Jaji Bahati Mwamuye alitoa maagizo ya kihafidhina, kusitisha utekelezaji wa makubaliano hayo huku akitaja kuwa mkataba huo umeibua wasiwasi juu ya usiri, ushiriki wa umma, na kufuata katiba...
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani.
Polisi nao...
Huku wanasiasa wakisisitiza vijana wajiajiri. Gachagua yupo mahakamani kutetea arudishwe kazini. Maana Mshahara mwezi hapati baada ya kutumiliwa na Seneti
Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro
Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"
Ahsanteni sana 😀😀
In a startling revelation, Deputy President Rigathi Gachagua recently disclosed that his hotel room was bugged during a recent visit to Kisumu, raising concerns about security breaches within the...
Mnamo Alhamisi Oktoba 24, 2024 jengo la ghorofa tatu lililokuwa linajengwa kuanguka ghafla, hivyo kuleta hofu kwa wakazi wa Iten, katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Kwa mujibu wa mashuhuda, jengo...
Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha mpango wa serikali wa kuipa kampuni ya Adani Energy Solutions Limited kutoka India kandarasi kubwa ya usambazaji wa umeme, kufuatia wasiwasi kuhusu mchakato wa...
Kesi ya kupinga Kuondolewa Madarakani kwa aliyekua Naibu Rais Gachagua inaelekea pazuri na punde mahakama inamrejesha kwenye mamlaka yake ya awali. Asante Katiba.
Mshukiwa mmoja amekatwa na Mkurugenzi wa Jinai (DCI) kuhusiana na mauaji ya Kinyama ya watu watatu wa familia moja, ambao walipatikana wakiwa wameuawa baada ya kutekwa nyara katika mtaa wa...
Mahakama ya Rufani nchini Kenya chini ya jopo la majaji watatu imekataa kuingilia kati mchakato wa kuondolewa madarakani kwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua kupitia ombi la kuzuia mchakato huo...
Ndugu zetu Kenya walipata katiba Mpya mwaka 2010.
1. Haki na wajibu zimeainishwa vyema, kuanzia Preamble mpaka kila ibara (japo by implications wanaruhusu 🌈 maana sheria inasema ndoa Ni...
Wakati jopo la Mawakili wa Gachagua likimtaka Rais Ruto afike Mahakamani yeye Binafsi kutoa ufafanuzi wa mambo kadha wa kadha Rais Ruto amekataa
Ruto amesema kwa mujibu wa Katiba ya Kenya Rais...
Bunge la Kenya limepiga kura ya kuridhia Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ambapo kwa kura 236 huku kukiwa hakuna iliyoharibika.
Baada ya hatua hiyo, kinachofuata ni Prof. Kindiki kuapishwa...
Kupitia wakili Adrian Kamotho, Rais William Ruto amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kusitisha kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua madarakani, akidai kuwa mahakama haina mamlaka ya...
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amedai alikutana na majaribio mawili ya kuuawa kwa njia ya sumu kabla ya kuondolewa katika nafasi ya Naibu Rais na kusema kuwa Rais #WilliamRuto amemsaliti...