Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha. Chanzo: Gazeti la The Standard...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Musalia Mudavadi anasema kwa sasa nchi haiwezi kutatua hali ngumu ya kiuchumi iliyopo katika kipindi kifupi ambacho serikali ya Kenya Kwanza ilikuwa imepanga wakati inachukua madaraka...
0 Reactions
2 Replies
509 Views
Ni baada ya kuhusishwa katika kashfa ya Uagizaji wa tani 125,000 za mafuta ya kula bila kodi, na kuuzia Wafanyabiashara wa jumla, na kuikosesha Serikali mapato ya takriban Ksh. Bilioni 6, sawa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Joseph Juma Buyuka, alifariki kwa njaa baada ya yeye pamoja na washukiwa wengine kadhaa kuanza mgomo wa kutokula chakula mwanzoni mwa mwezi Juni, 2023, kwa kupinga kuzuiliwa kwao kwa kuhusika na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huku wanafunzi 5 na dereva wakifariki katika ajali ya Kaburengu, Busia Wanafunzi wengine 6 walipata majeraha na wanapokea matibabu katika hospitali ya kaunti ya Webuye. Ajali hiyo inatajwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Democratic Republic of Congo (DRC) President, Felix Antoine Tshisekedi has been accused of inciting masses against the East African Community Regional Force (EACRF) deployed in the volatile...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
MY TAKE; Kwa wale waliokua wakishabikia nchi za Afrika kukandamiza haki za binadamu kwa kigezo cha kuachwa kuwa huru bila kuingiliwa na nchi zingine hata pale inapoonekana wazi kukandamiza haki za...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Utafiti mpya umebaini kuwa zuio la muda wa kuwa nje ya usiku hadi alfajiri nchini Kenya, iliyotekelezwa mwezi Machi 2020 kwa lengo la kupunguza maambukizi ya COVID-19, ilisababisha bila kukusudia...
0 Reactions
1 Replies
675 Views
Kibaka wa mtaani jela miaka 210, ila walamba asali wanatamba ***** === Kenya. Mwanamume mwenye umri wa miaka 55 aliyeshtakiwa kwa makosa manne ya wizi wa kimabavu na shtaka jingine la ubakaji...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
MY TAKE: Kwa watanzania wanaodhani katiba mpya ndiyo jibu la viongozi kutofanya mambo kiholela, naomba wajifunze toka kwa jirani. Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
2 Replies
787 Views
Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii. Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
MY TAKE; Ikumbukwe kwamba hata huko DRC ambako KDF walikwenda kupambana na M23, hakuna lolote wameweza kufanya na wakaazi wa maeneo hayo wametaka KDF waondoke kwasababu hawana msaada wowote.
2 Reactions
62 Replies
5K Views
Kitengo cha ulinzi kinachomlinda Rais Mteule wa Kenya, Dkt. William Ruto kimeimarishwa tangu alipotangazwa kuwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa Urais, Agosti 15, 2022. Kitengo cha Ulinzi cha...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wabunge wa Upinzani wametoka nje ya Ukumbi Wakisusia Bajeti mara baada ya Waziri kuanza kusoma. Ni wabunge wa nchi jirani ya Kenya. === Azimio coalition MPs stage walk-out of the House as...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Katibu wa Hazina, Njuguna Ndung'u amewaambia Wakenya wajiandae kujitolea kwa muda mfupi wakati bajeti kadiriwa ya Ksh. Trilioni 3.6 sawa na takriban Tsh. Trilioni 51.2 ya 2023/24 ikitarajiwa...
0 Reactions
2 Replies
550 Views
Wananchi walijipanga barabarani kutoka Wizara ya Fedha hadi Bungeni wakimshangilia Waziri akienda kusoma Bajeti ya nchi. Kabla ya kuondoka Kwaya ya Hazina ilitoa burudani kisha Msafara wa Waziri...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Wadau nataka kutoka Dodoma, Tanzania kutembea Nairobi, Kenya tu for like three days. My budget is 30K Kwa pesa ya Kenya I just want to go and just walk around there and see how Nairobi looks...
8 Reactions
22 Replies
3K Views
Benki ya Dunia imeionya Kenya kutokana na ongezeko la kodi katika mwaka mpya wa fedha ujao, ikisema ongezeko hilo linaweza kupunguza na kuathiri shughuli za kiuchumi katika nchi hiyo. Muswada wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Michael Macharia Njiri maarufu kwa jina la Dj Brownskin ameshtakiwa kwa kusaidia kujiua kinyume na kifungu cha 225 (b) cha kanuni ya adhabu. Inadaiwa kuwa tarehe 29 Julai 2022, eneo la Kariobangi...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Note: Hivi Kuna mkenya aliyewahi kumfanyia mtanzania wema Kama huu?
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…