Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

KENYA: Daktari Mkuu wa Hospitali ya Karen, Dkt. Dan Gikonyo amesema Mwanasiasa Rigathi Gachagua alifikishwa kituoni hapo akiwa na maumivu ya kifua lakini anaendelea vizuri huku akifanyiw avipimo...
0 Reactions
1 Replies
297 Views
Wale wapenzi wa Katiba Mpya mnaweza kufuatilia impeachment ya Naibu Rais mh Gachagua Mtajifunza mengi mazuri na madhaifu pia Maseneta bado wamejifungia Kwenye kikao cha faragha ambacho...
1 Reactions
24 Replies
870 Views
https://www.youtube.com/watch?v=nEuQW0S_9D8 Kesi ya kumng'atua Naibu Rais Rigathi Gachagua inayoendelea kwa sasa mbele ya Seneti imefuatia kupitishwa kwa hoja ya kumwondoa madarakani na Wabunge...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Katika hali isiyotarajiwa, Naibu wa Kenya Rais Rigathi Gachagua ameripotiwa kuzidiwa na kupelekwa hospitalini zikiwa zimebaki dakika chache kabla ya kutoa ushahidi wake. Wakili wake, Paul Muite...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Naibu Rais wa Kenya aliugua muda mchache kabla yakwenda kwenye baraza la Senate. Lakini pamoja na kuugua wajumbe wa baraza wameamua kupiga kura na kumwondoa bila kumsikiliza. Je, Naibu Rais...
0 Reactions
2 Replies
235 Views
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ametoa onyo kali kwa Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ambapo amesema Jumatatu ijayo, tarehe 3 Aprili, itakuwa ya mwisho kuandamana. Gachagua amesema hayo huko...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
The Ministry of Health has announced one more confirmed case of Mpox in the country, taking the total number of cases recorded so far to 14. Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa, in a...
0 Reactions
1 Replies
183 Views
Deputy President Rigathi Gachagua has been impeached two years after taking the oath of office. At least 53 out of 66 Senators voted Thursday night to uphold charges levelled against him by the...
0 Reactions
0 Replies
216 Views
Dhambi kubwa ya kwanza na kuapa mbele za Mungu hutoshirikiana na raila odinga Wala handshake yoyote Dhambi ya pili n kutangazia umma wa wakenya huo upuuzi ulifanyika hukoo nyuma hautafanyika...
0 Reactions
4 Replies
218 Views
https://www.youtube.com/live/KpOvDAfGm7o Bunge la Seneti linaendelea na mjadala unaohusisha tuhuma mbalimbali dhidi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua ambapo kuna uwezekano wa kupiga kura leo Oktoba...
0 Reactions
6 Replies
792 Views
MY TAKE; Wakati wenzetu wanazidi kutuacha kwa kuongeza matumizi ya sayansi na technology, "We Africa we over debating" eliakeem Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
61 Replies
3K Views
Mpambano wa majiji mawili ya kanda ya ziwa
6 Reactions
5K Replies
428K Views
Huyu Shahidi wa kwanza upande wa Bunge la Taifa , Mh Mwenge Mutuse ameshamaliza kesi. Inaonekana alitoa lawama bila kuwa na ushahidi Maalum. Yani anaulizwa maswali na wakili wa Gachagua...
0 Reactions
9 Replies
705 Views
Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi halafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu. Kuna...
11 Reactions
37 Replies
988 Views
Mahakama nchini Kenya imehalalisha uagizaji na ukuzaji wa chakula cha GMO, hatua hii ikipuuzia kesi iliyowasilishwa na chama cha mawakili nchini humo. Katika uamuzi wake Mahakama ya Mazingira...
2 Reactions
3 Replies
598 Views
Christian and Muslim clerics unite in urging Ruto to cancel Adani deals, return to NHIF Religious leaders under the umbrella of the National Council of Churches of Kenya (NCCK) and Supkem have...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Nauliza tu maana anaonekana ni Kijana mdogo halafu ni Wakili Lakini hajui hata ownership ya Kampuni inavyokuwa Sijajua atafaidikaje kwa sababu Ushahidi wake mwingi ni kama kategeshewa vile Au...
2 Reactions
12 Replies
466 Views
Naibu Rais wa Kenya Mr. Gachagua yupo hatarini kupoteza nafasi yake ama kwa kuondolewa kikatiba au kimafia! Sasa asijichanganye akakubali kwenda ama kutumwa safari kwa kutumia chopa. Mifano hai...
4 Reactions
11 Replies
713 Views
Wakuu, Leo Ikulu ya Kenya imeandaa iftar sasa kama kawaida hotuba za viongozi, Riggy G baada ya salamu kasema kwanza amefurahi kufika kwenye sherehe ile, yaani iftar kwake ni sherehe tayari...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Hukumu inasomwa mubashara Tazama Citizen TV Update;
6 Reactions
58 Replies
2K Views
Back
Top Bottom