Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kwenye video ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, trafiki mmoja nchini Kenya ameonekana kukamatwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuwa alitaka kupokea rushwa...
2 Reactions
9 Replies
520 Views
Adani anajadiliwa sana Citizen TV na BBC kuanzia jana akihusishwa kutaka Kukodi Uwanja wa Ndege JKIA lakini huko India ana utata kwenye masoko ya Hisa Nilisikia hapa Tanzania kuna ADANI pale TPA...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Huko Kenya kuna mabishano makali ya kisiasa baada ya serikali ya Ruto kuamua kuikodishia kampuni ya Wahindi ya Adani Group uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) uliopo Nairobi. Mpaka sasa...
1 Reactions
7 Replies
497 Views
Dickson Ndiema, mpenzi wa zamani wa Rebecca Cheptegei, amefariki hospitalini. Aliyekuwa mpenzi wa mwanariadha wa Uganda, marehemu Rebecca Cheptegei, ambaye alikuwa akituhumiwa kumuua kwa kumwagia...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Huku dunia ikidhiamisha siku ya hamasishisho dhidi ya kujitia kitanzi leo, takwimu kutoka kwa Idara ya takwimu nchini (KNBS) pamoja na Idara ya polisi zimeonesha kuwa takriban watu 1,576 walijitia...
0 Reactions
0 Replies
213 Views
Mahakama Kuu yatoa kibali kwa LSK na KHRC kuwasilisha ombi la mapitio ya kisheria kuhusu uamuzi wa KAA wa kukodisha JKIA kwa Adani kwa miaka 30. Mahakama pia imetoa amri za kuhifadhi ambazo...
0 Reactions
0 Replies
375 Views
Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli anatarajiwa kuhukumiwa kifungo Ijumaa ijayo kwa kosa la kupuuza maagizo ya Mahakama mara saba. Jaji Lawrence Mugambi ameeleza kuwa IGP...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
DADA AHONGWA MPAKA SERIKALI YAINGILIA KATI Mahakama ya kupambana na Rushwa Nchini Kenya, imeagiza account ya bank ya Mwanafunzi wa chuo cha Ufundi Nairobi. Felesta Njoroge (21) Ifungwe kwa siku...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Ni breaking news hapo Citizen TV Taarifa kamili itawajia tuzidi kuwaombea. --- Property of unknown value was destroyed on Saturday evening after a fire incident at Isiolo Girls High School. This...
1 Reactions
4 Replies
480 Views
Baada ya Starlink kushusha bei ya plans zake na kuintroduce kifurushi cha Ksh. 1,300 ambayo ni sawa na kama Tsh. 26,000 za kitanzania kwa 50GB kwa mwezi na plan ya Tsh. 400 kwa GB 1 (20KES) pale...
32 Reactions
97 Replies
4K Views
Huko Kenya, pacha wawili wamemuomba mwanaume mmoja awaoe ili wasitengane. Pacha hao wenye miaka 20 wamesema hawataki kutenganishwa hivyo waolewe na mwanaume mmoja. Bwana Oleman Learat mwenye...
15 Reactions
121 Replies
4K Views
Wanafunzi 16 wameripotiwa Kupoteza maisha baada ya ajali Moto kutokea katika moja ya Mabweni ya Shule ya Hillside Endarasha iliyopo Kieni, Nyeri usiku wa kuamkia Septemba 6, 2024. Msemaji wa...
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Wadau hamjamboni nyote? Msiba mzito huko kenya Naibu Gavana wa Lamu Raphael Munyua afariki akipokea matibabu katika hospitali moja jijini Nairobi, Katibu wa Kaunti Balozi Abass Ali athibitisha...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Mamlaka inayosimamia Huduma ya Umeme Nchini Kenya (The Kenya Power and Lighting Company PLC-Kenya Power) imetangaza tatizo la kukosekana kwa umeme katika maeneo mengi ya Nchi Taarifa hiyo...
0 Reactions
2 Replies
488 Views
Mishahara ya Polisi yapanda Mwenyekiti wa NPS amesema mishahara mipya itaanza kulipwa mwezi huu --- Police officers in the country can now smileto the bank after receiving a pay rise of between...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Akizunguza Agosti 29, 2024 katika kikao na Wananchi, Kisumu Rais Ruto amesema hana taarifa ya mtu yeyote aliyeripotiwa kutekwa na vyombo vya usalama vya nchi wakati au baada ya maandamano ya hivi...
0 Reactions
0 Replies
436 Views
I listened to the analysis by this gentleman and I seem to agree with him that Raisa will lose again, and this must come out as a terrible frustrating blow to him...
0 Reactions
1 Replies
360 Views
1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Shirika la utafiti lenye makao yake nchini uholanzi lilifanya utafiti barani afrika kuhusu urefu wa sehemu za kiume. Nchini kenya watu 500,000 walipimwa. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo: 57% ya...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha pili cha Mpox katika kituo cha mpakani cha Malaba katika Kaunti ya Busia. Katika taarifa yake siku ya Ijumaa, Katibu wa Baraza la Mawaziri la Afya Dkt...
0 Reactions
3 Replies
412 Views
Back
Top Bottom