Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

KEnya Walimu huu unaweza kuwa ni mgomo wao wa pili ndani ya huu mwaka mmoja. Hawa wako serious sana na maisha yao hawako kwa ajili ya kufurahisha mtu. Walimu Wakenya hawana muda wa kujikomba...
14 Reactions
33 Replies
1K Views
Mwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni...
3 Reactions
73 Replies
3K Views
KAMA movie vile! Benki ya Equity nchini Kenya imeripoti kuibiwa kwa zaidi ya Shilingi za Kenya Bilioni 1.5 sawa na Shilingi za kitanzania Bilioni 30.Tukio hilo la aina yake liliripotiwa Julai...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
hii ni kutokana na namna alivyofanikiwa kushughulikia na kuzima hasira za vijana wa gen z na kuwanyakua baadhi waandamizi machachari wa Raila Odinga na kuwapa kazi ndani ya serikali yake ya...
0 Reactions
8 Replies
512 Views
UPDATE: August 22, 2024 KUTOROKA KWA WAFUNGWA: SHAHIDI ADAI WALITOKEA MLANGO MKUU KWA KUTEMBEA Taarifa mpya zinaeleza Wafungwa 13 walitembea na kutoka kupitia mlango mkuu wa kituo cha Polisi...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Mwanaharakati afichua Miradi Hewa ya Rais Ruto Wakili na Mwanaharakati wa Uwajibikaji, Morara Kebaso alianzisha ziara ya kitaifa ili kukagua Maendeleo ya Miradi iliyoanzishwa na Rais William Ruto...
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Wakati wa vuguvugu la uchaguzi wa Kenya, hadi wakati wa kampeni za uchaguzi huo, Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na umasikini, ulioitwa Bottom Up...
15 Reactions
64 Replies
3K Views
Kipini: Kijiji cha pwani ya Kenya kinachotoweka baharini Roberto Macri Maelezo ya picha,Wageni wakati mmoja walifurahia mandhari ya kupendeza kutoka kwa roshani ya hoteli ya Tana Lodge Wakati...
0 Reactions
0 Replies
369 Views
1. Mnahadaika na majina tofauti ya Vyama kumbe watu kutoka familia zile zile wanakula na kusaza bora hata CCM wanabadilishana (Tanganyika Vs Zanzibar) 2. Rushwa na ukabila unafunika mazuri wa...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
A Maasai Mara tented camp, Mahali Mzuri, owned by British tycoon Sir Richard Branson has been ranked as the number one hotel in the world. The Travel + Leisure World’s Best Awards released on...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Rais Ruto anaendelea na ziara yake ya kuwatembelea Wakenya majumbani mwao. Leo alikuwa Kisii na kama kawaida ameinza siku kwa kupata chai ya maziwa na Mkate akiwa na wenyeji wake. Ingekuwa...
2 Reactions
2 Replies
349 Views
1/7/2024 Vifo vinavyotokana na maandamano ya kushinikiza Rais Ruto aachie ngazi vyafikia 26, baada ya watu wawili zaidi kutokana na majeraha Kevin Madanga (22) ambaye alipigwa risasi 3 wiki...
10 Reactions
152 Replies
12K Views
Kiongozi wa dhehebu, Paul Mackenzie anayekabiliwa na mashtaka ya kuhamasisha wafuasi wake zaidi ya 400 kujinyima chakula hadi kufa amekana mashtaka ya mauaji ya bila kukusudia Agosti 12, 2024...
1 Reactions
5 Replies
609 Views
KENYA: Wafanyakazi na Watoa Huduma katika Sekta ya Anga wametangaza kufanya Mgomo kuanzia Agosti 19, 2024 wakipinga kampuni ya Adani Airport Holdings ya India kupewa tenda ya miaka 30 kusimamia na...
3 Reactions
1 Replies
666 Views
Penye uzia penyeza rupia! Kumbe mbwembwe zote zile za maandamano ya GEN Z huko Kenya nilidhani inatokana na hisia kamili za Wanaojiita Gen Z kumbe kuna mabwanyenye ambao inawezekana mirija yao ya...
1 Reactions
5 Replies
532 Views
Rais William Ruto apunguza mafao ya marais wastaafu kwa Tshs Billioni 2 kama sehemu ya kubana matumizi kulingana na bajeti mpya ya mwaka 2024/2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msimamizi...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Tujitokeze kuwapa vijana wetu nguvu, tujitahidi yawe maandamano ya amani ila polisi (FFU) wakiliamsha inabidi twende nao vivyo hivyo, uzuri kwenye hili tumeungana sote hamna migawanyiko, kimsingi...
4 Reactions
11 Replies
516 Views
Ifahamu textile manufacturing company iliyofungua kiwanda chao Kenya mwaka wa 2020. Sasa hivi imeajiri Wakenya 3,000. Kampuni hio ipo ndani ya special economic zone. MAS Intimates Kenya Athi...
1 Reactions
4 Replies
892 Views
Serikali ya Marekani imeahidi kuipa Serikali ya Rais William Ruto Dola 550,000 kwaajili ya kuongeza Uwazi katika masuala ya Uwajibikaji na Kuzuia Rushwa nchini humo. Wizara ya Mambo ya Nje ya...
0 Reactions
1 Replies
585 Views
Back
Top Bottom