Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, IGP Japhet Koome amejiuzulu. Rais wa Kenya, William Ruto ameridhia kujiuzulu kwake. ===== NAIROBI, Kenya July 11, 2024 – Kenya’s Police Chief Japheth Koome...
4 Reactions
38 Replies
10K Views
Nimeunda Tume maalumu ya kushughulikia deni la Taifa Ili tubaini mambo matatu 1. Tulikopa kiasi gani cha Fedha na kwa sababu gani 2. Miradi gani iliyotekelezwa kwa Mikopo hiyo na iko katika hali...
1 Reactions
6 Replies
358 Views
vuguvugu la mabadiliko linalochochewa na vijana hususan Africa Mashariki, yaani katika nchi za Kenya, Tanazania, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia, Sudani Kusini, Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
3 Reactions
41 Replies
11K Views
Mwandishi wa habari wa Kenya, Catherine Wanjeri Kariuki, anayefanya kazi kwa Mediamax Limited, amepigwa risasi na polisi huko Nakuru wakati akiripoti maandamano yaliyoongozwa na vijana wakitaka...
1 Reactions
16 Replies
783 Views
Collins Jumaisi Khalusha, anayeshukiwa kuua wanawake wapatao 42 na kukata miili yao vipande vipande kabla ya kuitupa katika eneo la machimbo la Kware huko Embakasi Kusini, amekanusha madai hayo...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Africa Mashariki ni lazima tuungane sasa kuisaidia Kenya kwani Wananchi na Viongozi Wote wamechanganyikiwa CCM tuna jukumu la kuisaidia Kenya kwa sababu Sisi ndio Chama kikubwa zaidi barani...
2 Reactions
6 Replies
307 Views
Breaking news Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya Citizen TV ====== Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake...
25 Reactions
101 Replies
16K Views
Mheshimiwa Charlene Ruto anafaa kuongoza Wizara ya vijana au Michezo
6 Reactions
25 Replies
893 Views
Wakati Gen Z wanasisitiza kuanguka na Ruto. Ingefaa jeshi lishike hatamu kurejesha Hali ya utulivu na Amani. Baada ya miaka miwili. Ndio urejeshwe utawala wa Kiraia. RIP (Late) General Francis...
0 Reactions
7 Replies
402 Views
Taarifa za sasa zinasema Muuaji wa Watu waliokutwa kwenye viroba huko Kware amepatikana na anahojiwa na Polisi kujua asili yake na sababu za kufanya Mauaji hayo. Source: Citizen TV ==== DCI...
7 Reactions
51 Replies
13K Views
Huyu Rais wa Kenya Dr Ruto kwa hakika ana hofu ya Mungu wa mbinguni Ruto amesema amevunja Kitengo cha Polisi kilichokuwa ni maalum kwa kuuwa Watu na kuwatupa maporini, amesema hawezi kuruhusu...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la...
3 Reactions
67 Replies
8K Views
Telecoms operator Safaricom has doubled the price of SIM cards to reflect the impact of new taxes. Consumers will from Friday pay Ksh.100 for a SIM card purchase from Ksh.50 previously following...
0 Reactions
1 Replies
626 Views
Alifuta Finance Bill last week then akasaini sheria mpya ya IEBC. Still Gen Z hawakuridhika. Leo amefuta cabinet yote ya Kenya na kumbakiza DP na CS. Ningekuwa mshauri wa William Rutto...
7 Reactions
19 Replies
900 Views
Kama ni uigizaji, atakuwa amevuka mipaka. Ni kuichafua nchi yake na raia wa Kenya kwa ujumla. Lakini kama ni matukio ya kweli, anastahili pongezi. Ni ushushu wa hali ya juu. Katika clips zake za...
3 Reactions
6 Replies
397 Views
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Kaimu mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja amewahamisha maafisa wote wa kituo cha Kuare kiliko mita chache kutoka machimbo ya mawe ambako maiti zi;likutwa zimetupwa, ili kuruhusu uchunguzi...
0 Reactions
2 Replies
331 Views
Naibu Rais Gachagua ni vyema akadhibitiwa kabla hajatamka neno lolote Kwa wakati huu. Maana jamaa linamtoka lolote linalomjia kinywani. Kenya Kwa sasa inahitaji utulivu na uponyaji
3 Reactions
3 Replies
308 Views
1. Kutokubalika kwa sera zake za Kodi mpya kila kukicha na mauaji yanayoendelea ingefaa Dkt. Ruto apumzike kupisha uchaguzi Mkuu mpya. 2. Kenya inastahili Rais mpya mwenye maono na Sera mpya. 3...
2 Reactions
19 Replies
586 Views
DENZEL OMONDI alionekana kutrend kwenye mitandao ya kijamii kwenye mgomo huko kenya naye ni muwanga ambaye alipotea na wengine ambao walionekana kujipost bungeni.
16 Reactions
163 Replies
15K Views
Back
Top Bottom