Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

External Pressure followed by a range of sanctions now looming for KK regime. What ODM oughtn't to do is to let go Ruto's lame-duck governance that now cost Kenya in terms of bloodshed. ODM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Waziri wa Mawasiliano na Uchumi wa Kidigitali, Eliud Owalo amesema shambulio hilo lililolalamikiwa na Wananchi kwa takriban siku 4 limefanywa na Wadukuzi waliojitambulisha kama...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
kinacho endelea kwa jirani zetu wakenya sio maandamano ya amani bali ni vurugu ambazo hadi sasa zimepelekea watu sita kupoteza maisha na kusababisha uharibifu wa mali. Wananchi wanayo haki ya...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
In Summary • The excise duty is aimed at curtailing the negative effects arising from betting activities. • Under the new proposal, a 750ml bottle of wine will have an excise duty of Sh136 which...
0 Reactions
2 Replies
615 Views
Kamati ya Uchunguzi ya Bunge la Seneti Nchini Kenya imeitaka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kumchunguza Gavana huyo wa zamani wa Jiji la Nairobi kutokana matumizi mabaya ya Fedha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi nchini Kenya, Waziri Mkuu wa Zamani wa Nchi hiyo na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema jitihada za kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea...
5 Reactions
58 Replies
7K Views
Serikali imewapokonya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga na Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka walinzi dakika chache zilizopita. Aidha Wabunge sita akiwemo Opiyo Wandayi vilevile...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Hakika huu ni zaidi ya ukatili kwa binadamu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huko kwa majirani zetu Kenya bhana wamepinda sana, kuna video inasambaa ikimuonesha bodaboda akiwa amepaki pikipiki yake pembeni ya barabara, na umaridadi kabisa akaingia barabarani na kuanza...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Tangu kuanzishwa kwa siasa za vyama vingi Kenya, somo moja ambalo vyama vya siasa vimejifunza ni mpango wa kuungana ili kuweza kupata ushindi wakati wa uchaguzi mkuu. Uanzishaji wa miungano...
0 Reactions
0 Replies
374 Views
Japo mambo ya Ngoswe tulipaswa kumwachia Ngoswe, rais Samia S Hassan hivi karibuni alisikika akijisifu kuwa Kenya inapoteza wawekezaji kwa Tanzania. Sijui alipitiwa, alishauriwa vibaya au hajui...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Serikali ya Rais William Ruto imemuagiza Rais mstaafu Uhuru Kenyatta na familia yake kurejesha silaha zote wanazomiliki kama familia ya Kenyatta. Familia hio inatarajiwa kurejesha jumla ya...
14 Reactions
64 Replies
4K Views
Muungano wa Azimio La Umoja unakusanya ushahidi wa kuwasilisha katika kufungua kesi katika Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC), dhidi ya Polisi kutumia nguvu kupita kiasi katika kukabiliana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Boost as KDF commissions newly acquired aircraft in Nairobi The aircraft will support and complement the three newly acquired C-27J Spartan tactical aircraft acquired by Kenya. In Summary • Maj...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Karibu utupie jicho yaliyomo kwenye kurasa za mbele ya magazeti leo Julai 20, 2023. Inasadikiwa wahariri wakuu wa magazeti walifikia makubaliano ya kutumia kichwa kimoja cha habari, kutoa rai kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mahakama ya Eldoret imemhukumu Fidel Ochieng kifungo cha miaka 3 gerezani au kulipa faini ya Ksh.100,000 sawa na takriban Tsh. Milioni 1.7 baada ya kukiri kutuma ujumbe wa matusi kwa aliyekuwa Mke...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utafiti huo umetokana na kazi iliyofanywa na Taasisi ya Infotrak kati ya Julai 3 na 8, 2023 kwa kuchukua kura za watu 2,400, ambapo 15% ya kura zimesema Nchi inaelekea pazuri wakati 12% wao...
1 Reactions
0 Replies
648 Views
Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Akijaribu kujitetea kuhusu asilimia ndogo ya maandamano katika maeneo mbalimbali nchini jana, na uhamasishaji dhaifu wa uongozi wake wa Azimio, Bwana Odinga alisema kuwa, licha ya kutokuwepo kwake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Haya mambo ya Uongozi ni magumu Sana Hata ukistaafu basi utaandamwa tu mimi ndio sababu Nampongeza Sana mzee Mwinyi Ruksa alipostaafu tu alikimbilia Msikitini na kujikita na mambo ya muumba tu...
13 Reactions
103 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…