Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

William Ruto ameagiza mamlaka husika kuharakisha uchunguzi kuhusu miili iliyopatikana ikiwa imefungwa kwenye mifuko ya plastiki kwenye dampo la Kware huko Mukuru kwa Njenga, Jijini Nairobi ili...
1 Reactions
2 Replies
689 Views
Naona kuna baadhi yetu tunashabikia uchaguzi wa Kenya bila kuwa na critical analysis. Kwangu mimi naona uchaguzi huu wakenya wameshafikishwa hatua ya kutokuwa na choice au niseme wana choice ya...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
1. Kama mnavyokumbuka vurugu baada ya uchaguzi Mkuu 2007/08 zilisababisha mauaji ya watu kadhaa. Kesi ikapelekwa Mahakama ya ICC-The Hague, 2. Watuhumiwa wakiwemo - Uhuruto na wengine wakaitwa...
2 Reactions
9 Replies
370 Views
Kitendawili cha miili iliyokatwakatwa katika Kitongoji cha Mukuru kwa Njenga Jijini Nairobi kinaendelea baada ya miili mingine ikiwa imefungwa katika magunia kupatikana leo Julai 13, 2024...
1 Reactions
6 Replies
11K Views
Bwana Ruto katikiswa kwelikweli na hawa vijana waliotishia kumwangusha kijumla. Licha ya kufuta bajeti na kuahidi kushughulikia mengine yaliyotajwa na hawa vijana, hali bado inaonyesha kuwa tete...
12 Reactions
30 Replies
11K Views
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Burieruri Boys katika Kaunti ya Meru wamegoma na kutoka nje ya shule muda mfupi uliopita. Wanaonekana wakikimbia kuelekea mji wa Maua. Sababu ya tukio/hali ya...
3 Reactions
5 Replies
396 Views
Anaitwa Julius! Ni Gen Z kutoka nchini Kenya. Amewaasa vijana wa Afrika kuwa njia pekee ya kuleta MAGEUZI ni kupinga maovu yanayofanywa na Serikali zao. Katoa wito huo alipokuwa mahakamani kwa...
6 Reactions
6 Replies
450 Views
Kenya kunaweza kuibuka machafuko mengine kutokana na miili ya watu kuokotwa kila sehemu huku sehemu Mukuru ikionesha kuwa na idadi kubwa ya maiti zilizofungwa kwenye viroba kwa wingi vikiwa kwenye...
1 Reactions
6 Replies
677 Views
Kijana wa Kenya kwenye page yake mtandao X kwa jina sniperkenya1 huko mtandao wa X ambaye alijizoelea umaarufu wa kutengeneza clip ya utani ikimtungua Rais Ruto huku maandamano ya GEN-Z yakiwa...
1 Reactions
10 Replies
572 Views
Katiba ya JMT ni nzuri ila inahitaji maboresho Hapo Kenya Baadhi ya Mawaziri awali kabla ya Uteuzi walikuwa Wabunge na Maseneta na walijiuzulu baada ya Teuzi Jana wametumbuliwa na kubakia raia...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
1. Kila siku wanamkaribia Mheshimiwa Dkt. Commander in Chief Ruto (PhD) maana Mheshimiwa pamoja na kuwamwaga mizigo wa mwizi (Baraza la Mawaziri) baharini Ila bado wanae tu. 2. Nini...
2 Reactions
6 Replies
355 Views
39 people were killed and 361 injured during the anti-Finance Bill protests countrywide, the Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) has said. In a statement signed by the commission's...
3 Reactions
17 Replies
799 Views
Mambo yanazidi kuwa mabaya kwa kenya huku polisi na familia zao wakijikuta wapo matatani pamoja na viongozi wao. Mbunge Dadaab Farah Maalim amejikuta wakati mgumu huko mombasa baada ya kutoa...
1 Reactions
8 Replies
405 Views
Ukimya wake tangu maandamano ya Gen Z yalivyoanza uliibua maswali na mashaka mengi juu ya uwezo wake, weledi wake yeye na wa jeshi la polisi kwa ujumla, na kwa yeye kuendelea kuhudumu kwenye...
1 Reactions
2 Replies
558 Views
Mahakama ya rufaa imeamuru kwamba hukumu ya kifungo cha maisha sio sawa na kwamba kinyume cha katiba. Kwa mujibu wa Majaji - Pauline Nyamweya, Jesse Lesit na George Odunga, sio haki kumfunga mtu...
2 Reactions
3 Replies
740 Views
By Citizen TV - The minds of Kenyans have shifted towards we will not wait to question things after they have been done, we are going to start to be involved in the process from the beginning. We...
1 Reactions
5 Replies
347 Views
Pigo jingine kwa Rais Ruto baada ya Mahakama Kuu kutangaza Sheria ya Bima ya Afya ya Jamii ya mwaka 2023 kuwa kinyume na katiba. Sheria hii ilikuja baada ya NHIF kuondolewa, bima ambayo Wakenya...
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Wakuu nimekutana na hii kitu, majirani zenu na watani wa jadi wamezuiwa kuingia Dubai (UAE) Africa pia zimo Libya, Tunisia na Somalia. ===== The United Arab Emirates has stopped issuing new...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Back
Top Bottom