Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Waziri wa Ulinzi Aden Duale Jumatano, Mei 29, alifichua sera mpya ambapo wanasiasa wote wamepigwa marufuku kutumia mali ya jeshi ikiwemo helikopta za Kenya Defence Forces (KDF) kwa shughuli zao za...
0 Reactions
3 Replies
337 Views
Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto? Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya...
24 Reactions
258 Replies
10K Views
Halafu baba wa Taifa lao aliwahi kusema Nyerere anaongoza marehemu Kumbe Taifa lake ndio limejaa tutusas 😂 Bara la Africa vituko haviishi imebidi Kaburu amsihi ANC wasaidiane kuongoza Africa...
5 Reactions
6 Replies
566 Views
The recent statistics released by World Population Review has placed Tanzania as the country with the lowest IQ in East Africa. Position one was handled by Uganda which had an average IQ of 84...
8 Reactions
183 Replies
16K Views
Wataamu wa Uchumi Kenya wameonya Serikali dhidi ya Madhara ya Kupitisha mswaada wa kulinda jamii unaopiga marufuku masuala ya ushoga wakisema italeta Madhara kwenye uchumi,siasa na jamii ilhali...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Dear Kenyans, tunahitaji ufafanuzi Kinacchoendelea kwa sasa Kenya naona kwenye TV na Mitandaoni mkoa ya Coast ikiongozwa na Mombasa hawataki miraa na muguka kuuzwa maeneo yao. The same...
0 Reactions
1 Replies
350 Views
Kwa system ya Kenya huwa naona mara nyingi governor akichallenge na rais, is the hovernor more powerful? Mfano kinachoendelea sasa Governor wa Mombasa kapiga marufuku miraa lakini Rais Ruto karuhusu
0 Reactions
2 Replies
456 Views
CCM tukiwa tunaendelea kiwafariji rafiki zetu wa ANC Leo tena Mahakama nchini Kenya imebatilisha umiliki wa Ardhi ya KICC iliyokuwa inamilikiwa na KANU na sasa itamilikiwa na Serikali kupitia...
2 Reactions
15 Replies
596 Views
Familia ya Mpanda Mlima kutoka Kenya, Joshua Cheruiyot Kirui, ambaye alifariki dunia akipanda Mlima Everest Mei 22, imesema Mwili huo utaachwa alikofia kutokana na gharama na hatari zinazohusishwa...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Enzi za Nyerere huu Mwaliko ulikuwa ni wa Tanzania ila hizi zama za Utandawazi tunaalikwa kijumuiya zaidi. Tuzidi kumuombea Rais Ruto akatuwakilishe vizuri na zikitokea fursa za kupeleka manjagu...
7 Reactions
14 Replies
783 Views
Magufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao...
1 Reactions
75 Replies
2K Views
Rais Ruto: Ndege yangu ya kwenda Marekani iligharimu chini ya Ksh.10 milioni. Hakuna njia ninaweza kutumia Ksh.200 milioni. Mimi ni msimamizi mwaminifu. Mimi si mwendawazimu. Lazima niwe kiongozi...
0 Reactions
2 Replies
417 Views
Ruto hajajiunga NATO. Rais wa Marekani, Joe Biden, alitangaza kwamba Kenya itapewa hadhi ya kuwa "mshirika mkuu asiye mwanachama wa NATO" (Major Non-NATO Ally). https://vm.tiktok.com/ZMr1wacyA/...
2 Reactions
0 Replies
220 Views
Orodha isiyo rasmi ya Marais wa Kiafrika wanaoongoza Kufanya Safari nyingi za Nje ya Mataifa Yao. 1. William Ruto-Kenya 2. Bola Tinubu-Nigeria 3 .Samia S.Hassan-Tanzania 4. Paul Kagame-Rwanda 5...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kijeshi askari anapo kuwa mbele ya mkubwa wake akiwa anaongea anakua anapaswa kukaa mguu pande na mikono huwa nyuma kuonesha utii wake kwa kiongozi wake huyo. Kama ilivyo picha huwa na lugha...
10 Reactions
88 Replies
3K Views
President William Ruto has stated that his US travel expenses were significantly lower than those incurred if he had used a Kenya Airways (KQ) plane. "As a responsible steward of public...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika...
15 Reactions
151 Replies
6K Views
Serikali ya Marekani yasema haijaidhinisha safari ya Anasa ya Rais Rutto nchini humo Msemaji wa Marekani mh Andrew amesema " kwa kweli Marekani haijalipia ndege ya kukodi ya Rutto kwenda Marekani...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Kenya ikiwa inaongoza kwa kua na uhuru wa Kujieleza na maoni .Haya mambo huwezi kuyasikia nchi kama Rwanda hata kidogo!! Hata kwene social media raia wa rwanda hawawezi kumkosoa Godfather hata...
1 Reactions
21 Replies
896 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…