Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Polisi katika Kaunti ya #Kilifi wamemkamata Paul Makenzie Nthenge wa Kanisa la Good News International baada ya vifo vya Waumini 4 na kuwaokoa wengine 11 wakiwa mahututi msituni ambapo walidaiwa...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Mabaraza ya Waislamu, Kenya na Uganda watangaza Eid kuanza kesho Watanzania tukiwa wa kipekee sana tumeamua kuifanya kwe Jumamosi
1 Reactions
15 Replies
781 Views
Update: 8 more bodies exhumed from Shakahola; 15 bodies exhumed in 2 days 8 more bodies have been exhumed on the second day of exhumation at the Shakahola area, Kilifi county. This brings the...
0 Reactions
2 Replies
904 Views
Baadhi ya Waislamu nchini Kenya wameishutumu serikali ya Kenya kwa kuwapotosha watu baada ya kutangaza kuwa Ijumaa ni siku ya mapumziko kwa ajili ya Eid al-Fitr. Waziri wa mambo ya ndani nchini...
1 Reactions
7 Replies
855 Views
Rais William Ruto ametangaza kuwa bei ya unga wa mahindi itashuka zaidi kuanzia wiki ijayo. Akizungumza katika Kaunti ya Meru leo Jumamosi, Rais Ruto alisema utawala wake umejitolea kusambaza...
1 Reactions
0 Replies
848 Views
Karibuni majirani Nairobi. Tanzania has on Wednesday, April 19, sent a delegation from the Tanzania National Roads Agency (Tanroads) to visit the Kenya National Highways Authority (KeNHA) on a...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nyeri, Kenya Naibu Rais ameachilia kombora la utani kwa wanaume wa eneo la Kati, akidai wameshindwa na majukumu muhimu ya ndoa kwa sababu ya kutekwa na ulevi. Bw Gachagua alisema wanaume wa...
0 Reactions
3 Replies
857 Views
Detectives from the Homicide Unit have identified 12 graves in controversial pastor Paul Mackenzie's land at Shakahola, Magarini Sub-County of Kilifi County. The homicide detectives from Nairobi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakenya wengi sana wanakuja kwenye hospitali za Mkoa wa Kilimanjaro. Naomba kuuliza, hivi nyie huko kwenu hamna hospitali au shida ni nini hasa? Kipindi kile Magufuli anataka kuleta Madaktari wa...
12 Reactions
66 Replies
4K Views
It looks like all the financial instruments have been finalized & construction over the troubled Likoni channel is about to start. LIKKKONI by Rico Mwash, on Flickr LIK3by Rico Mwash, on Flickr
7 Reactions
495 Replies
81K Views
https://www.emporis.com/city/100051/nairobi-kenya https://www.emporis.com/city/100151/dar-es-salaam-tanzania
8 Reactions
81 Replies
11K Views
Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Mambo ya ndani inayoongozwa na Profesa Kithure Kindiki imetangaza Ijumaa ya Aprili 21, 2023 kuwa Siku Kuu, kusherehekea Idd-ul-fitr.
0 Reactions
4 Replies
926 Views
Kila nikiangalia Afrika Mashariki sehemu mbalimbali za majiji na kuta Nairobi tu. Kila nikiangalia usafiri wa ndege nyingi ni Nairobi tu. Tukubali ukweli Nairobi ni jiji
13 Reactions
84 Replies
6K Views
Sitaiweka hapa kutokana na maadili ya JamiiForums ila sisi Waafrika yapaswa tubadilike hizi siasa za kuchafuana hasa kutegeana makamera ya siri kwenye hoteli ili kuharibu ushawishi ni ujinga...
10 Reactions
126 Replies
19K Views
MY TAKE: kwa wale Wakenya ambao hawajafika Tanzania, na bado wanalinganisha barabara za Kenya na Tanzania, piteni huku, someni hii article hadi mwisho. ========= First impressions of Zambia To...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Serikali ya Uingereza imemteua Neil Wigan kuwa Balozi mpya wa taifa hilo nchini Kenya, akichukua nafasi ya Jane Marriott ambaye amedumu kwa miaka 4. Balozi Wigan anatarajiwa kuanza kazi rasmi...
0 Reactions
4 Replies
593 Views
Tukiwa tumebakiza Juma moja kuelekea sikukuu za Eid,sasa kuanzia kesho bei ya Chumvi inakwenda kupanda bei Wanapoelekea majirani zetu sasa hata sindano za kushomea zitapanda bei ===== The price...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Yaliyomo: ✓ Siasa za ICC zaibua tumbo joto serikalini. ✓ Wizara ya fedha kukimbilia mkopo wa Eurobond. ✓ Upinzani watishia kususia mazungumzo na Serikali.
1 Reactions
0 Replies
738 Views
KENYA HOLLOW DEMOCRACY Baada ya Raila kuomba servers za matokeo ya urais ziweke wazi ili ijulikane wazi kumetokea kigugumizi kikubwa kwenye tume ya uchaguzi Swali la kujiuliza tume ya uchaguzi...
0 Reactions
9 Replies
775 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…