Sababu za Wananchi kudai katiba;
1.Iliyopo ina mapungufu makubwa
2.Kero za Muungano
3.Katiba iliyopo imeegemea kwenye chama kimoja.
4.Madaraka ya Rais yapunguzwe.
5.Katiba iliyopo haikushirikisha...
Mheshimiwa Rais acha watu waichambue katiba pendekezwa,hivi karibuni wakati Rais wa nchi akiongea na wazee amenukuliwa akisema kuwa muda wa kuichambua katiba pendekezwa bado.
Sasa sijui kuna hofu...
Katiba Pendekezwa inamruhusu Rais ateue miongoni wa wabunge awe waziri au waziri mkuu, pia anateua Mbunge yeyote kuwa waziri bila kudhibitishwa na Wabunge. Pia katiba inasema Rais ni sehemu ya...
Serikali inajipanga kuzuia midahalo yote na hasa inayorushwa kwenye TV kwa kile wanachokiita "sababu za kiusalama"
Kama vile ambavyo mara nyingi vyama pinzani wamekuwa wakizuiwa kufanya...
Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii… dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,
Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda...
Pamoja na Tume ya Warioba na Hatimae Bunge Maalum la Katiba kutupilia mbali Maoni yote ya Waislamu kuhusu Mahakama ya Kadhi, pamoja na Ukweli kwamba nchi za Kenya na Uganda ambazo zina Waislamu...
1: kama kuna watu (ccm) ambao wanadai maoni ya watu 17000 juu ya kuwa na serikali 3 ni idadi ndogo sana ambayoyo haiakisi matakwa ya watanzania 46ml, je hawa wabunge 600 wanapata wapi nguvu ya...
Wakati Rais Jakaya Kikwete akipiga marufuku vyama vya siasa na asasi za kiraia kufanya mapema kampeni za kuhamasisha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana Dodoma..
Hii ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje...
Wakuu.
Jaji Warioba amesisitiza mara kwa mara kwamba "Wananchi Walio Wengi" walitaka Muundo wa Muungano uwe wa Serikali 3 na sio wa Serikali 2! Mara baada ya kupitishwa Katiba inayopendekezwa...
Wandugu.
Ni tetesi kuwa Dr JK alitumia madaraka alopewa ya kuchagua wajumbe wa 210 kwa kuchagua makada wa CCM kwa asilimia zaid ya 90 kwa lengo la kufanikisha ajenda ya CCM
Wajumbe hao,ambao...
Hii Naomba muisambaze (share) kwa wingi kadri mtakavyoweza ili watanzania wote tuifahamu Katiba Inayopendekezwa na namna ambavyo imeshughulikia Maoni ya wananchi.
Ijumaa tarehe 7 Novemba, katika...
Kufuatia kupigwa kwa waziri mkuu mstaafu Jaji joseph Sinde Warioba, sasa Asais mbalimbali zimeanza kujitokeza kutoka kila kona na kuanza kulaani kitendo hicho kwa kusema kwamba ni kitendo ambacho...
Wakuu ni vyema tukaweka kumbukumbu sawa ili vizazi vyetu vije kutuhukumu kwa upuuzi huu ambao unasababishwa na unafiki wa hali ya juu.Yapo malalamiko kwamba Kikwete alitumida madaraka vibaya kwa...
Kilichotokea leo kwenye mdahalo ulioandaliwa na Tasisi ya Mwalimu Nyerere na kuonyeshwa live na ITV/Radio1 ni ishara tosha ya mwenyenzi Mungu kuwaonyesha watawala nini kiko mbele ya mchakato huo...
Kutokana na bunge kutokuonywesha ama kutangazwa kwenye vyombo vya habari, wananchi tumekua tukipata habari kidogo na za kudokoa dokoa. Kwa kupitia social media nyingine kuna wajumbe wamekuwa...
Wana jf!
Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa jijini dar. Nimepata ujumbe mfupi sms kutoka kwa kiongozi na mfuasi wa ccm. Ujumbe huu nitauweka uchunguzi wAngu ukikamili .
KwA sasa sipo chuo...
Viongozi wa dini na walokole wenzangu Bwana Yesu Asifiwe!
Naomba kabla hatujaombea Katiba iliyopendekezwa ipite kujaribu kwanza kuangalia vipengele vilivyoko humo kama vina reflect kumtumikia...
Habari wadau wa Jamiiforums.
Leo ni siku ya tatu ambapo wabunge wanapiga kura kupitisha Katiba inayopendekezwa. Kwa siku ya Juzi, Wabunge walipiga kura kupitisha Sura ya Kwanza hadi ya kumi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.