Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Sunday Nation is reporting that Raila Odinga is currently in Dubai to meet former president Uhuru Kenyatta who has been convincing him to drop his AU bid and any attempts to join President William...
2 Reactions
12 Replies
656 Views
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi? Nasema sasa imetosha...
35 Reactions
186 Replies
5K Views
Wiki moja tu baada ya kuvunja Baraza lake la Mawaziri na kumfukuza Kazi Mwanasheria Mkuu, Rais William Ruto ametangaza Baraza Jipya la Mawaziri na kumteua Mwanasheria Mkuu mpya. ✓ Ni Mawaziri 6...
3 Reactions
18 Replies
874 Views
Rais William Ruto amewataka wanaosababisha machafuko kwa kufadhili watu kufanya vurugu nchini humo wajitokeze hadharani na washauri Serikali ifanye nini ili kuondokana na hali iliyopo...
1 Reactions
4 Replies
843 Views
Proposed political deal with President William Ruto, as his coalition partners reject the plan for a government of national unity. Wiper party leader Kalonzo Musyoka has joined other Azimio la...
3 Reactions
2 Replies
580 Views
Ni dhahiri sasa, Kumbe nia na dhamira ya vijana wahalifu nyuma ya Gen Z haikuwa kupinga ushuru, kodi, na tozo zilizokuwako kwenye muswada wa sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025 ulioipitishwa na...
1 Reactions
90 Replies
2K Views
Watu wasiojulikana wakiwa kwenye pikipiki walifika katika ofisi za mwanaharakati Boniface Mwangi Jumamosi alasiri, wakisababisha vurugu na kuvuruga shughuli za kawaida katika eneo hilo. Mwangi...
1 Reactions
3 Replies
282 Views
odinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya: Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera...
6 Reactions
21 Replies
968 Views
Mwanahabari wa kampuni ya MediaMax inayomiliki K24 na Milele FM, Catherine Wanjeri Kariuki, ameruhusiwa kuondoka hospitali leo baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mguu wake uliopigwa risasi kwenye...
0 Reactions
3 Replies
499 Views
Sijawahi sikia mahali popote pale Rais akikiri kufeli..kushindwa. Hii na zaidi ya Democracy. Ruto ana kitu. Tumpe muda. He simply conceded the defeat.
6 Reactions
6 Replies
868 Views
Gen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais William Ruto wa Kenya atangaza Baraza jipya la mawaziri huku akiwarejesha baadhi ya mawaziri aliowaondoa kwenye mabadilko ya awali President William Ruto has named...
1 Reactions
3 Replies
984 Views
President William Ruto nominates first batch of CSs- comprising of 11 names, to be vetted by the National Assembly for confirmation Ameteua Mawaziri 11 wapya pekee na Mwanasheria Mkuu mpya...
1 Reactions
0 Replies
763 Views
Siku chache tu baada ya Rais William Ruto kulishtumu Shirika la Ford Foundation kutoka Marekani kwa kile alichokitaja kama 'kufadhili maandamano ya kupinga Serikali yake,' sasa Serikali kupitia...
0 Reactions
2 Replies
353 Views
Kenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident ! Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu...
8 Reactions
42 Replies
10K Views
Jeshi la Polisi limemepiga marufuku maandamano yanayotarajiwa kufanywa na Gen Z leo katikati ya jiji la Nairobi. Kipeperushi kilichosambazwa na vijana wameonesha kunuia kufanya maandamano makubwa...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
kadiri muda unavyokwenda wanagawanyika na kupingana wao kwa wao, wanapoteza malengo yao ya msingi waliyokua wakihitaji yazingatiwe na kufanyiwa kazi na Serikali. hivi sasa wanapoteza uelekeo...
2 Reactions
61 Replies
1K Views
Nimeona mchekeshaji wa Kenya Kennar akiwa amevaa magwanda ya Jeshi kwenye baadhi ya maudhui yake ya vichekesho (Mtandaoni). Swali: Nchi ya kenya inaruhusu wananchi kuvaa nguo za jeshi? NB: HAPA...
4 Reactions
18 Replies
518 Views
Msemaji wa Serikali ya Kenya, Isaac Mwaura amesema kuwa taifa hilo limepoteza zaidi ya pesa za kenya bilioni 6 (zaidi ya bilioni 123 za Tanzania) kutokana na wimbi la maandamano yaliyoshuhudiwa...
1 Reactions
5 Replies
299 Views
Article 33(1) of the Constitution of Kenya provides that every person has the right to freedom of expression while Article 34(1) guarantees freedom and independence of the media. However, the...
2 Reactions
1 Replies
559 Views
Back
Top Bottom