Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Amani muhimu sana DRC.... ======== NCBA Group is set to launch its mobile phone banking services M-Shwari in Ghana, Ethiopia and the Democratic Republic of Congo (DRC) through partnerships in...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiongozi huyo amerudi kwa kufungua akaunti mpya kwa jina la @4thPresidentKE, ambayo inapatikana kwenye majukwaa ya #Facebook na Twitter. Kenyatta alijiondoa mitandaoni Machi 2019 kwa...
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya? Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa barua ya Katibu Mkuu wa FIFA, Fatma Samoura, Shirikisho la Soka Duniani limeondoa pia adhabu ya kifungo kwa Shirikisho la Soka nchini humo (FKF). Baada ya hatua hiyo, wawakilishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe. Mpaka sasa sijasikia mgombea...
39 Reactions
84 Replies
6K Views
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu...
11 Reactions
80 Replies
5K Views
Wanamazingira wapinga mti wa mbuyu kungolewa na kuuzwa. Miti hiyo adhimu inayoenziwa na wenyeji wa kaunti ya Kilifi pwani ya Kenya hutumika kwa shughuli nyingi za kijamii. Mambo hayo ni kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MY TAKE: Katika hili hata Tanzania tunarudi enzi za Kikwete, R.I.P Magufuli Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
1 Replies
515 Views
Ndani ya wiki moja Kuna ghorofa liliporomoka, lilikuwa jengo la Ghorofa 7. Jana tena jengo la Ghorofa 5 nalo limeporomoka. Hili swali niwaulize wakenya. Tatizo nini huko? Hakuna wahandisi...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Hamna haja ya kuendelea kuzungushana DRC, muda umefika wa kulazimisha amani, hutaki sepa.... Na ukizingua unakumbana na mkung'uto.. Kenyan President William Ruto on Monday said the East African...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama kuna kitu polisi wa mataifa ya Afrika wanakiwa kujifunza basi ni huu ujumbe. Naomba tuusikilize alafu kwa pamoja tuuchangie .
0 Reactions
4 Replies
557 Views
Kenya Airways to earn billions in sale of 7 aircraft SUMMARY The listed airline had a fleet of 41 airplanes at the end of last year Restructuring its fleet, including selling aircraft and...
4 Reactions
64 Replies
7K Views
Kenya airways wamesign makubaliano na Delta airlines in a codeshare agreement. The new agreement increases customers' travel options to 19 cities in Africa and 25 cities across the U.S. and...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
MY TAKE Many of those uyoga buildings would have collapsed! Nairobi has 200 unsafe buildings
10 Reactions
69 Replies
6K Views
Kama mada ilivyoeleza hapo juu, naomba kusikiliza experiences zenu while doing business in Tanzania as a Kenyan. Is this something you would recommend? Nashukuru.
0 Reactions
4 Replies
547 Views
Rais wa Kenya, William Ruto amesema kuwa kinachotakiwa kwa sasa ni kuongeza nguvu kwenye kukamilisha miradi na ahadi alizoweka wakati akiwania Urais. Kauli hiyo imekuja baada ya hoja kuibuliwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jengo la ghorofa 7 lililokuwa linajengwa katika eneo la Kasarani Jijini Nairobi limeanguka huku zaidi ya mafundi 10 wakiwa ndani ya jengo hilo Wananchi wamefanikiwa kuwaokoa watu wawili...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Watu wawili wamefariki huku mmoja akiokolewa baada ya jengo la ghorofa tano kuanguka eneo la Ruaka kaunti ya Kiambu mapema Alhamisi asubuhi. Jengo hilo liliporomoka saa 3:30 asubuhi na kuporomoka...
0 Reactions
6 Replies
652 Views
Huyu mama yuko simple na mkweli, anaeleza kama ilivyo na kuwa tayari kurekebisha badala ya kutukana au kulaumu laumu mabeberu..... Binafsi huwa nimewachoka na kuwakinai wanasiasa, kwa hii video...
0 Reactions
13 Replies
717 Views
MY TAKE: Huo ni mwanzo tu, hii ni Tanzania, R.I.P JPM
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…