Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mwaka 2013 Kamati ya Mambo ya Nje na Usalama ya Bunge la Kenya liliwata Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya (NIC)kupata maelezo ya kina juu ya tukio la Wastegate baada ya kunusa udhaifu wa...
10 Reactions
17 Replies
2K Views
Mkenya Hellen Obiri ameshinda mbio za masafa marefu za Boston Marathon baada ya kuandikisha muda wa 2:21:38. Bingwa huyo wa olimpiki katika mbio za mita 5000 alishiriki marathon kwa mara kwanza...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nchi ya Kenya wamefanikiwa kurusha satellite yao kwenda anga za mbali muda mchache uliopita ikiwa imesafirishwa ndani ya rocket ya Falcon 9 kutokea huko katika kambi ya Vendeberg space center...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Inspekta Jenerali wa polisi Japheth Koome amesema kuwa hatishiki na barua iliyotumwa kwenda kwa Mahakama ya kimataifa ICC na upinzani. Upinzani kupitia Muungano wa Azimio unaoongozwa na Raila...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Tazama baadhi ya waislamu kutoka Kenya walivyonakili safari yao kutoka Nairobi kuelekea Dar Es Salaam, kuhudhuria mashindano makubwa ya Qur'an yaliyoandaliwa na Al Hikma Foundation. Link[emoji1427]
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Shule ya sekondari ya Noonkopir Girls iliyoko kaunti ya Narok imewatuma nyumbani wanafunzi wote baada ya kesi za usagaji kukithiri shuleni humo. Kwa mujibu wa ripoti zilizowasilishwa kupitia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mbona nchi yenu iko vizuri, na kilichopelekea kukengeuka ni nini? Haya maandamano naona kama hayana maana yoyote kwa sababu sioni mahala mnapo gombania. Mmeweka mambo jumla jumla hamtaki kutafuta...
0 Reactions
1 Replies
507 Views
Hii imetokea nchini Kenya. Dume limejifunika vazi la dini fulani ambalo kwa kawaida huvaliwa na wanawake, na likashiriki mashindano ya Chess kwa wanawake!! Kwa bahati mbaya kwake wakalishtukia...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
NAMTAFUTA MCHUNGAJI FRACIS NDACHA WA SDA NIMPE SADAKA YANGU Kwa kazi kubwa iliyotukuka ya kueneza injili naomba kujua ni namna ipi sadaka yangu inaweza kukufikia Kwa yeyote mwenye...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kiongozi wa Azimio nchini Kenya, Raila Odinga pamoja na viongozi wengine wa upinzani wametangaza kurejesha maandamano ya kila Jumatatu na Alhamisi huku wakisema Serikali haijaonesha nia ya...
3 Reactions
4 Replies
601 Views
Msanii na mfanyabiashara Akothee hatimaye amefunga pingu za maisha na mpenzie Dennis 'omosh' Schweitzer. Harusi hio kubwa iliyofanyika katika mgahawa wa Windsor Golf jijini Nairobi ilihudhuriwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampuni ya Kensalt Limited ambayo ndio mzalishaji mkubwa wa chumvi nchini Kenya imetangaza kuwa bei ya chumvi itaongezeka kwa Ksh 1000 kwenye Kila tani. Sababu waliyotoa ni Kuongezeka kwa gharama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa taarifa ya Kampuni ya Utafiti wa Masuala ya Anga ya SpaceX, uamuzi wa kusitisha urushaji wa Chombo hicho kilichopewa jina la Taifa-1 kwaajili ya Uchunguzi wa Dunia, umesababishwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo! Nipe kazi nikuletee bidhaa(kitu gani) hapo katika mji wako wa Nairobi hata Mombasa? Nipe list ya vitu unavyotaka nami nitakupa list ya vitu ninavyotaka nipeleke Tanzania. Tutumie hili...
8 Reactions
80 Replies
7K Views
Piga ua Kibera tumeamua kwenda na Dr Ruto huyo nyanya akalee wajukuu
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amedai Serikali yao inapata changamoto ya mishahara kuchelewa kwa kuwa Serikali haina fedha kutokana na ukopaji uliopitiliza uliofanywa na utawala uliopita wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Polisi mjini Kisumu wanamshikilia mwenzao baada ya kurusha vitoa machozi ndani ya 'guest' alimokuwa mpenzie akila uroda na mwanaume mwengine. Tukio hilo lilitokea eneo la Nyamasaria kaunti ya...
5 Reactions
14 Replies
810 Views
Mwaka huu kenya moto utawaka moto kati ya wapinzan wawil wakubwa Luto na Odinga huku Odinga akiungwa mkono na Rais aliepo madarakani. Kinachonogesha siasa za safar hii ni kitendo cha rais na...
3 Reactions
115 Replies
11K Views
Back
Top Bottom