Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Akizungumza mjini Meru katika siku ya mwisho ya ziara yake ya Mlima Kenya Mashariki, Makamu wa Rais Ruto amesema wakati Mahakama kuu, ilipoamuru uchaguzi wa marudio mnamo 2017, Rais Kenyatta...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiona matukio kadhaa mpambe wa Rais akiwa na mazoea sana na Rais wa Kenya, ni kama vile imevuka mipaka. Je, huyo mpambe wake ni ndugu?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Benjamin Mkapa ni hayati sasa. Huyu Mwamba ndie Raia aliyeongea Kiingereza kilichonyooka kisichofungamana na lugha za Kikukiyu, kiluya, kinyakyusa, kimakonde au lugha yoyote Mama Afrika Mashariki...
2 Reactions
8 Replies
958 Views
Salaam Wakuu, Kweli Urais sio jambo la kitoto. tazama hapa malupulupu anayopata Rais wa Kenya akiondoka madarakani. malupulupu ya ustaafu kwa Rais wa Kenya
8 Reactions
45 Replies
4K Views
Jane Kibe (48) na Peris Wanjiru (35) wamenusurika kifo baada ya kuchomwa visu na kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa madai ya kukataa kumuunga mkono Baba yake anayegombea Ubunge Mtuhumiwa aliingia...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Hii article imekuwa published kwa Forbes two hours ago. Mzungu amemwaga sifa sufufu kwa Sgr yetu. Nakumbuka zamani kabla Sgr kukamilika wazungu walikuwa wanasema eti hii Sgr ni white elephant...
5 Reactions
100 Replies
7K Views
Viwanda za Western zitarudishwa. I learned from my late brother @MagufuliJP that sometimes you just show up unexpected. My impromptu visit to Mumias Sugar today confirms that industries will be...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Tunazidi kuingia kwa Bakongo kifua mbele..... KCB Group has entered the Democratic Republic of Congo (DRC) through the acquisition of a majority stake in Trust Merchant Bank (TMB), becoming the...
3 Reactions
5 Replies
787 Views
Jaji Mkuu wa Kenya ameondoa sharti la Mawakili ambao wanajumuishwa rasmi katika kazi hiyo kuvaa wigi za kitamaduni, kwa sababu upatikanaji wake ni wa shida. Wanasheria na Majaji nchini Kenya na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Zaidi ya waangalizi 18,000 na mamia ya waandishi wa habari wa kimataifa wamewasili Nchini Kenya kufuatilia Uchaguzi huo, idadi hiyo imetajwa kama kiashiria cha namna Uchaguzi huo unavyotazamwa...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Katika Afrika Mashariki ,watu wengi hupenda huu mchezo Kwa ranki za kimataifa Afrika mashariki kwa timu ni uganda inayoongoza,ila kwa vilabu bado soka la Tanzania lina ushindani mkubwa , uwekezaji...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
MY TAKE: Ikumbukwe kwamba uchaguzi wa Kenya ndio uchaguzi ghali zaidi duniani na kwamba Kenya ni miongoni mwa nchi zenye deni la taifa kubwa zaidi Afrika. Sasa nadhani tunajua wapi GDP ya Kenya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamii ya Washona nchini Kenya watapiga kura kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 9, 2022. Kundi la kwanza la jamii hii liliwasili Kenya kutoka Zimbabwe miaka sitini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
US Embassy Issues Travel Advisory Against Kisumu By GEOFFREY LUTTA US Embassy in Nairobi has issued a travel advisory to its citizens and personnel to exercise caution while visiting the lakeside...
0 Reactions
2 Replies
517 Views
Anthony Blinken anatarajiwa kuzungumza na rais Kenyatta kuhusu vita vinavyoendelea Ethiopia pamoja na mambo mengine. Malazy huwa mnapuuzwa ni kama hampo duniani. Poleni zenu.
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Huyu jamaa kumbe anajua Kenya ni nchi muhimu ukanda huu. Aitakia Kenya uchaguzi mwema.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mahakama ya Juu imebatilisha uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wa uandikishaji wa Wapiga kura kwa Kielektroniki pekee katika uchaguzi wa Agosti 9, na kusema kuwa sababu zilizotolewa...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mgombea wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga. Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video...
0 Reactions
2 Replies
635 Views
Siku 10 tangu Serikali ya Kenya kutangaza kushusha bei ya unga wa mahindi kuwa Ksh. 100 kutoka Ksh. 200 kwa kilogram 2, uhaba wa bidhaa hiyo umekuwa mkubwa katika maduka mengi. Wauzaji wengi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya Chanzo: ITV -------- Jakaya Kikwete is head of mission to Kenya Source: KTN...
10 Reactions
56 Replies
5K Views
Back
Top Bottom