MY TAKE; Hivi zile za Kenya zinatumia mfumo upi?, Kuna siku ziliwahi kugonga Ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake...
Kulingana na kampuni ya Meta, inayosimamia Facebook na Instagram, iliyotangaza mwezi Februari 2022, itaanza kulipa waandaaji wa maudhui katika nchi 20 za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara...
10 Julai 2024
Nairobi, Kenya
JOSHUA OKAYO KIONGOZI WA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU KITIVO CHA SHERIA KWA UJASIRI, AWAANIKA WATEKAJI WAENDAO KWA JINA MAARUFU WATU WASIOJULIKANA...
1. Wenzetu pamoja na Katiba 'nzuri' bado wanafanya mzaha kwenye vetting ya Viongozi wao.
2. Hivi punde Mawaziri wateule 20 wamepitishwa na Bunge tayari kula kiapo na kuanza 'kuiba' upya pamoja...
https://youtu.be/OZ9qfm46k0U?si=Rlk4qTkzB_dJgkLz
Gabriel Oguda, popular social media activists allegedly abducted
Several social media users and content creators are missing after they were...
Kukubali kuondoa muswada wa sheria ya fedha wa mwaka 2024/2025, uliolalamikiwa na kuibua maandamano ya Gen Z, kuvunjwa kwa baraza la Mawaziri na kuwafuta kazi Mawaziri wote waandamizi Serikalini...
Rais William Ruto ameidhinisha Muswada wa Matumizi ya Ziada na Mpango wa Kupunguza Matumizi ya takriaban Tsh. Trilioni 3.02 (Ksh. Bilioni 145) katika Bajeti iliyotengwa kwaajili ya Serikali...
Hivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu.
Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi...
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe...
Serikali ya Kenya imeruhusu Maduka ya Dawa za Binadamu kuanza kutoa huduma ya kwanza ya Dawa ya Kuzuia Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI (PrEP) baada ua tafiti kuonesha zitasaidia Watu kuzipata kwa...
Wadau jukwaa la KENYA natafuta WAKENYA 2 nafasi ya usimamizi wa kituo cha kupiga simu kwa wateja. Kazi zake ni kama zifuatazo
1. Kusimamia timu ya upigaji simu ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa...
Ruto Names Second Batch of The Cabinet
President William Ruto: The government will provide all necessary support for those affected by protests.
✅President Ruto: Police officers, their prison...
Wizara ya Afya imethibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa virusi vya 'Mpox' mpakani mwa Taita Taveta na Tanzania baada ya kugunduliwa kutoka kwa mtu mmoja aliyekuwa akisafiri kutoka Uganda...
Kenya imeanzisha mpango wa kutumia sumu kuua Kunguru Milioni moja katika Miji ya Watamu na Malindi, ili kuzuia wasisambae Jijini Nairobi
Kunguru wamekuwa wakishambulia Wanyamapori, kuvamia maeneo...
Prof Kindiki amesema yeye hawezi Kujiuzulu kwa Makosa ya Polisi kuuwa Waandamanaji
Kindiki amesema kila askari Polisi atabeba Msalaba wake mwenyewe
Kindiki amesema Yeye kama Waziri ni Mwanasiasa...
PPP ya Kafulila imesifiwa na Rais Ruto wa Kenya akisema ni Uwekezaji wa Win- Win
Ruto amesema Aidan ya India watakodishwa Uwanja wa Ndege na Siyo kuuziwa kama inavyovumishwa mitaani
Source...
NAIROBI, KENYA: E-commerce firm, Heri. Online, has unveiled a new website as it looks to grow its market. The firm said in a statement it would deliver goods ordered on its platform within 24...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.