Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Polisi nchini Kenya wamemkamata Hellen Wanjiru Weri (62) ambaye anadaiwa kuongoza dhehebu tata nchini humo ambapo anadaiwa kuwashikilia watu 32 kwenye nyumba yake huku wakiwa dhaifu kiafya...
4 Reactions
61 Replies
3K Views
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga amerejea Nairobi baada ya kumalizika kwa ziara ya kibinafsi huko Dubai. Raila ambaye amepokelewa na aliyekuwa kinara mwenza wake katika Uchaguzi Mkuu uliopita...
3 Reactions
8 Replies
804 Views
This Kenyan girl called Diana Chepkemoi, Meru University student who went to find work in Saudi Arabia. She went healthy, now she is ENSLAVED. See her transformation. Our embassy has her location...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna nchi moja Africa ya Mashariki watu wanajisifu kuwa na akili nyingi na wanajua Kingereza vizuri na ni wazee wa kuchapa kazi sana. Sasa imekuaje mkaingia king kirahisi na kukubali kuuliwa...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
MY TAKE: Hivi karibuni huduma za kupandikiza moyo kuanza, karibuni Sana majirani. Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
17 Replies
978 Views
Huyu nabii ni mkongo mkimbizi yuko huko Iowa katabiri miezi minane imepita
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Naam, Tunaitaka serikali ya Kenya, William ruto kumuachia haraka sana mchungaji, nabii Paul McKenzie kwani swala la vifo vya watu 73 ni la kijinga na la kipuuzi mno ni lakujitakiaa ujinga...
14 Reactions
100 Replies
7K Views
Waziri wa usalama wa ndani Professor Kithure Kindiki ametangaza kuwa serikali imesitisha shughuli ya kusaka miili ya waumini wa dhehebu la mchungaji Paul Mackenzie kutokana na mvua kubwa...
0 Reactions
4 Replies
621 Views
Rais #WilliamRuto amesema Wakenya sasa watakuwa wakichangia asilimia 3 ya mapato yao kwenye Mfuko wa Ujenzi wa Nyumba za Bei Nafuu ili kuwasaidia watu wengi zaidi kununua na kumiliki nyumba hizo...
0 Reactions
3 Replies
901 Views
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Uhuru Kenyatta ameibua hisia mseto miongoni mwa raia wengi wa Kenya, wakihoji ni sababu gani hasa inamfanya Kiongozi huyo mstaafu kugoma kustaafu siasa kama...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais Mstaafu wa Kenya, amewataka Polisi wa Kenya Kutenda haki na kuacha kutumika Vibaya kwa manifaa ya Serikali. Imejili baada ya kutaka kuzuiliwa kuingia kituo cha Polisi. Cheo ni dhamana. Sasa...
0 Reactions
2 Replies
558 Views
KENYA: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama (NTSA), George Njao, amepewa likizo ya lazima ya siku 30 na bodi ya Shirika hilo kutokana ongezeko la visa vya ajali katika siku...
0 Reactions
3 Replies
772 Views
Rais William Ruto ametoa wito wa kushtakiwa kwa Mchungaji #PaulMackenzie kuhusiana na vifo zaidi ya 40 vya wafuasi wake ambao aliwaagiza kufunga kula hadi kufa na miili yao kugunduliwa ilizikwa...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu, Baada ya habari mbaya za Mchungaji mmoja kusababisha vifo vya zaidi ya watu 40, Nchi ya Kenya imekumbwa na tukio lingine baya linalosikitisha sana. Kutokana na jinsi video hiyo ilivyo...
0 Reactions
77 Replies
7K Views
Hizi ni jamhuri mbili tofauti: Odinga katangaza kurejea barabarani. Kama wanaoyaitisha maandamano Kenya ni wananchi kwa nini yasiwe kabla au baada ya hiyo May 2? Kama wanaoyaitisha ni wananchi...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Historia fupi ya Mchungaji Paul Nthenge ambaye aliwaanisha Waumini kufunga bila kula kwa siku kadhaa ili kumuona Yesu. Huyu ni Paul McKenzie Nthenge wakati kanisa lake la Good News International...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Joel Kimurgor (19) anashikiliwa kwa kuiba chupi za Wanawake katika Kijiji cha #Tegeyat, Kaunti ya Nandi, kufuatia mfululizo wa kutoweka kwa ajabu kwa nguo hizo zilizoripotiwa katika eneo hilo Kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Miongoni mwa waumini wa kanisa la mchungaji Paul Makenzie wa nchini Kenya [emoji1139] waliookolewa walipokuwa porini kwenye maombi ya kufunga ili kuonana na Yesu. Ila pamoja na kuokolewa bado...
1 Reactions
1 Replies
508 Views
The best solution in Kenya is for the army to overthrow Ruto and form a coalition Goverment
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua ametoa masharti hayo kwa Kiongozi wa Azimio La Umoja One Kenya, Raila Odinga na kusisitiza kuwa anatakiwa akiri hadharani kuwa anamtambua William Ruto kuwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…