KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Jamani nasikia zile pesa km posho kwa wabunge waliotoka nje km UKAWA zimepigwa ile mbya na wadau kijinenepesha nazo. Mwenye kulifahamu hilo tunaombwa atujuze.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
JUKWAA LA WAKRISTO TANZANIA TAMKO LA JUKWAA LA WAKRISTO TANZANIA KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA Sisi, wajumbe wa Jukwaa la Wakristo Tanzania, tuliokutana tarehe 27 hadi 28 Agosti, 2014, Dar es salaam...
28 Reactions
165 Replies
22K Views
JE KATIBA ILIYOPENDEKEZWA ILIPITA KIHALALI? WIKI tatu baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kumaliza kazi yake, yameibuka mambo mengi ambayo kwa kiwango kikubwa yameiabisha Tanzania. Bunge...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu Tumesikia mara kwa mara kutoka kwa ndugu zetu wa UKAWA kwamba Rasimu ya Sitta/Chenge haikuwa na uhalali kwa kuwa haikuzingatia maoni ya wananchi. Kiuhalisia baadhi ya maoni yaliyokuwemo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika utafiti wangu nimegundua kuwa eneo pekee ambalo wana UKAWA wako wengi ni kwenye Jamiiforums. Lakini mitaani hamna wana UKAWA. Kila sehemu nilizopita kuanzia uswahilini hadi maeneo ya...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu Endapo UKAWA watapiga kampeni za kutosha hasa upande wa Zanzibar tunaweza tusipate Katiba mpya kwa kuwa 2/3 itakuwa haijapatikana. End result ni kwamba tutabaki na Katiba ya JMT, 1977 ambayo...
4 Reactions
108 Replies
10K Views
Kupiga kura ya "NDIYO" kwenye katiba ya chenge na/au sitta ni "KOSA LISILOSAMEHEKA KAMWE" Hapa ni kumkubali shetani(sitta na chenge),kumkaribisha kumpa heshima aharibu nyumba yako. Mungu anaweza...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Taifa langu tanzania linapita kwenye wakati mgumu sana? Hasa kipindi hichi tunachoandika katiba mpya, chama lawala ccm wanafikiri wako.wengi kwa hiyo wanaweza kufanya kila kitu wanavyoweza...
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Wakuu. Warioba wakati anawasilisha Taarifa ya Tume Bungeni ali-base sana kwenye Muundo wa Muungano kuliko vitu vingine! Hata takwimu, hatukusikia kuhusu Haki za Binadamu wangapi walisema nini, ila...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Kumekuwa na maneno toka kwa watu mbalimbali akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif kwamba waliokuwa Hijja hawakupiga kura. Wanaowatetea kwamba walipiga kura si mmoja wa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
WAKRISTO wa dhehebu la Katoliki nchini wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kabla ya kupiga kura ya maoni ili kufanya chaguo sahihi. Hayo yalisemwa juzi na Paroko wa Parokia ya...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Nataka kufahamu katiba hii pendekezwa imeungwa mkona na makundi gani mengine yanayo wakilisha watanzania au kundi kubwa la watanzania. Isijekuwa kuna baadhi ya watu wanakimbiza kivuli cha Jini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kupiga kura ya "NDIYO" kwenye katiba ya Chenge na/au Sitta ni "KOSA LISILOSAMEHEKA KAMWE" Hapa ni kumkubali she*****ni (Sitta na Chenge), kumkaribisha kumpa heshima aharibu nyumba yako. Mungu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
imbroglios. 1.a misunderstanding, disagreement, etc., of a complicated or bitter nature, as between persons or nations. 2.an intricate and perplexing state of affairs; acomplicated or difficult...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Wanzanzibar kihistoria ni wapole na ni wakarimu sana, na wana sifa zao za kipee tofauti na Tanganyika, Kwanza wanapenda ibada, pili wanapenda mpira, tatu wanapenda siasa. Kwa utafiti mdogo...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa nimejaribu kukipitia kijarida hiki kilicho chezewa dansi kwenye ukumbi wa bunge maalumu, nimefiki tamati kwamba kijarida hiki kinacho pendekezwa hakifai, wewe kiite utakavyo, ukipenda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa viongozi wa UKAWA walihongwa na baadhi makundi yanayotaka uraisi bara na zanzibar 2015 ili katiba mpya isipite ibakie ile ya zamani ambayo ndio waiona ina...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hebu turudi nyuma miaka miwili, pale Tume ya Jaji Warioba ilipoundwa,April 2012...Ikatushangaza sana uchaguzi Rais alioufanya haswa Mwenyekiti wake, Miezi Miwili Baadae Rais akatumia mamlaka yake...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Ndugu wana Jamvi wenzangu. Mimi nimekerwa sana na maoni yote ya KATIBA ambapo yamemalizika bila kuweka kifungu cha kumshitaki raisi akiwa madarakani au kung'olewa kwa kura ya kutokuwa na Imani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati wabunge wa CCM ni zaidi ya 60% ya wabunge wote wa Tanzania, ni vigumu kupata Katiba halali kwa faida ya watanzania wote. Kwa maana hii ni vigumu kwa sasa hivi kupata katiba halali, kwa vile...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom