Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Muungano wa Azimio la Umoja umesisitiza kuwa mpango wa maandamano ya Julai 19 hadi 21, 2023 ili kupinga ongezeko la gharama za Maisha unaendelea licha ya onyo kali kutoka viongozi mbalimbali wa...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga amezindua mchakato wa kukusanya saini milioni 10 kabla ya Ijumaa wiki ijayo kwa lengo la kumuondoa Rais William Ruto madarakani. Azimio La Umoja One Kenya Party...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nadhani anaenda kuwa rais wa Kenya aliyepitia kipindi kigumu saana. Kwanza amechukua nchi kipindi ambacho Dunia nzima inapitia changamoto ya mfumuko wa bei. Lingine, Raila alishajua anaenda...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
Naamini hili jukwaa lina watu wengi wanaofahamu tamaduni za watu wa Ulaya na Marekani. Inaonekana ni kawaida kwa baadhi ya watu wa Ulaya kuwapa watoto wao majina mawili kwa mkupuo, ambayo hayana...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Watu wasinielewe vibaya, kuna utofauti kati ya uchumi wa nchi na uchumi wa mtu mmoja mmoja. Majirani zetu wakenya wametuzidi uchumi wa nchi. Hali ya uchumi katika nchi yao ipo juu kushinda yetu...
13 Reactions
61 Replies
4K Views
Baada ya kuchukua bandari zote za Tanganyika kwa mkataba wa kimangungo kwa ahadi kemukemu ambazo hazijaandikwa popote kwamba watazifanya bandari kuwa bora kwa kuvutia mizigo Afrika nzima, wameenda...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja huko Kenya aandamana kwa aina yake leo kwa kujifunga kwenye nguzo na mnyororo na kuanza kuongea kero zake. Polisi walifika eneo la tukio na kujaribu kumfungua ili wamkamte huku...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Kiongozi huyo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani kupitia Azimio la Umoja One Kenya, amesema wamefuta mazungumzo yote na Serikali baada ya Rais William Ruto kusaini Sheria ya Fedha inayolalamikiwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Muungano wa Vyama vya Upinzani wa Azimio la Umoja One Kenya, umesema uamuzi huo unatokana na maombi ya Sekta mballmbali Nchini humo zinazotaka kushiriki Maandamano hayo. Taarifa iliyotolewa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema uharibifu uliotekelezwa na waandamanaji kwenye barabara maarufu ya 'Nairobi Expressway' utagharimu Serikali ya Kenya takriban milioni 700, sawa na...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Polisi wakati wa maandamano nchini Kenya huku magari matatu ya Polisi yakichomwa motO na wananchi. Maandamanano hayo yanaongozwa na kiongozi wa upinzani...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Kelele kelele "Viongozi wa chama cha ANC wametishia kwenda mahakamani wakiishutumu serikali kuwapa Dubai tenda ya usimamizi wa bandari kinyume cha sheria kwasababu wananchi hawakuhusishwa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Raila Odinga Kiongozi Mkuu wa Upinzani Raila Odinga amesema kuwa anatarajia kukamatwa wakati wowote kuanzia sasa baada ya kuthibitisha kukamatwa kwa aliyekuwa Gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya...
1 Reactions
9 Replies
824 Views
Odinga Kila analosema wanatii, hata aliwambia kesho msipige mswaki asee jamaa wanatii the same Makenzie aliwambia hakuna kula mpaka mfe na kweli wakatii na wakafa kweli, hahaaa nimehitimisha...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Seneta wa kaunti ya Nairobi Edwin Sifuna kwenye mahojiano na televisheni ya Citizen amethibitisha maandamano sasa yatadumu kwa siku tatu mfululizo kila wiki; kuanzia Jumatatu mpaka Jumatano...
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Idadi hiyo imetokana na kupatikana kwa Miili 12 katika Msitu wa Shakahola, Kaunti ya Kilifi, Kenya ambako utafutaji wa Wahanga waliotakiwa na Mchungaji Mackenzie Kufunga hadi Wafe ili kukutana na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Maandamano ya Jumatano yalishuhudia uharibifu mkubwa zaidi ikilinganishwa na ya hapo nyuma huku waandamanaji wakiharibu barabara maarufu ya Expressway, ambayo ilikuwa ndio mradi mkubwa zaidi na wa...
0 Reactions
3 Replies
731 Views
Muungano wa sekta binafsi nchini Kenya(KEPSA) umesema kuwa taifa linakadiria hasara ya Ksh bilioni 3 kila Upinzani unapoongoza maandamano ya kupinga Serikali. Kepsa imesema hasara hii inatokana...
0 Reactions
2 Replies
482 Views
Watu watatu wameaga dunia eneo la Mlolongo kwenye barabara ya kuelekea Mombasa kufuatia vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa nchini. Aidha waandamanaji wa eneo hilo leo wameharibu sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
413 Views
Hali ni tete katika maeneo mengi ya Kenya leo baada ya waandamanaji kuitika mwito wa Kiongozi wa Upinzani. Maafisa wa polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji huku...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…