Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema leo kushindwa kwa mamlaka ya Kenya kuwawajibisha polisi kwa tuhuma za kuua mamia ya watu baada ya uchaguzi wa mwaka 2017...
0 Reactions
0 Replies
519 Views
Waziri wa Elimu, Prof. George Magoha ametangaza kufungwa kwa ghafla kwa shule zote kuanzia Agosti 2 kabla ya uchaguzi mkuu nchini humo na kufunguliwa Agosti 11 na kuwaacha katika sintofahamu...
0 Reactions
4 Replies
682 Views
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Hongereni majirani, kwa sasa nyie ndio mnaoongozea kwa cheapest internet in East Africa. Well, kwa huku kwetu TZ gharama zimepanda sana, kwa sasa GB 1 ni 1,861 sawa na shilingi yenu ya kenya 94...
0 Reactions
1 Replies
564 Views
MY TAKE; Hahahaha sababu GDP ya Kenya ni kubwa kuliko GDP zote duniani. Tony254 dyfre Don YF Nicxie Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
13 Replies
1K Views
RAILA ODINGA AWAJIBU WANAODAI HAWEZI KUONGOZA NCHI KUDAI HAJATAHIRIWA "Baadhi ya watu wanasema siwezi kuwa Rais sababu sijatahiriwa. Ninajiuliza Walijuaje kuwa sijatahiriwa?” Raila Odinga"...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
A day after Central Bank of Kenya (CBK), Kenya’s monetary authority, said that Chipper Cash and Flutterwave were not licensed to operate in the East African country, the regulator has directed all...
0 Reactions
1 Replies
556 Views
1: NDINDI NYORO[emoji1787][emoji1787] 2: MUSALIA MUDAVADI 3: RAILA ODINGA 4: WAIFULA CHEBUGHATI 5: RIGATHI GASHAGUA 6: MUTURA KILONZO 7: 8: 9: MKO NA MAJINA MAZURI SANA YA KIAFRIKA, NAJIULIZA HUU...
6 Reactions
87 Replies
7K Views
Peter Mbogo Njiru Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amemteua msaidizi wake wa zamani (aide-de-camp - ADC) Peter Mbogo Njiru kuwa Mkuu wa Majeshi wa Kenya, ikiwa ni wiki chache kabla ya kuondoka...
5 Reactions
91 Replies
7K Views
William Ruto amekosoa uamuzi wa Mpinzani wake, Raila Odinga kutoshiriki Mdahalo wa Wagombea Urais katika Uchaguzi wa Agosti akisema kitendo hicho ni kuepuka Uwajibikaji Amesema Raila si Mgombea...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
This system uses Direct Digital Synthesis Sweep and dedicated software to maximize its effectiveness. This high powered jamming system vehicle enables the operator to swiftly program the unit via...
9 Reactions
108 Replies
17K Views
Kuelekea Mdahalo wa Wagombea Urais wa Kenya unaotarajiwa kufanyika Julai 29, Raila Odinga amesema hayupo tayari kushirikiana na Mpinzani wake mkuu, William Ruto. Mdahalo kati ya Wagombea Wenza...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kenya itaanza kununua umeme kutoka Ethiopia. Hii inafuatia makubaliano ya power purchase agreement (PPA) kutiwa saini na nchi zote mbili...
1 Reactions
3 Replies
517 Views
Dar es Salaam. If you believe that growing rice, maize and other crops that have traditionally been grown for food would not make business sense, then you far off the mark. While it is true that...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Picha: Msemaji wa zamani w Serikali, Kenya Lee Njiru Aliyekuwa Msemaji wa Serikali wakati wa utawala wa Daniel arap Moi, Lee Njiru amefunguka kuhusu jinsi baadhi ya wafanyikazi wa Ikulu...
3 Reactions
2 Replies
893 Views
Mamia kwa mamia ya raia wa Kenya wameonekana na mabegi yao katika mipaka ya Tanzania na Kenya kutafuta hifadhi baada ya sintofahamu ya tarehe 26/10. Kwa siku ya jana watu zaidi ya 700 kutoka Kenya...
5 Reactions
87 Replies
10K Views
MY TAKE; Spika wa bunge la Tanzania, amelitaarifu jopo la "speakers" toka nchi za SADC kwamba, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2022, vijiji vyote Tanzania vitakua vimeshaunganishiwa umeme. Wale...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Shule ya Mosoriot katika Kaunti ya Bomet imefungwa kwa muda usiojulikana, baada ya kubainika kuwa Mwalimu wa Shule hiyo, Bernard Kirui aliwaingilia kinyume na maumbile watoto 3 wa kiume wenye umri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha wa Roots, Profesa George Wajackoyah amesema hatashiriki kwenye Mdahalo unaotarajiwa kufanyika leo kwa kudai kuwa Mdahalo umepangwa Wajackoyah ni Mgombea wa...
0 Reactions
3 Replies
889 Views
Polisi katika mji Mkuu Nairobi wamevamia ofisi zinazoaminika kuwa na uhusiano na Naibu wa Rais, William Ruto, na kuchukua kompyuta 2 na seva 2 Uvamizi huo unajiri huku kukiwa na mvutano kati ya...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom