Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani. Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa za...
23 Reactions
268 Replies
21K Views
Kiukweli Tanzania tusifikirie kabisa mambo ya Maandamano yanarudisha nyuma Maendeleo Fikiria Rais Ruto kila baada ya siku mbili anahutubia Taifa Wahuni siyo Watu 😂
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Hayo ni maneno ya William Ruto Rais wa Kenya akitishia kujitoa kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Haki za binadamu ya Afrika -Arusha. Chanzo Cha vitisho hivyo vya Ruto ni sakata la Mahakama hiyo...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Baada ya Viongozi wanne wa ODM kuingia kwenye cabinet ya Kenya Kwanza maana yake ODM siyo Chama cha Upinzani tena hivyo kimeondolewa kwenye Umoja wa Azimio Source: Citizen TV Mlale Unono 😀
10 Reactions
11 Replies
743 Views
Kenya's coup conspiracy Monday, May 24, 2004 — updated on June 21, 2020 Mancham, a regular visitor to the Kenya waves Kanu's one-finger salute as he departed from Nairobi in 1972 to the amusement...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Taifa la Kenya lina jamii mchanganyiko. Ila moja ya jamii ambayo ni ya kipekee sana ni Wasomali ambao kiuhalisi walijikuta wako Kenya kutokana na sababu za kikoloni. Ila baada ya Kenya kupata...
11 Reactions
14 Replies
668 Views
Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna hivi majuzi amejipata kwenye njia panda kuhusu uteuzi wa baadhi ya wanachama katika Baraza la Mawaziri la Rais William Ruto. Ruto alipendekeza mwenyekiti wa...
0 Reactions
1 Replies
608 Views
India’s Adani Airport Holdings Limited has proposed to invest $1.85 billion (Sh246 billion) to expand Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) under a concession deal that, if accepted, could...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Akizungumza katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kenyatta, Bw Odinga alimsifu Bi Karua kwa bidii na rekodi yake ya haki za binadamu. "Nilimhitaji Joshua wa kweli kwenye kando yangu, ambaye...
4 Reactions
59 Replies
5K Views
Nafikiri ili ufiti vizuri kwenye siasa za panda shuka ukanda huu wa Afrika Mashariki, inabidi uwe mnafiki na unajitoa ufahamu kweli kweli. "Handshake" ya Raila na Ruto haikutegemewa kabisa...
1 Reactions
4 Replies
498 Views
Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka.. Linda cheo chako na washkaji zako...
18 Reactions
81 Replies
4K Views
Wamiliki wa paka jijini Nairobi sasa watalazimika kulipa Sh200 kama ada ya leseni kwa serikali ya kaunti. Hii ni miongoni mwa mapendekezo yaliyomo kwenye Muswada wa Udhibiti na Ustawi wa Wanyama...
8 Reactions
10 Replies
505 Views
Mmojawapo wa mawaziri wa Kenya aitwaye Kipchumba Murkomen ameomba msamaha kutokana na mtindo wake wa maisha ya ufahari aliokuwa akiishi ambao ulikuwa ukiwakwaza Wakenya wengi. Baada tu ya kupata...
4 Reactions
16 Replies
744 Views
Huyu dada ni nani?? Huyu dada anaumashuhuri Gani miongoni mwa Gen Z?? Inakuwaje pichani hapo amevaa nguo kama za kijeshi?? Vipi tetesi zinazoenea kuwa ameuliwa ni za kweli...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Kiongozi wa Upinzani chini ya Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amekosoa shinikizo la Waandamaji wanaotaka Rais William Ruto ajiuzulu akieleza hatua hiyo haitakuwa na mabadiliko...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Waandishi wa Habari wameandamana jijini Nairobi kwa ajili ya kulaani mashambulizi ya Wanaoripoti Habari kuhusu Maandamano na vitisho kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari kutoka kwa Polisi Pia soma...
2 Reactions
1 Replies
601 Views
Watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha leo asubuhi katika ajali iliyohusisha magari kadhaa kando ya Southern Bypass, jijini Nairobi. Polisi pia wamesema watu wengine watatu wamejeruhiwa vibaya...
2 Reactions
1 Replies
311 Views
Gen Z wamepanga kuvamia sehemu tofaut tofauti ikiwemo Airport ya Nairobi/JKIA kama njia ya kushinikiza matakwa Yao, Hivyo kama unapanga safari fikiria mara mbili. Usije kujuta ugenini...
3 Reactions
13 Replies
844 Views
16 July 2024 Nakuru, Kenya Mheshimiwa rais William S. Ruto wa Jamhuri ya Kenya alaumu mashirika ya kijamii yasiyo ya kiserikali pamoja NGOs kama mfuko wa wakfu wa US-Funded Ford Foundation...
2 Reactions
7 Replies
693 Views
Raia wa Kenya Wandamaana kutaka Shirika la IMF wasitoe Mikopo kwa Serikali ya Kenya Julai 20, 2024 raia wa Kenya walifanya maandamano katika makao makuu ya IMF jijini Washington DC kutaka...
2 Reactions
5 Replies
938 Views
Back
Top Bottom