The Hague chief prosecutor Fatou Bensouda may be forced to seek assistance from foreign countries to compel Kenya to give the court access to government officers and security agents.
This would...
Rais wa Kenya William Ruto amesema nchi hiyo haitakopa ili kuwalipa wafanyakazi wa umma hata kama vyama vya wafanyakazi vilitishia kugoma kutokana na kutolipwa mishahara ya Machi.
Ruto alilaumu...
What you need to know:
Taifa-1, or Nation-1 in Swahili, is scheduled to be launched on April 10 aboard the SpaceX Falcon 9 rocket from the Vandenberg Space Force Base in California.
The...
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua leo amefunguka na kukiri kuwa serikali inapitia wakati mgumu katika kuwalipa wafanyakazi wake na hata kutoa fedha kwenda kwa serikali za kaunti, kutokana na uhaba wa...
Kenya. Watu 10 wamepoteza maisha leo Jumamosi Aprili 8, 2023 katika Kaunti ya Migori nchini Kenya kutokana na ajali ya lori ambalo inaelezwa lilifeli breki na kuparamia kijiwe cha bodaboda Watu...
Jomo Kenyatta, Rais wa Kwanza wa Kenya Inasemekana hakuwai kuonekena kuhudhuria kanisa lolote au popote katika utawala wake wa miaka 15.
Sasa hivi Ikulu ya Kenya imekuwa pango hadi la manabii na...
Huko Kenya sasa hivi Makanisa yamegeuka kuwa majukwaa ya wanasiasa. Wahuburi wanafanya huduma kwa muda mfupi tu kisha sehemu kubwa ya muda unaobaki wanawaachia wanasiasa waliofika katika inabada...
Wabunge wa Kenya kutoka pande zote mbili, Bunge la kitaifa na Bunge la Seneti wanasherehekea pasaka bila ya mshahara wao wa mwezi uliopita, huku serikali ikiahidi kuwa ipo kwenye mchakato wa...
Asee kuna watu wanajeuri na madharau katika hii Dunia sijawahi ona, Leo ilikuwa ni safari ya kurudi home baada ya kukamilisha kilichonileta huku, nimetoka sehemu niliyofikia (Donholm) fresh sihisi...
MY TAKE: These figures will double in next two years time, while in Kenya also number of people who need food donations will triple during the same period.
----
Tanzania has become a hub for...
Nadhani jirani zetu hawa wana jambo lao ambalo inaonekana ni tofauti na siasa.
Nilisema kama ni siasa basi wafungue server ila hawataki na hiki wanachotambiana kina nwisho mbaya.
DP Rigathi...
Nadhani Shujaa wa Nchi jirani anajulikana
Naibu Rais Gachagua amesema angekuwa yeye pale juu asingemlealea kabisa Raila Odinga na hata Uhuru Kenyatta analielewa hilo
Gachagua amesema ana...
Raila Odinga amesema wafuasi wa Azimio la Umoja waterejea katika #Maandamano iwapo Serikali ya Rais William Ruto itashindwa kuchukua hatua za haraka kupunguza gharama za maisha na kukaa nae katika...
Wapenzi wawili waliwaacha wengi kinywa wazi baada ya kupatikana wakilishana uroda katika eneo la makaburini ya umma ya Langata, Nairobi.
Wawili hao waliitandika leso na kuanza kupapasana bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.