Kwenye video ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, trafiki mmoja nchini Kenya ameonekana kukamatwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuwa alitaka kupokea rushwa...
Adani anajadiliwa sana Citizen TV na BBC kuanzia jana akihusishwa kutaka Kukodi Uwanja wa Ndege JKIA lakini huko India ana utata kwenye masoko ya Hisa
Nilisikia hapa Tanzania kuna ADANI pale TPA...
Huko Kenya kuna mabishano makali ya kisiasa baada ya serikali ya Ruto kuamua kuikodishia kampuni ya Wahindi ya Adani Group uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) uliopo Nairobi.
Mpaka sasa...
Dickson Ndiema, mpenzi wa zamani wa Rebecca Cheptegei, amefariki hospitalini.
Aliyekuwa mpenzi wa mwanariadha wa Uganda, marehemu Rebecca Cheptegei, ambaye alikuwa akituhumiwa kumuua kwa kumwagia...
Huku dunia ikidhiamisha siku ya hamasishisho dhidi ya kujitia kitanzi leo, takwimu kutoka kwa Idara ya takwimu nchini (KNBS) pamoja na Idara ya polisi zimeonesha kuwa takriban watu 1,576 walijitia...
Mahakama Kuu yatoa kibali kwa LSK na KHRC kuwasilisha ombi la mapitio ya kisheria kuhusu uamuzi wa KAA wa kukodisha JKIA kwa Adani kwa miaka 30.
Mahakama pia imetoa amri za kuhifadhi ambazo...
Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli anatarajiwa kuhukumiwa kifungo Ijumaa ijayo kwa kosa la kupuuza maagizo ya Mahakama mara saba.
Jaji Lawrence Mugambi ameeleza kuwa IGP...
DADA AHONGWA MPAKA SERIKALI YAINGILIA KATI
Mahakama ya kupambana na Rushwa Nchini Kenya, imeagiza account ya bank ya Mwanafunzi wa chuo cha Ufundi Nairobi. Felesta Njoroge (21) Ifungwe kwa siku...
Ni breaking news hapo Citizen TV
Taarifa kamili itawajia tuzidi kuwaombea.
---
Property of unknown value was destroyed on Saturday evening after a fire incident at Isiolo Girls High School.
This...
Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale...
Huko Kenya, pacha wawili wamemuomba mwanaume mmoja awaoe ili wasitengane.
Pacha hao wenye miaka 20 wamesema hawataki kutenganishwa hivyo waolewe na mwanaume mmoja.
Bwana Oleman Learat mwenye...
Wanafunzi 16 wameripotiwa Kupoteza maisha baada ya ajali Moto kutokea katika moja ya Mabweni ya Shule ya Hillside Endarasha iliyopo Kieni, Nyeri usiku wa kuamkia Septemba 6, 2024.
Msemaji wa...
Wadau hamjamboni nyote?
Msiba mzito huko kenya
Naibu Gavana wa Lamu Raphael Munyua afariki akipokea matibabu katika hospitali moja jijini Nairobi, Katibu wa Kaunti Balozi Abass Ali athibitisha...
Mamlaka inayosimamia Huduma ya Umeme Nchini Kenya (The Kenya Power and Lighting Company PLC-Kenya Power) imetangaza tatizo la kukosekana kwa umeme katika maeneo mengi ya Nchi
Taarifa hiyo...
Mishahara ya Polisi yapanda
Mwenyekiti wa NPS amesema mishahara mipya itaanza kulipwa mwezi huu
---
Police officers in the country can now smileto the bank after receiving a pay rise of between...
Akizunguza Agosti 29, 2024 katika kikao na Wananchi, Kisumu Rais Ruto amesema hana taarifa ya mtu yeyote aliyeripotiwa kutekwa na vyombo vya usalama vya nchi wakati au baada ya maandamano ya hivi...
I listened to the analysis by this gentleman and I seem to agree with him that Raisa will lose again, and this must come out as a terrible frustrating blow to him...
1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na...
Shirika la utafiti lenye makao yake nchini uholanzi lilifanya utafiti barani afrika kuhusu urefu wa sehemu za kiume.
Nchini kenya watu 500,000 walipimwa.
Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:
57% ya...
Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha pili cha Mpox katika kituo cha mpakani cha Malaba katika Kaunti ya Busia.
Katika taarifa yake siku ya Ijumaa, Katibu wa Baraza la Mawaziri la Afya Dkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.