Akizungumza mjini Meru katika siku ya mwisho ya ziara yake ya Mlima Kenya Mashariki, Makamu wa Rais Ruto amesema wakati Mahakama kuu, ilipoamuru uchaguzi wa marudio mnamo 2017, Rais Kenyatta...
Benjamin Mkapa ni hayati sasa. Huyu Mwamba ndie Raia aliyeongea Kiingereza kilichonyooka kisichofungamana na lugha za Kikukiyu, kiluya, kinyakyusa, kimakonde au lugha yoyote Mama Afrika Mashariki...
Salaam Wakuu,
Kweli Urais sio jambo la kitoto. tazama hapa malupulupu anayopata Rais wa Kenya akiondoka madarakani.
malupulupu ya ustaafu kwa Rais wa Kenya
Jane Kibe (48) na Peris Wanjiru (35) wamenusurika kifo baada ya kuchomwa visu na kijana mwenye umri wa miaka 17 kwa madai ya kukataa kumuunga mkono Baba yake anayegombea Ubunge
Mtuhumiwa aliingia...
Hii article imekuwa published kwa Forbes two hours ago. Mzungu amemwaga sifa sufufu kwa Sgr yetu. Nakumbuka zamani kabla Sgr kukamilika wazungu walikuwa wanasema eti hii Sgr ni white elephant...
Viwanda za Western zitarudishwa. I learned from my late brother
@MagufuliJP that sometimes you just show up unexpected. My impromptu visit to Mumias Sugar today confirms that industries will be...
Tunazidi kuingia kwa Bakongo kifua mbele.....
KCB Group has entered the Democratic Republic of Congo (DRC) through the acquisition of a majority stake in Trust Merchant Bank (TMB), becoming the...
Jaji Mkuu wa Kenya ameondoa sharti la Mawakili ambao wanajumuishwa rasmi katika kazi hiyo kuvaa wigi za kitamaduni, kwa sababu upatikanaji wake ni wa shida.
Wanasheria na Majaji nchini Kenya na...
Zaidi ya waangalizi 18,000 na mamia ya waandishi wa habari wa kimataifa wamewasili Nchini Kenya kufuatilia Uchaguzi huo, idadi hiyo imetajwa kama kiashiria cha namna Uchaguzi huo unavyotazamwa...
Katika Afrika Mashariki ,watu wengi hupenda huu mchezo
Kwa ranki za kimataifa Afrika mashariki kwa timu ni uganda inayoongoza,ila kwa vilabu bado soka la Tanzania lina ushindani mkubwa , uwekezaji...
MY TAKE: Ikumbukwe kwamba uchaguzi wa Kenya ndio uchaguzi ghali zaidi duniani na kwamba Kenya ni miongoni mwa nchi zenye deni la taifa kubwa zaidi Afrika.
Sasa nadhani tunajua wapi GDP ya Kenya...
Jamii ya Washona nchini Kenya watapiga kura kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 9, 2022.
Kundi la kwanza la jamii hii liliwasili Kenya kutoka Zimbabwe miaka sitini...
US Embassy Issues Travel Advisory Against Kisumu
By GEOFFREY LUTTA
US Embassy in Nairobi has issued a travel advisory to its citizens and personnel to exercise caution while visiting the lakeside...
Anthony Blinken anatarajiwa kuzungumza na rais Kenyatta kuhusu vita vinavyoendelea Ethiopia pamoja na mambo mengine. Malazy huwa mnapuuzwa ni kama hampo duniani. Poleni zenu.
Mahakama ya Juu imebatilisha uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wa uandikishaji wa Wapiga kura kwa Kielektroniki pekee katika uchaguzi wa Agosti 9, na kusema kuwa sababu zilizotolewa...
Mgombeaji wa urais wa chama cha Roots George Wajackoya amekana madai kwamba amemuidhinisha mgombea wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga.
Kupitia taarifa ,Wajackoya amedai kwamba video...
Siku 10 tangu Serikali ya Kenya kutangaza kushusha bei ya unga wa mahindi kuwa Ksh. 100 kutoka Ksh. 200 kwa kilogram 2, uhaba wa bidhaa hiyo umekuwa mkubwa katika maduka mengi.
Wauzaji wengi...
Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya
Chanzo: ITV
--------
Jakaya Kikwete is head of mission to Kenya
Source: KTN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.