuhusu hizi katiba mbili. Namshukuru sana...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wanasiasa hawa jamani wanatupeleka pabaya, hivi inawezekana kweli mtu wa kawaida kuisoma katiba inayo pendekezwa ("katiba") na kuelewa? Waingereza wanasema "Next to impossible" yaani kwa tafsiri...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mjumbe wa iliyokuwa tume ya katiba ndg Pole Pole yupo channel ten live
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Viongozi wanahasa serekali kudurufu nakala nyingi za rasimu ya katiba iliopitishwa na bunge ili wananchi waweze kuisoma na kuielewa kama ambayo Sitta na Dr. Bana waliokaririwa kwenye kipindi cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umesema kazi ya Mbunge ni kuwakilisha wananchi Bungeni na wananchi kama wana shida wamtafute Mbunge na sio vice versa. Umesema Mbunge asiwe na kikomo kwa kuwa watu ndio wakimchoka hawatamchagua...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo hii CHADEMA kupitia kiongozi wao wa BAVICHA wametoa tamko la kulaani vurugu zilizotokea kwenye mdahalo wa Mh Warioba. Najiuliza je wana uhusiano gani? Mbona Shibuda anapoegemea upande wa CCM...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Namfuata Dr Bana. Nimesikia akiongea kupitia Mlimani TV. Nataka akanijibu hoja hizi alizoongea: 1. Amesema badala ya UKAWA kuunganisha nguvu ya kwenda Ikulu, ni vyema wakaunganisha nguvu kujenga...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Kuwasilisha malalamiko Nec uhalali bil 2.5/- za propaganda Baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kudai kunasa waraka wa mkakati wa serikali wa kutumia Sh. bilioni 2.5 kuendesha propaganda...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Kufuatana na makubaliano yaliyofikiwa kati ya Rais na TCD/UKAWA, kikao cha Bunge kinachoendelea sasa kinatakiwa kifanye marekebisho kwenye katiba ya sasa ya 1977 ili ku 'accomodate' yale yote...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Kwa vile: 1. Baba wa Taifa, Mwl JK Nyerere, baada ya kustaafu alishuhudia Azimio lake kipenzi la Arusha lililoweka maadili ya uongozi, likitupiliwa mbali huko Zanzibar na wakina Mzee Ruksa. Na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kipindi cha dakika 45 - ITV kimekuwa ni kipindi muhimu sana kwa sasa kwa viongozi wa serikali kufafanua mambo na kupiga propaganda za kisiasa.. Wapo viongozi ambao wamejitokeza mara nyingi katika...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu. Mahakama Kuu katika kesi ya kihistoria ya Saed Kubenea v. Attorney General, Misc. Civil Cause No. 28 of 2014 ilitamka wazi kwamba Bunge Maalum la Katiba halikufungwa na RASIMU YA WARIOBA...
1 Reactions
72 Replies
6K Views
Back
Top Bottom