KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Ni kuhusu Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30,2015. Tarehe inazua kizungumkuti kisheria.Inashindikana. Inaikimbiza Kura ya Maoni juu ya Katiba Inayopendekezwa kusikojulikana...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ivi Tunaelewa Kweli Maana Ya Kura Ya Maoni Juu Ya Katiba Inayopendekezwa? Kama Mimi Na Wewe Tunaelewa Lakini Je, Mwananchi Wa Kawaida Anajua Nini Afanye? Niwaambie Wengi Wa Wananchi Wanachokijua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Safi sana, uchambuzi huu upo smart sana
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Katiba ni taratibu, muongozo wa namna watu, kikundi cha watu, taasisi ama shirika wamekubaliana kuzifuata ili kuwawezesha kuishi. Tanzania iko katika mchakato wa kupaata katiba mpya, na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya Bunge Maalum la Katiba kugawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za vyama, hofu nyingine ya kulisambaratisha kwa itikadi za kidini inalinyemelea kutokana na hoja ya kuwapo msuguano...
0 Reactions
80 Replies
9K Views
Kila ukikaribia uchaguzi CCM huja na mbinu chafu za kuwagawa wananchi ili wapate kura hata kama mbinu hizo zinamatokeao mabaya kwa amani ya nchi yetu. Hivi sasa CCM wameshatupa fupa ili wananchi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mnasita nn kujitokeza na kwa roho zemu mbaya mtoke hadharan 2waandike 2siwasahau kuwa ndo mmeharibu mchakato wa katiba.
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Habari wana JF! Ingawa sikubaliani na mchakato wa upigaji kura kwaajiri ya KATIBA INAYOPENDEKEZWA,si mbaya pia kuwekana sawa katika baadhi ya mambo, Nimejaribu kujiuliza kama watanzania watapiga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kusini Issaya Mengele amesema atahamasisha waumini wa kanisa lake kususia upigaji kura ya maoni ya Katiba iliyopangwa kufanyika April 30 mwaka huu. Askofu Isaya...
6 Reactions
54 Replies
6K Views
Hatimae wabunge wa Bunge maalumu la katiba wamekataa mahakama ya kadhi kuwa kwenye katiba. Lakini wameona kwamba mahakama hiyo iwepo lakini iendeshwe na wahusika. Wanasema hata kwenye katiba ya...
12 Reactions
378 Replies
33K Views
UKAWA haitashiriki mchakato wa kura za maoni za April 30th - UKAWA imepinga katiba pendekezwa kupitishwa kibabe na Bunge pale Dodoma - amesema Prof Lipumba. ============================= Dar es...
14 Reactions
314 Replies
32K Views
Katiba_inayopendekezwa_02.10.2014
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimesikia kwa masikitiko makubwa sana kuhusu sheria ya kura ya maoni itakayo tumika kwenye kupigia Katiba pendekezwa 1. Eti Wanzanzibar watapiga kura hata wakiwa bara? Nani atawatambua, je...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam, Kwanza nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema,kwa kutufungua akili hasa wengi wetu kuhusu siasa za nchini,kwa kutupa kiongozi kama Raisi Kikwete.Ni wazi bila huyu mzee...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Enyi watanzania, wapenda maendeleo, wapenda amani, umoja, mshikamano pamoja na ninyi wanasiasa wa vyama vyote NAWAULIZA, Kifungu cha 5(3)&(4) cha Sheria ya Kura ya Maoni kinasema Tume ya Taia ya...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
wakati kulipokosekana muafaka wakati wa bunge maalumu, mafisadi wa ccm na mwenyekiti wao hawakusikiliza maoni na rai za wanannchi kusimamisha bunge hilo, sasa wnanchi wanataka kura ya maoni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KABLA YA KUULAANI AU KUUBARIKI UAMUZI WA UKAWA KUSUSIA BUNGE NAOMBA USOME HAPA MTIRIRIKO WA MATUKIO YALIYOTUFIKISHA HAPA KISHA UTAAMUA, MBIVU NA MBICHI NI ZIPI. MJULISHE NA MWINGINE UJUMBE HUU...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Hakuna kilichowatia hofu ukawa kususia kura ya maoni zaidi ya matokeo ya uchaguzi wa serikal za mitaa na ziara za kinana bara na zenj. Poleni sana ukawa.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
UKAWA wajue kuwa Siasa ni mbunu, sayansi, kupima kwa mizani na kuhesabu kwa makini, kwani kosa moja huweza kugharimu jitihada kubwa zilizokwishafanyika hasa mpinzani wako akiwa na vitendea kazi...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Ndg wanajamvi, Mojawapo ya pendekezo lililokuwa limewekwa kwenye rasimu ya katiba ya tume ya Warioba ni BUNGE KUWA NA MAMLAKA YA KUTHIBITISHA UTEUZI UNAOKUWA UMEFANYWA NA RAIS KWENYE NGAZI YOYOTE...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom