Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Hii ndio taarifa Njema ya Usiku huu Mlale Unono 😀
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Jaji Bahati Mwamuye alitoa maagizo ya kihafidhina, kusitisha utekelezaji wa makubaliano hayo huku akitaja kuwa mkataba huo umeibua wasiwasi juu ya usiri, ushiriki wa umma, na kufuata katiba...
0 Reactions
2 Replies
411 Views
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani. Polisi nao...
14 Reactions
18 Replies
915 Views
Huku wanasiasa wakisisitiza vijana wajiajiri. Gachagua yupo mahakamani kutetea arudishwe kazini. Maana Mshahara mwezi hapati baada ya kutumiliwa na Seneti
1 Reactions
3 Replies
307 Views
Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI" Ahsanteni sana 😀😀
5 Reactions
13 Replies
2K Views
In a startling revelation, Deputy President Rigathi Gachagua recently disclosed that his hotel room was bugged during a recent visit to Kisumu, raising concerns about security breaches within the...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Mnamo Alhamisi Oktoba 24, 2024 jengo la ghorofa tatu lililokuwa linajengwa kuanguka ghafla, hivyo kuleta hofu kwa wakazi wa Iten, katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet. Kwa mujibu wa mashuhuda, jengo...
0 Reactions
5 Replies
300 Views
Hii hatari tuiepuke, wenzetu wamenogewa, wanataka kujiongezea muda wa urais na ubunge kwa miaka saba! Idumu katiba ya 1977.
1 Reactions
13 Replies
660 Views
Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha mpango wa serikali wa kuipa kampuni ya Adani Energy Solutions Limited kutoka India kandarasi kubwa ya usambazaji wa umeme, kufuatia wasiwasi kuhusu mchakato wa...
2 Reactions
3 Replies
348 Views
Kesi ya kupinga Kuondolewa Madarakani kwa aliyekua Naibu Rais Gachagua inaelekea pazuri na punde mahakama inamrejesha kwenye mamlaka yake ya awali. Asante Katiba.
2 Reactions
15 Replies
950 Views
Aliyekua Naibu Rais Gachagua Mwezi huu hatapokea mshahara, kama ilivyo kawaida Bali nae inabid ajiajiri kama vijana wengi wanavyohusiwa na wanasiasa.
1 Reactions
0 Replies
280 Views
Mshukiwa mmoja amekatwa na Mkurugenzi wa Jinai (DCI) kuhusiana na mauaji ya Kinyama ya watu watatu wa familia moja, ambao walipatikana wakiwa wameuawa baada ya kutekwa nyara katika mtaa wa...
1 Reactions
18 Replies
981 Views
Aliyekua Naibu Rais wa Kenya, ameweka Kambi nje ya Mahakama Kuu Kenya ili kupambania kurudishiwa Cheo chake. Mawakili 20 bado hawaamini?
1 Reactions
9 Replies
823 Views
Mahakama ya Rufani nchini Kenya chini ya jopo la majaji watatu imekataa kuingilia kati mchakato wa kuondolewa madarakani kwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua kupitia ombi la kuzuia mchakato huo...
1 Reactions
17 Replies
774 Views
Inasemekana Mfadhili wa Gen Z alikua Gachagua sasa kapoteza Mamlaka/Cheo. Usitarajie kuwaona Gen Z tena barabarani.
3 Reactions
9 Replies
426 Views
Ndugu zetu Kenya walipata katiba Mpya mwaka 2010. 1. Haki na wajibu zimeainishwa vyema, kuanzia Preamble mpaka kila ibara (japo by implications wanaruhusu 🌈 maana sheria inasema ndoa Ni...
5 Reactions
25 Replies
920 Views
Wakati jopo la Mawakili wa Gachagua likimtaka Rais Ruto afike Mahakamani yeye Binafsi kutoa ufafanuzi wa mambo kadha wa kadha Rais Ruto amekataa Ruto amesema kwa mujibu wa Katiba ya Kenya Rais...
2 Reactions
2 Replies
530 Views
Bunge la Kenya limepiga kura ya kuridhia Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ambapo kwa kura 236 huku kukiwa hakuna iliyoharibika. Baada ya hatua hiyo, kinachofuata ni Prof. Kindiki kuapishwa...
0 Reactions
8 Replies
663 Views
Kupitia wakili Adrian Kamotho, Rais William Ruto amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kusitisha kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua madarakani, akidai kuwa mahakama haina mamlaka ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amedai alikutana na majaribio mawili ya kuuawa kwa njia ya sumu kabla ya kuondolewa katika nafasi ya Naibu Rais na kusema kuwa Rais #WilliamRuto amemsaliti...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…